Ili uende JKT huruhusiwi kuwa muajiriwa wa sehemu nyingine.nauliza hivi wanaoenda jkt huwa wanalipwa chochote kitu? mana wengine tuna ajira sasa tukiziacha familia zitakufa na njaa
Ili uende JKT huruhusiwi kuwa muajiriwa wa sehemu nyingine.nauliza hivi wanaoenda jkt huwa wanalipwa chochote kitu? mana wengine tuna ajira sasa tukiziacha familia zitakufa na njaa
Mkuu Shefwaa tuma karatasi ya pili inayoendelea kuonesha vigezo.
Ili uende JKT huruhusiwi kuwa muajiriwa wa sehemu nyingine.
kwenye swala la elimu wote kwanzia wenye darasa la saba mpaka chuo wote wanachukuliwa au limekaaje hili swala maana nimeshindwa kuelewa ndugu zetu wenye uelewa kidogo mtusaidieBado watatangaza Tu PIA Head Quarter nao huenda wakatangaza kama wahusika wakuu WA hili suala.
Ndiyo wanalipwa posho ya 50,000/=Tshs ambazo hua na makatoshukran kwa taarifa...ila bdo hujanipa jibu...wanalipwa?
Ndiyo, wote wanachukuliwa ila kwa kuzingatia vigezo vya category zao. Mfano, mtu wa std 7 lazima akidhi vigezo vya umri wa category yake, vivo ivyo kwa wenye shahada na wengine.kwenye swala la elimu wote kwanzia wenye darasa la saba mpaka chuo wote wanachukuliwa au limekaaje hili swala maana nimeshindwa kuelewa ndugu zetu wenye uelewa kidogo mtusaidie
Hapana Kaka Unakosea hakuna Bin Adam Mwenye uelewa Mdogo Kwan Bin Adam wote Tuko Sawa Kwa Kila kitu.kwenye swala la elimu wote kwanzia wenye darasa la saba mpaka chuo wote wanachukuliwa au limekaaje hili swala maana nimeshindwa kuelewa ndugu zetu wenye uelewa kidogo mtusaidie
Hakuna mshahara ila kuna posho, inakuwaga 50,000.shukran kwa taarifa...ila bdo hujanipa jibu...wanalipwa?
Network inagoma ngoja ikawe sawa nitaweka.Mkuu Shefwaa tuma karatasi ya pili inayoendelea kuonesha vigezo.
nimeuliza hivyo kwasababu taarifa zinazosikika uku mtahani kwangu nikwamba hizi nafasi zinazotoka nikwaajiri ya darasa la saba form four na form six eti kwanzia chuo nafasi zao zinakujaga tafauti yani kwakufata taaruma mfano mimi nina diploma in procurement and logistic management lkn wananishauri nitume cheti cha form four ndomana nimeuliza hili nijue zaidiHapana Kaka Unakosea hakuna Bin Adam Mwenye uelewa Mdogo Kwan Bin Adam wote Tuko Sawa Kwa Kila kitu.
Mimi Kwa Uelewa navofahamu Ni kwamba J.k.t huchukua vijana wote wenye sifa sitaki kiumri, kiafya, kinidham na Kielimu kuanzia La Saba mpaka Chuo kikuu.
Fanya kama unavoelekezwa kakanimeuliza hivyo kwasababu taarifa zinazosikika uku mtahani kwangu nikwamba hizi nafasi zinazotoka nikwaajiri ya darasa la saba form four na form six eti kwanzia chuo nafasi zao zinakujaga tafauti yani kwakufata taaruma mfano mimi nina diploma in procurement and logistic management lkn wananishauri nitume cheti cha form four ndomana nimeuliza hili nijue zaidi
Ndiyo Hapa Dar Competition Ni kubwa Sana na Vigogo Wapo kibao sisi watoto wa Daraja la Tatu kupata Mpaka Utoe jasho kuweni makini Sana Aisee.Watu wa Dar tuwe makini, wengi wanataka nafasi hizi nafasi kuliko zilizokuwepo.
Mkuu nifate PM mara moja.Ndiyo Hapa Dar Competition Ni kubwa Sana na Vigogo Wapo kibao sisi watoto wa Daraja la Tatu kupata Mpaka Utoe jasho kuweni makini Sana Aisee.
poaMkuu nifate PM mara moja.
Kama ingekua kua watachukuliwa kwa mda tofauti, basi tangazo lisinge wajumuisha," wenye shahada"nimeuliza hivyo kwasababu taarifa zinazosikika uku mtahani kwangu nikwamba hizi nafasi zinazotoka nikwaajiri ya darasa la saba form four na form six eti kwanzia chuo nafasi zao zinakujaga tafauti yani kwakufata taaruma mfano mimi nina diploma in procurement and logistic management lkn wananishauri nitume cheti cha form four ndomana nimeuliza hili nijue zaidi
Shukrani sana Kiongozi.