Aurora
JF-Expert Member
- May 25, 2014
- 7,308
- 5,275
lolest
Kisa cha kumuita mwenzio Lyatonga!!!!!![]()
![]()
![]()
lolest
Kisa cha kumuita mwenzio Lyatonga!!!!!![]()
![]()
![]()
Tatizo lako huelewi, ngoja nikuache basi mwambie afanye unavyo mshauriBaba yako kukukataa unafurahia au? Baba yako na baba wa huyo mtoto wamefanana..na dawa yao ni kunyimwa watoto.
.
.
Pole kwa kukataliwa. Lakini ili kuwakomesha na kuwafundisha wanaume wanaotelekeza watoto adhabu ndio hiyo! Hakuna namna! Pole sana.
tehe tehe tehe mfukunyuku na weweMtu wetu huyu. Mwaka jana mtoto alikua na miezi 5 mwaka huu tayar ana miaka 3 aisee
Nakuja mwona mtoto na ntalala hapo
''Mwanangu, babako amekufa''
KWANI USIPOPELEKA ZAWADI MKUU INAKUFANYA WEWE KUTOKUWA BABA?..Kama una akili sawasawa huyo jamaa sio wakupewa mtoto...kama unaweza kumlea komaaa mwenyewe...sisi wanaume sometime sijui tunakuwagaje...halafu anaonekana ni wale wapenda miteremko..unakuja kumwona mtoto hata pipi yakijiti huna???au mlitiana mimba wote mkiwa watoto..
Nimepata amani ya moyo. Nina maisha yangu hivyo sihitaji urithiUMkuu baada ya kumtafuta ulipata kitu gani ? Au ulienda kutafuta urithi ?
We unajua nn mana ya kuwa baba??KWANI USIPOPELEKA ZAWADI MKUU INAKUFANYA WEWE KUTOKUWA BABA?..
SASA KAMA BABA WAKATI HUO HAKUWA NA UWEZO WAKUTOA HUDUMA JE?...SASA AMEPATA KAUWEZO AMEKUMBUKA JUKUMU..SASA HUYO MWANAMKE ANAPOMKATALIA SASA..ANAFANYA MAKOSA CUZ HATA AKICHUKULIWA HAITABADILI UHALISIA KUWA YEYE NI MAMA WA MTOTO..SIDHANI KAMA KUNA HAJA YA MGOGORO.....Yes mwache amuite my prince. Huyo baba hana nafasi alitelekeza mtoto kwa roho yake ya ubinafsi halafu aje kumtaka mwanae kwa Muda anaotaka yeye. Huyu mwanamme ni zaidi ya mshenzi. Mama husiruhusu mtoto wako achukuliwe na ile dudu, mlee mwenyewe mwenyezi Mungu atakubariki tu.
Aisee mimi nilijua YATIMA NI MTOTO ALIEFIWA NA WAZAZI WOTE WAWILI........SASA KAMA BABA WAKATI HUO HAKUWA NA UWEZO WAKUTOA HUDUMA JE?...SASA AMEPATA KAUWEZO AMEKUMBUKA JUKUMU..SASA HUYO MWANAMKE ANAPOMKATALIA SASA..ANAFANYA MAKOSA CUZ HATA AKICHUKULIWA HAITABADILI UHALISIA KUWA YEYE NI MAMA WA MTOTO..SIDHANI KAMA KUNA HAJA YA MGOGORO.....
IKUMBUKWE...MTOTO ALIYEFIWA NA BABA HUITWA YATIMA..LAKINI SIO ALIYEFIWA NA MAMA...HII INAMAANA KUWA BABA NI MUHIMU..KWA WAKATI WAKE...AMBAO NADHANI NI SASA.MTOTO AKIWA ANA UWEZO WA KULA..KUONGEA..KWENDA MSALANI N.K..SASA MAMA ALITAKA MWANAUME ACHUKUE MTOTO AKIWA ANA MIEZI MIWILI??AKANYONYESHE NANINI?(NA KAMA ANGEMPA MTOTO AKIWA NA MIEZI MIWILI BASI NAYEYE MAMA ANGEKUWA HANA UMUHIMU TENA KWA MTOTO KWA SASA KWA MAANA KUKUFANYA YALIYOMPASA KWA MUDA MUAFAKA..KULEA..SASA NI MUDA MUAFAKA WA BABA AMPE NAFASI)
Mtoto anahitaji mapenzi ya wazazi wote pale tu anapokua na kunawiri? Umemfikiria mama aliyebeba mimba mwenyewe bila upendo wowote wa baba na mtoto akazaliwa mpk amekua ana afya nzuri hakupata upendo wa baba? Na mbaya zaidi baba yupo na anafahamu ana mtoto hawajibiki kwa chochote... Acha kabisa wewe bora ukae kimya maana huelewi situatiatio za wamama waliotelekezwa.
Alafu bado anajifikiria mara mbili hadi kuja kuuliza jf, yani huyo mwanaume ni kimeo haswaaaaYani hiyo kauli imenikera hiyo dharau sana.
Usije ukaniletea ban, yaani umefulia mwaka, 2,3 mwanao hali hanywi? Wewe ulivyofulia unakaa wee huli chakula? Ama kwakuwa huyo mtoto ni extra unatoa matunzo ukiwa na hela ya extra? Maisha ya mtoto umefulia mwaka? Mungu nifundishe kunyamaza
We mwanamke, nakuomba sana sana huyo MTU asimkaribie mwanao hadi hapo mwanao atakapooota ndevu...Huwa natwist umri wa mwanangu ili mhusika asijue
Bt kweli anamtaka mtoto,that's the ishu here wakati bado mdogo
oouh basi sawaAkifikisha umri wa kujitambua,sijamnyima kumwona mwanae,yeye kujiweka pembeni na kuishia kuchukua picha za mwanangu wattsup,bila kujua anakula nn wala anavaa nn hakumpi haki kumchukua eti kisa amependeza na anaona sasa wamefanana kama mapacha.
You are very strong!na una huruma!kwa kauli alizotoa,mie asingeona hata sura ya mtoto,labda mtoto amtafute mwenyewe atakapokuwa mkubwa!!Ndio anapenda mteremko kweli.halafu ananambia nasikia siku hizi uko njema kweli nimepata story zako,umepewa kitengo.can you imagine?
Anapita ubungo hata kumchukulia mwanae kaptula ya mtumba ya buku 2 hajali,halafu nimpe mtoto?kweli?
No tulimpata my prince tukiwa na akili zetu timamu,tena kwenye mahusiano yalokuwa imara .sema alivyo zaliwa mtoto tu akasepa zake,akanambia yeye bado kijana mbichi nisimzeeshe na majukumu.akakata mawasiliano.nikapiga moyo konde nikalea mwanangu kwa upendo naamani kabisa.
Tena mtoto ana furaha muda wote yeye ni kucheka sababu sikutaka mapito niliyo pita yaathiri ukuajia wake.
YOU ARE SMART MKUUNakunukuu** ukishindwa kumlea utampa kwa hiari yako,,,mwsho wa kunukuu
Kitu kimoja unachosahau ni kwamba ni mwanae tu,utake usitake na wewe unajua hilo.
Pili utajisikiaje akishafikisha umri huo na akamchukua kisheria? Unadhan haitakuuma zaid ya sasa??
Kosa kubwa mlifanya wote kuzaa kabla ya ndoa japo imeshatokea haina jinsi ila kumbuka ikifikia mtoto akianza namtaka baba yangu hakuna rangi utaacha kuona,leo unafuraha nae sababu ua age yke lakin akikua ule uzur wake unaousema hapa hutauona tena maana atakusumbua kila siku namtaka baba yangu.
Na ukimuaminisha kwamba yule sio baba yake madhara yake ni kwamba huyo ulienae leo akifa utauficha wap sura yko jumwaminisha tena ndio baba yake??
Leo unasema tu sababu una uwezo wa kumtunza bt je binadam hajafa hujaumbika,umeshajiuliza likitokea ukatangulia wewe itakuaje?au ukapata ulemavu wa kudumu japo sikuombei then ulie nae akukimbie utamrudiaje jamaa amlee mwanae??
Uwezo wako wa kumlea hauhalalishi kwamba yule sio mwanae au huwez mpatia mtoto japo alikutenda zaman bt still ni baba yake hata dunia inajua na Mungu anajua,,
Ushauri
KWANZA msamehe kwa yte,ondoa sumu yote uliyoipanda kichwan mwako,then mwambie mwanao ukwel wote na ampende baba yake km mzaz halis kwake,
PILI- kaa na shauriana na huyo mtu ulienae sasa umwambie mwanzo mpka mwsho then umsikilize mawazo yake kwa faida ya mwenenu,
TATU-huyo mtoto ukiweza na ukajua kabisa kwamba jamaa anaweza kumtunza vizr mpe muda ukifika,maana nahakika mwanaume hyo anauwezo wa kuvuruga mahusiano yako ya sasa kulko kipindi kingine chochote kwa kigezo cha huyo mtoto.
Mwisho,kama moyo wako upo radhi msameh na mrudiane japo ingekua mm nikiachana na mtu,yaan ikafika kwamba mm na wewe bas kiukwel Mungu anajua siwez kukurudia asilan,wala mtoto hawez kunifanya nikakurudia asilan,tatizo hapo nikichunguza kwa jicho langu la tatu naona una mawasiliano mengi na jamaa so huyo ulie nae kwa sasa unajua roho yake inajisikiaje?? Inaweza fika kipind ukawa umechelewa au kuwah sababu hutaona raha yyte kwenye mahusiano mapya wala kwa mtoto kisa tu umeshindwa kuchukua hatua mapema,na navyojua ukimpa na ukawa unaenda kumsalimia hakika lazima jamaa akugegede kubali kataaa... Ninauzoefu na kesi nying za namna yako na najua wapi pa kushika na kipi kifanyike. Pole sana rafiki
Tchao kwa sasa ila nitarud
Yaani,umenena vyema mkuuUnafkiri ubaba ni uwezo wa kutoa mbegu tu na kuzalisha then ukimbie?chaaaa yaani kwanza baba asiyehudumia mwanangu nabadilisha mpaka jina la ukoo analotumia atatumia la kwangu na kingine hakuna ugumu mm kumwambia ww ulishakufa kitambo
Kama umefulia kwa nini uzae?Kuna sababu nyingi nyuma ya pazia you never know, tatizo lenu akina mama wagumu kuelewa mnataka kila mnachokitaka kifanyike kwa wakati huo, mtu akikuambia kafulia ujue kafulia kweli.

IKO HIVI MKUU....Aisee mimi nilijua YATIMA NI MTOTO ALIEFIWA NA WAZAZI WOTE WAWILI........
Sawa mkuu. Naweza nisikuelewe kwasababu sijapitia situation kama yako.Tatizo lako huelewi, ngoja nikuache basi mwambie afanye unavyo mshauri