Anayejua dawa ya jino, leo sijalala

Anayejua dawa ya jino, leo sijalala

Hizi dawa zinaua bacteria wa kwenye meno Ila pia zinasafisha damu ikiwa damu yako imechafuka .


Dawa hii ukotumia meno yatakuwa hayapati tena hiyo shida

Nb vidonge vina nguvu Sana hakikisha unakula , unashiba na unakunywa Maji ya kutosha.

Hizi dawa zinaua bacteria wa kwenye meno Ila pia zinasafisha damu ikiwa damu yako imechafuka .


Dawa hii ukotumia meno yatakuwa hayapati tena hiyo shida

Nb vidonge vina nguvu Sana hakikisha unakula , unashiba na unakunywa Maji ya kutosha.




View attachment 3411727
Kukipambazuka niiwai pharmacy
Tafuta punje 5 za karafuu weka penye jino linalouma. Utapata matokeo
Karafuu nimezitafuna sana mkuu
 
Kukipambazuka niiwai pharmacy
Usisahau kuleta mrejesho Ila hilo jino waweza kulitoa ikiwa limetoboka au ukaliziba


Hiyo dawa inaua wadudu na maambukizi kwahiyo ikiwa huo upande wa jino unautumia kitafunia utakuwa haujaondoa tatizo 100% maybe unatumia upande mwingine kutafunia.
 
Usisahau kuleta mrejesho Ila hilo jino waweza kulitoa ikiwa limetoboka au ukaliziba


Hiyo dawa inaua wadudu na maambukizi kwahiyo ikiwa huo upande wa jino unautumia kitafunia utakuwa haujaondoa tatizo 100% maybe unatumia upande mwingine kutafunia.
Nitarejesha mrejesho mkuu
 
Write your reply...pole naona kama nitakuchanganya ila mimi nimepoteza jino moja na lingine limebak kipandf tangu mwaka 2015 nilivyotumia dawa hakuna jino tena lililotoboka au kuniuma na kimebaki kipande. Lakini kama upo dar es salaam nenda ubungo plaza ingia ndani kuna duka lipo karibu na ttcl wanauza madawa ya asili waambie tatizo lako watakusaidia mim kipind hiko nilinunua elfu kumi
 
Pole sana mkuu

Dawa ya jino sio kung'oa

Kuna kuua mshipa wa jino libaki na liendelee kutumika au kuziba

Na wakati fulani utakuta tu ni magonjwa ya fizi yanayohitaji usafishwe kwa kina na kupewa dawa za kuimarisha fizi

Lakini yote hayo yatawezekana ikiwa kwanza utaenda kwa dentist atakapolichunguza jino lako atakushauri ni huduma gani hasa unayohitaji

Changamoto kubwa kwa watu wengi inapohusu afya ya kinywa ni hizi:

  • Kutofanya usafi wa kinywa. Hapa sizungumzii kusugua meno kila asubuhi, bali kwenda kwa dentist angalau mara mbili kwa mwaka kusafisha meno na fizi na kufanya checkup
  • Kutumia dawa za meno ambazo hazijaidhinishwa na wataalamu wa kimataifa wa meno, dawa kama Whitedent and the likes of hizi dawa hazina msaada wowote
  • Kutosafisha meno usiku kabla ya kulala
 
Tumia dawa ya Sensodyne au yoyote kati ya hizi

20250705_114611.jpg


20250705_114934.jpg


20250705_114242.jpg



20250705_114203.jpg
 
Mimi nilihakikisha nakuwa msafi kinywani. Hadi leo Sina kesi ya jino

Swaki kila muda haswa unapojijuua unatatizo la meno.

Mimi hata ofsn Nina mswaki. Nikicharara natumia kuswaki kwa chunvi
 
Hizi dawa zinaua bacteria wa kwenye meno Ila pia zinasafisha damu ikiwa damu yako imechafuka .


Dawa hii ukotumia meno yatakuwa hayapati tena hiyo shida

Nb vidonge vina nguvu Sana hakikisha unakula , unashiba na unakunywa Maji ya kutosha.




View attachment 3411727
Mkuu sema matumizi yake ameze vingapi na mara ngapi? ahsante
 
Dawa iliyoniponesha mimi bila kung'oa jino.

LIMAO1
MAFUTA YA TAA MILLS 10(VIZIBO2 VYA MAJI)
MAJI KIKOMBE 1 CHA CHAI

Namna ya kuandaa.

Katakata vipande vya limao kisha weka kwenye sufuria bandika jikoni
Tia maji yako kile kikombe chote cha maji.
acha ya chemke hadi limao zibadirike rangi.Kisha weka mafuta ya taa acha kidogo kisha ipua na yaache ya poe.

Tafuta mswaki wa mti kisha uwe unachovya yale maji unasukutulia na kudondoshea matone ya maji hayo kama jino lako lina shimo.

Fanya hivyo kutwa mara3 kwa siku3-5 mfululizo.Baada ya hapo wadudu wote watakufa kifo cha mende na hutpata shida hiyo tena
 
Sawa sawa Mafuta ya Nazi sina ila mida ya saa nne nimesukutua na Maji ya chumvi sana
Chukua matula also known as ndulele, yale matunda yake, kamulia sehemu inayouma ila tahadhari, maji yake usimeze, dakika 3 jino linapoa na mdudu anakufa na unaweza kusahau hata issue za kungoa meno, nasisitiza, maji yake ya ndani dondoshea kwenye jino linalouma ila usimeze, baada ya hapo anza utamaduni wa kupiga mswaki kwa kutumia chumvi iliyochanganywa na limao

Screenshot_20250720-043632.jpg
 
Back
Top Bottom