Kazakh destroyer
JF-Expert Member
- Nov 16, 2017
- 4,090
- 8,457
Bibiharusi Pole sana unapatikana wapi? huko kwenu ndulele zipo?.
Mie nina jino limetoboka sijaziba huu mwaka kama wa 3.Kafanye root canal.
Hata mimi nilipokuwa mdogo nilipata maumivu ya meno usiku, bahati bibi alikuwepo alichemsha mizizi ya ndulele nikasukutua yale maji na maumivu yakapotea.Pole sana mkuu binafsi mpaka mwaka 2005 nilikuwa tayari nishang'oa meno matano na lingine likawa lina fuata mkumbo wa kuoza. Nilipata kupitia zoezi la kuziba ambalo ni suluhisho la muda mfupi si zaidi ya wiki mbili utarudi kule kule! Hii miti shamba siyo ya kuipuuza hata kidogo! Mzee mmoja akanituma kutafuta ndulele na mzizi wa mnyonyo akazikata ndulele katikati akaosha ile mizizi akachemsha akaweka chumvi na majivu kidogo ule mchemsho ukachemka kama dak 5 akaipua ulipoa kiasi cha uvuguvugu nikasukutua mara moja tu aisee yale maumivu niliyo yapata! Baada ya dakika kama 20 hivi yakapoa na sijawahi pata tena changamoto ya meno tangu ile siku mpaka sasa na lile lilokuwa limeoza liliendea kumeguka tu lenyewe vipande vipande hadi likaisha lenyewe!
Duh I wish ungekuwepo mapema humu kwenye ule Uzi wa shida ya meno uliwekwa humuWrite your reply...pole naona kama nitakuchanganya ila mimi nimepoteza jino moja na lingine limebak kipandf tangu mwaka 2015 nilivyotumia dawa hakuna jino tena lililotoboka au kuniuma na kimebaki kipande. Lakini kama upo dar es salaam nenda ubungo plaza ingia ndani kuna duka lipo karibu na ttcl wanauza madawa ya asili waambie tatizo lako watakusaidia mim kipind hiko nilinunua elfu kumi
Dawa zengine unakuta zinatoboa kabisa au unakuta yanameguka.Weka magadi ya kienyeji litauma na kupoa jumla.
Duh jino la juu SS hapa ni mitihaniChukua matula also known as ndulele, yale matunda yake, kamulia sehemu inayouma ila tahadhari, maji yake usimeze, dakika 3 jino linapoa na mdudu anakufa na unaweza kusahau hata issue za kungoa meno, nasisitiza, maji yake ya ndani dondoshea kwenye jino linalouma ila usimeze, baada ya hapo anza utamaduni wa kupiga mswaki kwa kutumia chumvi iliyochanganywa na limao
View attachment 3411738
Hata huko asilimia kubwa huwa kuna wanaondoa zile dalili za tatizo na si kuondoa chanzo cha tatizo.Wewe nenda hospital......muone dentist ......
Yote yanayosemwa hapo juu hayatakusaidia.
Hujasema umetumia dawa gani. Hilo ulilopoteza ilikuaje? Ulidondosha au ilikuaje likapotea? Meno unatakiwa uyaache kinywani ukitoa ni rahisi kupoteza. Na why utoe?Write your reply...pole naona kama nitakuchanganya ila mimi nimepoteza jino moja na lingine limebak kipandf tangu mwaka 2015 nilivyotumia dawa hakuna jino tena lililotoboka au kuniuma na kimebaki kipande. Lakini kama upo dar es salaam nenda ubungo plaza ingia ndani kuna duka lipo karibu na ttcl wanauza madawa ya asili waambie tatizo lako watakusaidia mim kipind hiko nilinunua elfu kumi
Yes hili watu hawalifuatilii wanatumia dawa shida inarudi hawajui hii nayo ni muhim mi piga ua siwezi lala bila kuswakiMimi nilihakikisha nakuwa msafi kinywani. Hadi leo Sina kesi ya jino
Swaki kila muda haswa unapojijuua unatatizo la meno.
Mimi hata ofsn Nina mswaki. Nikicharara natumia kuswaki kwa chunvi
Unaishi wapiWapendwa sijalala naugilia maumivu jino linanitesa hua linauma linaacha nimetumia dawa dawa hapo kati lakini Leo limeniamulia.
Kuhusu kutoa nimetoa meno kama ma 5 tokea udogoni Hadi hivi ukubwani pia mwaka Jana nilitoa ma wili kwakupishana miezi nilihisi nitapumzika Sito pata tena shida mwaka huu limenianza hili la juu limetoboka linanipa shida sana
MSAADA WA DAWA yoyote nitumie kama naweza kupona haraka.
Dawa iliyoniponesha mimi bila kung'oa jino.
LIMAO1
MAFUTA YA TAA MILLS 10(VIZIBO2 VYA MAJI)
MAJI KIKOMBE 1 CHA CHAI
Namna ya kuandaa.
Katakata vipande vya limao kisha weka kwenye sufuria bandika jikoni
Tia maji yako kile kikombe chote cha maji.
acha ya chemke hadi limao zibadirike rangi.Kisha weka mafuta ya taa acha kidogo kisha ipua na yaache ya poe.
Tafuta mswaki wa mti kisha uwe unachovya yale maji unasukutulia na kudondoshea matone ya maji hayo kama jino lako lina shimo.
Fanya hivyo kutwa mara3 kwa siku3-5 mfululizo.Baada ya hapo wadudu wote watakufa kifo cha mende na hutpata shida hiyo tena
Nenda kaling'oeWapendwa sijalala naugilia maumivu jino linanitesa hua linauma linaacha nimetumia dawa dawa hapo kati lakini Leo limeniamulia.
Kuhusu kutoa nimetoa meno kama ma 5 tokea udogoni Hadi hivi ukubwani pia mwaka Jana nilitoa ma wili kwakupishana miezi nilihisi nitapumzika Sito pata tena shida mwaka huu limenianza hili la juu limetoboka linanipa shida sana
MSAADA WA DAWA yoyote nitumie kama naweza kupona haraka.
Weka Mavi ya kuku ambae anaatamia mayai aliebakisha siku 1 kutotoaNimetafuna sana karafuu