Anataka mchukua mwanangu kinyemela

Anataka mchukua mwanangu kinyemela

Mifumo mingine ni mibovu sana katika jamii zetu. He impregnated you, left you for other women, you've raised a great young man, then all of a sudden anakuja kutaka kuishi na mtoto, just like that? No, hilo halikubaliki hata kidogo, he has to bear the burden you you went through, hata mila zetu zinataka hivyo.

Sheria za kimila zinamtaka huyo jamaa alipe fidia ili dogo awe rightfully his, hawezi kupata mtoto kirahisi tu. I stand with you mleta mada.

Yani mimi hata amlee kuanzia mimba ie awe responsible 100%, I can't imagine ile hali eti mwanetu anachukuliwa akalelewe na baba yake na mkewe sijui au anapelekwa kwa shangazi sijui bibi. Aisee Mungu anisaidie tu

Hapo hata kulipa fidia ni formality tu sionagi kama ni adhabu kabisa. Haiwezi kucompensate the time she needed him, maumivu + frustrations aliyompa. Kwa sababu sometimes mtu huhitaji pesa ila maneno tu ya faraja ya mwenzi wako, like "don't worry I'm here with you". Hiyo fidia atakayolipa haina thamani compared na ule muda aliokuwa na uhitaji na hiyo pesa haswaa.
 
HEHEHEH...PINGA KWA HOJA MKUU...KEJELI HAZITAWEZA KUPINGA HOJA...USIFUATE TAFSIRI ZILIZOWEKWA NA WATU KAMA WEWE KUWA HERUFI KUBWA BASI INAMAANISHA NI KUPAYUKA..NI NAMNA NIMEAMUA TU KATIKA UANDISHI..KAMA INAKUBOA..SIMPLE..JUST SKIP IT.. BRRRRRRRRRRRR

KINGINE...SIFA YA UTAWALA KATIKA NDOA NI MFUMO DUME...NYUMBA YENYE MFUMO JIKE UTII HAUPO NA FAMILIA INAKOSA MAADILI...

NDIO MAANA CHUNGUZA HATA WASANII WENGIIIII WA MUZIKI ,KUIGIZA N.K UTAMSIKIA AKISEMA MUDA MWINGI "WITHOUT MY MOM I WOULDNT BE HERE TODAY,THANKS MY MOM"....HII HAINAMIISHI WALIKUWA HAWANA KINA BABA..MANAKE KINA BABA WALIKUWA HAWATAKI UPIMBI MTOTO AJIINGIZE KWENYE RAP, NK BADALA YA KWENDA KUSOMA...SASA KINA MAMA NDIO WANASUPPORT HARAKATI ZOOTE AMBAZO ZINA UTOVU WA KIMAADILI..

CHUNGUZA HAO WASANII..UTAKUTA IMEJICHORA MITATTOO YA MAJINA YA MAMA ZAO..LAKINI HUKUTI JINA LA BABA PALE..SABABU UJINGA HAWAPENDI..KWAHIYO NIHITIMISHE KWA KUSEMA MFUMO DUME NI SAHIHI KWA AFYA YA FAMILIA.

MATUSI MWIKO..PINGA KWA HOJA WALAU UTAELEWEKA
Sipendagi mwandiko wa herufi kubwa sijui kwanini!
 
Habari za mida wanabodi
Nikiri tu mimi ni member mzuri sana wa JF.Ok tuache soga ndefu,ni hivi kuna mwanaume nilizaa nae kitambo kiasi na baada ya mtoto kuzaliwa tu akanipotezea mimi na mwanangu.Bt hey tembo hashindwi na mkonga wake nikamlea mwanangu peke yangu since mimba hadi saivi akiwa kijana flan amazing,ana afya bora,ana akili sana,etc

Niliamua kufanya hivyo baada ya yeye kujitenga na kutonisupport kwa lolote si mimi wala mwanangu.Nikaacha kumuomba matumizi na kadhalika in short nilikata mawasiliano naye kabisa.mwanzo nilikuwa namsihi aniboost hata matumizi ya mtoto akagoma,so nikafanya maamuzi magumu,nikamwacha aendelee na maisha yake na nikawa single mom rasmi and am proud of that.

At the moment mimi na my prince we are ok,ana afya bora thanks to my GOD,and mimi pia nina mahusiano na mtu mwingine tayari and we are happy.

Ishu niliyoileta mhusika,baba wa mwanangu ameanza kufanya mawasiliano,its ok ukizingatia niko na mwanae.tatizo ananisihi nimpe mwanangu anisaidie kulea,ila naona kama trick ya kutaka kumchukua kijana wangu jumla.

Mara zote nimemwambia subiri atimize miaka saba then afate taratibu za kisheria amchukue.Anadai amemmiss mwanae anataka kuishi naye na hatonizuia kumuona.funny !!!mtu ambaye hajawahi toa hata mia ya chakula cha mwanae leo anaona ana haki ya kuchukua furaha yangu.ukizingatia ana kipato kizuri tu.

Amenambia kama ni mtoto mwingine atanipa,ila mie nimemjibu siko tayari kuzaa naye tena.Kwani alinitelekeza mimi na mwanangu.huko aliko azae mtoto mwingine ama wengine huyu nataka nimlee mwenyewe .He is my joy,life and prestige(my son,my little man).

Naombeni ushauri kwakuwa najua jamaa anataka kumchukua mwanangu mazima.jambo ambalo siko tayari.nashukuru Mungu nina ka uwezo ka kumlea.ikifika muda nikashindwa nitampa kwa ridhaa yangu,kwani naangalia maslahi mapana ya mwanangu .Ila kwa sasa sijashindwa,nayaweza yote katika yeye anitiaye nguvu.

Na sina mpango wa kuzaa tena,maumivu aliyonipitisha yamenifunza .Wanasema mjinga wakati wa kwenda .karibuni wadau,nahitaji mawazo yenu kwa hakika .
Daahhh alafu uyo mwanamme, unanmpemda sana toka moyoni licha kwamba alikutekeleza lkn still unampenda mnoo.
BTW ,, Mzazi mwenzako nimwenzako tu mpendwa hata kama utamkimbia atabaki kua ivo sababu mtoto anawaunganisha, kama anamuhitaji mtoto nakwa nia njema mpe son long as naww utakua na access yakumuoa muda wote unaotaka ,, kama atakugeuka badae basi ndio unaweza kwenda uko ustawi jamii !! .

Lkn pia km unahisi mtoto anaweza lelewa na mwanamke mwingine ,Piga chini Dada kataa katakata !!.

Sema nini,, naona jamaa ndo anatafuta njia za kukurudisha kwake tena ,, I mean anakuitaji ,, naww ukishakubali tu ujue kila utakapomtembelea nyumban kwake kumjulia mtoto hali ujue lazima "mstue " akili zetu tunazijua wenyewe .

May God bless you ktk kuhakikisha mtoto anakua ktk maisha safi na salama .
 
Hivi Latoya huyu jamaa ndie yule aliekwambia nakuja kumuona mtoto na nitalala huko huko kwako??? Pole dada hakika huyo jamaa ni hasara. Ila nimegundua una tabiya fulani ya upole uliochanganyika na huruma,tabiya hizi mara nyingi hunasibishwa na mapenzi,hiyo ndio asili yako na naamini mara nyingi watu kutake advantage kutokana na huo upole wako na mbaya jamaa yako anakuelewa vizuri na analazimisha kutafsir namna unavyomkirim kwenda kumuona mtoto kama sehem ya mapenzi yaliyosalia moyon mwako,He tries to corner you akiamini ipo siku utasalim amri Kumbe wewe huna hata habari naye(Kama ni kweli),you need to be tough my sis huyo jamaa bado anakuchukulia poa,ndio maana haishi kukwambia maneno ya kifedhul. Usipoangalia anaweza hata kukuharibia ktk mahusiano yako huko mbeleni,usimuintertain huyo kiumbe. Huyo ni price wako,huyo jamaa hana chake ulipotoka ni pazito zaidi kuliko unapoelekea,Yote aliyokufanyia huyo bwana na yote anayoendelea kuyatenda yanakupa picha nzima ya aina ya mwanaume uliyezaa nae,all that looks good is not good na naamini Usingepata ujauzito yawezekana leo ungekuwa ktk ndoa na huyo na bwana na angekustress for the rest of your life
 
Dada zetu bwana.

Kwahiyo hapo unasema mtoto ana baba wakati hajawahi toa hata kilo moja ya sukari ya uji wa mtoto.

Ningekuwa ndio mimi huyo jamaa asahau kama ana mtoto.

Ila dada zetu mna huruma sana.
Ukifanya hivyo utakuwa humkomoi jamaa, bali unamkomoa mtoto. Na siku motto akija kuwa mkubwa akaujua ukweli mama utachukiwa na kukimbiwa na mtoto mazima
 
No si ubinafsi,naangalia maslahi mapana ya mwanangu.at least atimize umri wa kujitambua,ndio kwanza ana miaka 3.isitoshe sijawahi mnyima kumwona, pamoja na hayo mwanzoni alinambia yeye hakuwa na mpango wa kuzaa,so hilo ni langu nilibebe,nikalibeba.nikakubali majukumu kama mwanamke na mama.leo imekuwaje?imagine mtu anakuja mwona mwanae hata machungwa tu hamletei?atajali malezi na makuzi ya huyu mtoto kweli?yeye anamwona kanona anadhani ni muujiza,malezi ni kujitoa na kujikana.
kijana hana ugomvi wowote na baba yake tatizo lipo kwenuu wazaz mtoto anahaki kutambua baba yake.... tuliza munkar kaeni mjadili future ya kijana kwan iwe isiwe mtoto atamhitaji baba yake in near future kosa limesha tokea na hapa unaleta upande mmoja wa tatizo what if wwe ndio ulikuwa kivuruge since then

Sent from my TECNO-Y6 using JamiiForums mobile app
 
Habari za mida wanabodi
Nikiri tu mimi ni member mzuri sana wa JF.Ok tuache soga ndefu,ni hivi kuna mwanaume nilizaa nae kitambo kiasi na baada ya mtoto kuzaliwa tu akanipotezea mimi na mwanangu.Bt hey tembo hashindwi na mkonga wake nikamlea mwanangu peke yangu since mimba hadi saivi akiwa kijana flan amazing,ana afya bora,ana akili sana,etc

Niliamua kufanya hivyo baada ya yeye kujitenga na kutonisupport kwa lolote si mimi wala mwanangu.Nikaacha kumuomba matumizi na kadhalika in short nilikata mawasiliano naye kabisa.mwanzo nilikuwa namsihi aniboost hata matumizi ya mtoto akagoma,so nikafanya maamuzi magumu,nikamwacha aendelee na maisha yake na nikawa single mom rasmi and am proud of that.

At the moment mimi na my prince we are ok,ana afya bora thanks to my GOD,and mimi pia nina mahusiano na mtu mwingine tayari and we are happy.

Ishu niliyoileta mhusika,baba wa mwanangu ameanza kufanya mawasiliano,its ok ukizingatia niko na mwanae.tatizo ananisihi nimpe mwanangu anisaidie kulea,ila naona kama trick ya kutaka kumchukua kijana wangu jumla.

Mara zote nimemwambia subiri atimize miaka saba then afate taratibu za kisheria amchukue.Anadai amemmiss mwanae anataka kuishi naye na hatonizuia kumuona.funny !!!mtu ambaye hajawahi toa hata mia ya chakula cha mwanae leo anaona ana haki ya kuchukua furaha yangu.ukizingatia ana kipato kizuri tu.

Amenambia kama ni mtoto mwingine atanipa,ila mie nimemjibu siko tayari kuzaa naye tena.Kwani alinitelekeza mimi na mwanangu.huko aliko azae mtoto mwingine ama wengine huyu nataka nimlee mwenyewe .He is my joy,life and prestige(my son,my little man).

Naombeni ushauri kwakuwa najua jamaa anataka kumchukua mwanangu mazima.jambo ambalo siko tayari.nashukuru Mungu nina ka uwezo ka kumlea.ikifika muda nikashindwa nitampa kwa ridhaa yangu,kwani naangalia maslahi mapana ya mwanangu .Ila kwa sasa sijashindwa,nayaweza yote katika yeye anitiaye nguvu.

Na sina mpango wa kuzaa tena,maumivu aliyonipitisha yamenifunza .Wanasema mjinga wakati wa kwenda .karibuni wadau,nahitaji mawazo yenu kwa hakika .
Pole dada ila mbona kama uzidisha confusion umesema una mtu tayari the sametime unasema huyo ulie zaa nae anataka mzae tena sasa inakuwaje tayari una mtu huku unampana nafasi ya kukurudia
So why l don't impressed with the single mother who have a kids with someone else

Sent from my GT-I9300 using JamiiForums mobile app
 
No si ubinafsi,naangalia maslahi mapana ya mwanangu.at least atimize umri wa kujitambua,ndio kwanza ana miaka 3.isitoshe sijawahi mnyima kumwona, pamoja na hayo mwanzoni alinambia yeye hakuwa na mpango wa kuzaa,so hilo ni langu nilibebe,nikalibeba.nikakubali majukumu kama mwanamke na mama.leo imekuwaje?imagine mtu anakuja mwona mwanae hata machungwa tu hamletei?atajali malezi na makuzi ya huyu mtoto kweli?yeye anamwona kanona anadhani ni muujiza,malezi ni kujitoa na kujikana.
You are his biological mother as well as he is a biological father
But its you who carrying the innocent creature to your belly... so be patience and don't let him go!!!!

Sent from my GT-I9300 using JamiiForums mobile app
 
Akifikisha umri wa kujitambua,sijamnyima kumwona mwanae,yeye kujiweka pembeni na kuishia kuchukua picha za mwanangu wattsup,bila kujua anakula nn wala anavaa nn hakumpi haki kumchukua eti kisa amependeza na anaona sasa wamefanana kama mapacha.
Nahic kuna jambo ulimfanyia baya so why ali withdraw

Sent from my GT-I9300 using JamiiForums mobile app
 
Ndio mwanangu,is my prince,my hero,my happiness and everything.Nampenda sana hata mwenyewe anajua.i always tell him son i love you naye kanajibu i love you too mom.halafu kako smart na charming sana.zote ni baraka za mwenyezi Mungu.
But you're building a boundary btw your son and his father
Na huyu mtoto akikua atajenga chuki kwa baba pia naona kuwa wewe mdomo ndo ulikuponza so why huyo baba mtoto akakuterekeza hapa tunachangia one side of story l hope the guy he have much to tell. .

Sent from my GT-I9300 using JamiiForums mobile app
 
Kwanza mimi endapo umezaa na mimi halafu hatujaoana poa ila uhakikishe matumizi ya mwanao unatuma kama hutumi mawasiliano na mimi sahau hadi ufe, mwenye damu yako humtunzi unaanzaje kunizoea mimi ni ndugu yako?? Subiri aote ndevu mkutane barabarani maana hata upige simu na sms mara 10000000 sipokei sijibu hadi uwe responsible father tena awamu hii ya tano ni #hapakazitu#
Hata simba ni mkali ana makucha na meno ila anazaa calm down

Sent from my GT-I9300 using JamiiForums mobile app
 
Unafkiri ubaba ni uwezo wa kutoa mbegu tu na kuzalisha then ukimbie?chaaaa yaani kwanza baba asiyehudumia mwanangu nabadilisha mpaka jina la ukoo analotumia atatumia la kwangu na kingine hakuna ugumu mm kumwambia ww ulishakufa kitambo
Punguza hasira dada yote hayo utafanya ila mtoto atabiki kuwa baba mmoja tu huyo alie kupa hiyo mimba na sio kaka yako
It's how life is are for

Sent from my GT-I9300 using JamiiForums mobile app
 
Malezi mazuri ya mtoto ni kutoka kwa wazazi wote wawili...

Even after all what the dude has made you go through, you sound still loving the dude...

Kukupa ushauri ni ngumu kwa sababu bado unampenda huyo jamaa..

Cc: mahondaw
I also smell something fishy, Old Pussy on demand, Huh..

Sent from my TECNO_W4 using JamiiForums mobile app
 
No si ubinafsi,naangalia maslahi mapana ya mwanangu.at least atimize umri wa kujitambua,ndio kwanza ana miaka 3.isitoshe sijawahi mnyima kumwona, pamoja na hayo mwanzoni alinambia yeye hakuwa na mpango wa kuzaa,so hilo ni langu nilibebe,nikalibeba.nikakubali majukumu kama mwanamke na mama.leo imekuwaje?imagine mtu anakuja mwona mwanae hata machungwa tu hamletei?atajali malezi na makuzi ya huyu mtoto kweli?yeye anamwona kanona anadhani ni muujiza,malezi ni kujitoa na kujikana.
Vipi kuhusu huyu jamaa wako wa sasa? Is he not jealous of the fact that you get in touch with your Ex whenever you want to? Any pre described conditions so far?? because I know for sure they're always misunderstanding unless otherwise he is not into you per se

Sent from my TECNO_W4 using JamiiForums mobile app
 
Habari za mida wanabodi
Nikiri tu mimi ni member mzuri sana wa JF.Ok tuache soga ndefu,ni hivi kuna mwanaume nilizaa nae kitambo kiasi na baada ya mtoto kuzaliwa tu akanipotezea mimi na mwanangu.Bt hey tembo hashindwi na mkonga wake nikamlea mwanangu peke yangu since mimba hadi saivi akiwa kijana flan amazing,ana afya bora,ana akili sana,etc

Niliamua kufanya hivyo baada ya yeye kujitenga na kutonisupport kwa lolote si mimi wala mwanangu.Nikaacha kumuomba matumizi na kadhalika in short nilikata mawasiliano naye kabisa.mwanzo nilikuwa namsihi aniboost hata matumizi ya mtoto akagoma,so nikafanya maamuzi magumu,nikamwacha aendelee na maisha yake na nikawa single mom rasmi and am proud of that.

At the moment mimi na my prince we are ok,ana afya bora thanks to my GOD,and mimi pia nina mahusiano na mtu mwingine tayari and we are happy.

Ishu niliyoileta mhusika,baba wa mwanangu ameanza kufanya mawasiliano,its ok ukizingatia niko na mwanae.tatizo ananisihi nimpe mwanangu anisaidie kulea,ila naona kama trick ya kutaka kumchukua kijana wangu jumla.

Mara zote nimemwambia subiri atimize miaka saba then afate taratibu za kisheria amchukue.Anadai amemmiss mwanae anataka kuishi naye na hatonizuia kumuona.funny !!!mtu ambaye hajawahi toa hata mia ya chakula cha mwanae leo anaona ana haki ya kuchukua furaha yangu.ukizingatia ana kipato kizuri tu.

Amenambia kama ni mtoto mwingine atanipa,ila mie nimemjibu siko tayari kuzaa naye tena.Kwani alinitelekeza mimi na mwanangu.huko aliko azae mtoto mwingine ama wengine huyu nataka nimlee mwenyewe .He is my joy,life and prestige(my son,my little man).

Naombeni ushauri kwakuwa najua jamaa anataka kumchukua mwanangu mazima.jambo ambalo siko tayari.nashukuru Mungu nina ka uwezo ka kumlea.ikifika muda nikashindwa nitampa kwa ridhaa yangu,kwani naangalia maslahi mapana ya mwanangu .Ila kwa sasa sijashindwa,nayaweza yote katika yeye anitiaye nguvu.

Na sina mpango wa kuzaa tena,maumivu aliyonipitisha yamenifunza .Wanasema mjinga wakati wa kwenda .karibuni wadau,nahitaji mawazo yenu kwa hakika .
Ndio huyu jamaa unaetaka kuolewa nae tena....
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom