I think ni chini ya 12 years...Tafuta mwanasheria
ninavyojua mtoto chini ya miaka kumi anatakiwa kukaa na mama
unless kuwe na sababu zingine
anzia pia ustawi wa jamii
Kama una akili sawasawa huyo jamaa sio wakupewa mtoto...kama unaweza kumlea komaaa mwenyewe...sisi wanaume sometime sijui tunakuwagaje...halafu anaonekana ni wale wapenda miteremko..unakuja kumwona mtoto hata pipi yakijiti huna???au mlitiana mimba wote mkiwa watoto..No si ubinafsi,naangalia maslahi mapana ya mwanangu.at least atimize umri wa kujitambua,ndio kwanza ana miaka 3.isitoshe sijawahi mnyima kumwona, pamoja na hayo mwanzoni alinambia yeye hakuwa na mpango wa kuzaa,so hilo ni langu nilibebe,nikalibeba.nikakubali majukumu kama mwanamke na mama.leo imekuwaje?imagine mtu anakuja mwona mwanae hata machungwa tu hamletei?atajali malezi na makuzi ya huyu mtoto kweli?yeye anamwona kanona anadhani ni muujiza,malezi ni kujitoa na kujikana.
Mtoto hatokani ni mzazi mmoja, hata usipomwambia atamtafta aende.Dada zetu bwana.
Kwahiyo hapo unasema mtoto ana baba wakati hajawahi toa hata kilo moja ya sukari ya uji wa mtoto.
Ningekuwa ndio mimi huyo jamaa asahau kama ana mtoto.
Ila dada zetu mna huruma sana.
Yes mwache amuite my prince. Huyo baba hana nafasi alitelekeza mtoto kwa roho yake ya ubinafsi halafu aje kumtaka mwanae kwa Muda anaotaka yeye. Huyu mwanamme ni zaidi ya mshenzi. Mama husiruhusu mtoto wako achukuliwe na ile dudu, mlee mwenyewe mwenyezi Mungu atakubariki tu.Huu ndio tunauita ubinafsi, mtoto mlitafuta wote alafu unatumia neno my prince inamaana ye hamhusu? Kukataa kulea haitoi uhalisia wa ubaba wake na umiliki wa huyo mtoto.
Ushauri wangu tafuteni sehemu tuliivu mkiwa wawili mjadili hatma ya huyo mtoto na jinsi ya kumlea nina imani hakita haribika kitu
Sawa hatujui na ndio sababu,tunabeba mimba miezi 9,tunazaa kwa uchungu then tunakubali kulea mtoto hata kina baba mkijiweka pembeni.Tunajikana na kubeba msalaba wetu,hatukimbii jukumu la malezi kwani mtu mzima ni kuwajibika kwa maamuzi uliyofanya.Kinamama hamjui kulea watoto vizuri....
Akifikisha umri wa kujitambua,sijamnyima kumwona mwanae,yeye kujiweka pembeni na kuishia kuchukua picha za mwanangu wattsup,bila kujua anakula nn wala anavaa nn hakumpi haki kumchukua eti kisa amependeza na anaona sasa wamefanana kama mapacha.Pamoja na hayo yote ujue mtoto ni haki yake kumjua Baba halisi na haki yake pia kupata malezi ya Dingi
Ndio anapenda mteremko kweli.halafu ananambia nasikia siku hizi uko njema kweli nimepata story zako,umepewa kitengo.can you imagine?Kama una akili sawasawa huyo jamaa sio wakupewa mtoto...kama unaweza kumlea komaaa mwenyewe...sisi wanaume sometime sijui tunakuwagaje...halafu anaonekana ni wale wapenda miteremko..unakuja kumwona mtoto hata pipi yakijiti huna???au mlitiana mimba wote mkiwa watoto..
Haina shaka akikua mwenyewe akahitaji kwenda sitamkataza.sitaki mwanangu akue halafu aishi kwa huzuni aseme mama hakunipenda,alinitelekeza ilhali alikuwa na uwezo wa kunilea.Mtoto hatokani ni mzazi mmoja, hata usipomwambia atamtafta aende.
Kumbuka hasira zinaharibu afya ya akili ya mtoto.
If that is the case you are real right...Haina shaka akikua mwenyewe akahitaji kwenda sitamkataza.sitaki mwanangu akue halafu aishi kwa huzuni aseme mama hakunipenda,alinitelekeza ilhali alikuwa na uwezo wa kunilea.
Ndio mwanangu,is my prince,my hero,my happiness and everything.Nampenda sana hata mwenyewe anajua.i always tell him son i love you naye kanajibu i love you too mom.halafu kako smart na charming sana.zote ni baraka za mwenyezi Mungu.Yes mwache amuite my prince. Huyo baba hana nafasi alitelekeza mtoto kwa roho yake ya ubinafsi halafu aje kumtaka mwanae kwa Muda anaotaka yeye. Huyu mwanamme ni zaidi ya mshenzi. Mama husiruhusu mtoto wako achukuliwe na ile dudu, mlee mwenyewe mwenyezi Mungu atakubariki tu.
Am done with him,sijawahi mchukia lakini hilo halifanyi niwe mjinga anigeuze incubator,nilijifunza na sijawahi rudi huko.mahusiano kati yangu naye yalivunjika nilimpomzaa mwanangu.
Huu ndio tunauita ubinafsi, mtoto mlitafuta wote alafu unatumia neno my prince inamaana ye hamhusu? Kukataa kulea haitoi uhalisia wa ubaba wake na umiliki wa huyo mtoto.
Ushauri wangu tafuteni sehemu tuliivu mkiwa wawili mjadili hatma ya huyo mtoto na jinsi ya kumlea nina imani hakita haribika kitu

Kwanza mimi endapo umezaa na mimi halafu hatujaoana poa ila uhakikishe matumizi ya mwanao unatuma kama hutumi mawasiliano na mimi sahau hadi ufe, mwenye damu yako humtunzi unaanzaje kunizoea mimi ni ndugu yako?? Subiri aote ndevu mkutane barabarani maana hata upige simu na sms mara 10000000 sipokei sijibu hadi uwe responsible father tena awamu hii ya tano ni #hapakazitu#![]()
![]()
![]()