Anayejua habari za JKT

Anayejua habari za JKT

Tuombeane mkuu...... mimi ntaenda kuombea home nilipo zaliwa koz kule ndo wananijua kuliko huku kwa baba mwenye nyumba
Yeke Tata Pierre Kana Nyamuhanga Atutangulie Sote Tata Mang'ana Yawe Masuri kabhisaa.
 
Samahan ndugu zangu kwa kuonekana tomaso.mbona kwenye blog yao tanzazo halipo?
Pia naomba kuuliza kwenye vyombo vya habarii wametangaza?maana niliko taarifa shida

Alyen,makanya jr,shefwaa na wenye moyo naomba kujuzwa
 
Samahan ndugu zangu kwa kuonekana tomaso.mbona kwenye blog yao tanzazo halipo?
Pia naomba kuuliza kwenye vyombo vya habarii wametangaza?maana niliko taarifa shida

Alyen,makanya jr,shefwaa na wenye moyo naomba kujuzwa
Subiri watatangaza Ndugu yangu , mi Kwa upande Wang nimeambiwa Tu zimetoka.
 
Tang'ana kawaambia mpaka mwezi wa 7 but nyie mmekazana tu sijui next week......next week......next week.....hatimaye july....hence Tang'ana proved.
Mijitu mengine banaa... watu wanataka habari makini we unaleta upumbavu kwenye uzi usio kuhusu
 
Back
Top Bottom