Mkuu naheshimu sana, embu hakikisha kama ni kweli.Yeke Tata Mura
Mkuu naheshimu sana, embu hakikisha kama ni kweli.Yeke Tata Mura
Ni Kweli Jamaa Got News from somewhere.Mkuu naheshimu sana, embu hakikisha kama ni kweli.
Aaaaah, nlijua umejiona mwenyewe.Ni Kweli Jamaa Got News from somewhere.
Hakuna hata aliyefika mpaka sasa.Aliyefanikiwa kufika atupe mrejesho.
Huko nilikotoa News Napa Trust Sana Mura , Trust me.Aaaaah, nlijua umejiona mwenyewe.
Dah, aya bhana.Huko nilikotoa News Napa Trust Sana Mura , Trust me.
Nakuaminia Mkuu, nenda uje taarifa kaka.I cant wait this rain, naenda Kinondoni sasa.
sisi wa mikoani inakuaje kwani kila mkoa unatangaza kwa mda wake mnisaidieI think that Everything now is Okay.
Bado watatangaza Tu PIA Head Quarter nao huenda wakatangaza kama wahusika wakuu WA hili suala.sisi wa mikoani inakuaje kwani kila mkoa unatangaza kwa mda wake mnisaidie
Baada ya Muda Fulani hulipwa Posho pale wanazalisha ILA sijui Ni Bei gani . Kana Tata wee Mchaga Mbona Una Moshi na pesa kwanza , Hongera lakini Maana pesa ndo Kila kitu na ndo kitu pekee.nauliza hivi jkt huwa wanalipwa?
Usijali Kaka Aleyn Kila Mungu Kitakua Sawa.Endeleeni kutoa updates jamani.