Bibiharusi
JF-Expert Member
- Jul 6, 2025
- 386
- 431
- Thread starter
- #101
Kweli mkuu maumivu ya jino makalii mnoChangamoto ya meno inatesa watu sana.
Kweli mkuu maumivu ya jino makalii mnoChangamoto ya meno inatesa watu sana.
AsantePole sana, ungekuwa karibu ningekupa komesha ya kienyeji
Mh🤔Weka Mavi ya kuku ambae anaatamia mayai aliebakisha siku 1 kutotoa
Asantechukua kifuu cha nazi kichome kiwe majivu.Tafuta ndulele wengine wanaita ndula au kama huijui yale matunda jamii ya nyanya chungu au wengine wanaita ngogwe japo lakini hayaliwi.Pasua yale maji kamulia kwenye hayo majivu kisha weka kwenye shimo la jino.
Mdudu atakufa haraka sana
utakuja kunishukuru mimi nilifanya hivyo
Ata sijapumzika vzr nilikuwa hospital miez ya nyumaNenda kaling'oe
Kwa sasa sijajua, mimi nilifanya kama miaka mitano nyuma ilikua 30k kwa jino moja.Root canal kwa sasa ni bei gani mkuu kama hautajali?
AsanteKama uko Moshi, ni pm nikupatie dawa kwa 3000/- tu ni kiboko ya jino linalouma ndani ya nusu saa utapata nafuu then utasahau issues ya kung'oa kabisa. Ila kwa sasa nashauri usipige mswaki na dawa ya meno hizi za chemicals/ madukani badala yake tumia chumvi mawe, mkaa au karafu.
Ni kweli na sababu wengi hatuna japo elimu kidogo ya afya ya kinywa, jamii imekariri kung'oa jino tu au kutafuta dawa ya kupoza maumivu bila kutaka kujua chanzo cha tatizo ni nini.Changamoto ya meno inatesa watu sana.
Asante sana mkuuPole Sana mkuu
Wanachemsha star anise pamoja na karafuu. Ikipoa unasukutua kinywani mara kadhaa kwa siku.Nimetafuna sana karafuu
😄😄😄hahah mtoa mada naona ulivyo vurugwa hujui umeze ipi,zote unaitikia asante
ChangamotoJino ni shida asee
Hakika mkuu.Ni kweli na sababu wengi hatuna japo elimu kidogo ya afya ya kinywa, jamii imekariri kung'oa jino tu au kutafuta dawa ya kupoza maumivu bila kutaka kujua chanzo cha tatizo ni nini.
Mate yetu yakiwa kwenye afya kwa maana hayana asidi na yana madini yenye kuhitajika basi hufanya kazi ya ku repair zile damage ila sisi damage ni kubwa kuliko kiwango cha repair.
Daah ni kweli mkuu.Kweli mkuu maumivu ya jino makalii mno
Mtu anajua ana matatizo ya meno ila kutwa kunywa soda,juice na mswaki wenyewe anapiga mara moja tu asubuhi na huo mswaki umeisha hatari hadi unauonea huruma.Jino ni shida asee
DahMtu anajua ana matatizo ya meno ila kutwa kunywa soda,juice na mswaki wenyewe anapiga mara moja tu asubuhi na huo mswaki umeisha hatari hadi unauonea huruma.
Sasa naona umepewa solutions za kutosha na zote unashukuru sijui umefanyia ipi kazi, em fanyia hizo kwanza walizoleta wakuu hapo juu kisha utuletee mrejesho.Zipo mkuu
Sawa sawaSasa naona umepewa solutions za kutosha na zote unashukuru sijui umefanyia ipi kazi, em fanyia hizo kwanza walizoleta wakuu hapo juu kisha utuletee mrejesho.
Mkuu unatumia gani kupigia mswaki?Sawa sawa