Anayejua dawa ya jino, leo sijalala

Anayejua dawa ya jino, leo sijalala

Wapendwa sijalala naugilia maumivu jino linanitesa hua linauma linaacha nimetumia dawa dawa hapo kati lakini Leo limeniamulia.

Kuhusu kutoa nimetoa meno kama ma 5 tokea udogoni Hadi hivi ukubwani pia mwaka Jana nilitoa ma wili kwakupishana miezi nilihisi nitapumzika Sito pata tena shida mwaka huu limenianza hili la juu limetoboka linanipa shida sana

MSAADA WA DAWA yoyote nitumie kama naweza kupona haraka.
Wahi kafanye root canal.
 
Mtu analala na mabaki ya chakula usiku mzima ambapo ni chakula cha bakteria wabaya lazima tu imletee shida, shida ya kinywa ni bakteria na huwa wanazalisha asidi na watu wengi unakuta mate yetu yamesha athiriwa na hii asidi inaathiri meno.
Exactly
Isafi wa kinywa na meno umetu cost sn aisee ht wazazi wachache sn wanafundisha na kusaidia watt wanapokua hili eneo
 
Isafi jmn wa kinywa na meno Muhim sn kabla hujalala everyday inasaidia Kwa kiasi kikubwa kupunguza, kuondokana na shida ya meno

Ndo maana sipendi deep kiss sbb hii🤣🤣
 
Huduma ya kwanza

Sukutua na Maji ya Chumvi ya moto

Matibabu

Tafuta dawa uuue hao wadudu dawa za antibiotics kuna dawa pakipambazuka nitakutumia utumie hiyo watakufa wadudu wote

Then waweza Juli'ngoa hilo Ila lazima uue hao bacteria wote
Dawa gan mkuu na mimi nnashida
 
Wapendwa sijalala naugilia maumivu jino linanitesa hua linauma linaacha nimetumia dawa dawa hapo kati lakini Leo limeniamulia.

Kuhusu kutoa nimetoa meno kama ma 5 tokea udogoni Hadi hivi ukubwani pia mwaka Jana nilitoa ma wili kwakupishana miezi nilihisi nitapumzika Sito pata tena shida mwaka huu limenianza hili la juu limetoboka linanipa shida sana

MSAADA WA DAWA yoyote nitumie kama naweza kupona haraka.
Kuna mpare mmoja anayo ya uhakik npm nakupm namba yangu.niko dsm hapa
 
Back
Top Bottom