Anataka mchukua mwanangu kinyemela

Anataka mchukua mwanangu kinyemela

Hahahaa hizo mbio unaogopa kuambiwa njoo PM ee

Kuna ka udhaifu sana mtoto ana miaka mitatu tayari bidada ana boyfriend mwingine hapo hata maumivu hayajapona ana mawasiliano na ex. Huyu jamaa wa sasa atakua anajisikiaje may be akiuliza anaambiwa we are only in good terms not otherwise
True mkuu..

Mimi hiki kitu hakiniingii akilini kabisa how come mwanaume aliyekana mtoto, hagharamii chochote uwe eti confused hivyo? Huyu Dada anampenda sana jamaa na jamaa kashaligundua hilo ndo maana anamvuruga akili..kaishamsoma!

Na na uhakika atamrudia tuu na asipokuwa makini atamwongezea mtoto wa pili. Mark my word Numbisa
 
Kwanza hongera kwa vizingiti ulivyopitia na mpaka sasa, wewe ni mmoja kati ya wanawake wa Nguvu wachache waliosalia maana wengi huishia kutoa au kutelekeza vichanga vyao hongera sana! Ningelikua na roho niliyonayo I see huyo baba mtoto angemsikia tu na kumuona barabarani,kama hukushindwa wakati anachagua aina ya vyakula utashindwa Leo ambapo anakula chochote! Baadhi ya Wanaume wana roho mbaya sana wao hutaka mtoto akiwa na msaada kwao (kama huyo anajua fika ataweza kumtuma n.k) lakini watoto wanapokua wachanga wanakua hawana mpango nao sasa dawa yao ni kuwanyima tu hakuna kingine,mpe mtoto asili yake kwa jina la babake ila mlee mwenyewe mpaka siku yako ya mwisho hakuna haja ya Ku entertain upuuzi
 
Malezi mazuri ya mtoto ni kutoka kwa wazazi wote wawili...

Even after all what the dude has made you go through, you sound still loving the dude...

Kukupa ushauri ni ngumu kwa sababu bado unampenda huyo jamaa..

Cc: mahondaw
Kabisaa bado unamkubali uyo jamaa kama ingepain usingethubutu kumwandika apa
 
Mtu wetu huyu. Mwaka jana mtoto alikua na miezi 5 mwaka huu tayar ana miaka 3 aisee
Nakuja mwona mtoto na ntalala hapo
''Mwanangu, babako amekufa''
Mmmh...sijapata ona

Mkuu pole...
i thout ni peke yangu nimeona hilo, lol wanawake kweli wana huruma,
kwa story yake wala hakua na haja ya kuomba ushauri, huyo mwanaume alivyokuja tu, angemtimua kwa maji ya moto,

Poor her, she still in love and dilema awww, she needs comfort awww.
 
Hahahaa hizo mbio unaogopa kuambiwa njoo PM ee

Kuna ka udhaifu sana mtoto ana miaka mitatu tayari bidada ana boyfriend mwingine hapo hata maumivu hayajapona ana mawasiliano na ex. Huyu jamaa wa sasa atakua anajisikiaje may be akiuliza anaambiwa we are only in good terms not otherwise
Mi nachoka tu challenge kidogo anapanic

Uzi kaleta mwenyewe so +ve na -ve comments uzipokee uzifanyie Kazi..
 
Anataka wale wa kumpa sympathy tu,challenge no. Ukimpa challenge anasahau kiswahili full kizungu ili usimbishie

Mtu ana gari,ana kazi bado anahangaishana na mwanaume asiyemjali wala kumdhamin ya nn sasa.
Mi nachoka tu challenge kidogo anapanic

Uzi kaleta mwenyewe so +ve na -ve comments uzipokee uzifanyie Kazi..
 
Ndio anapenda mteremko kweli.halafu ananambia nasikia siku hizi uko njema kweli nimepata story zako,umepewa kitengo.can you imagine?

Anapita ubungo hata kumchukulia mwanae kaptula ya mtumba ya buku 2 hajali,halafu nimpe mtoto?kweli?

No tulimpata my prince tukiwa na akili zetu timamu,tena kwenye mahusiano yalokuwa imara .sema alivyo zaliwa mtoto tu akasepa zake,akanambia yeye bado kijana mbichi nisimzeeshe na majukumu.akakata mawasiliano.nikapiga moyo konde nikalea mwanangu kwa upendo naamani kabisa.

Tena mtoto ana furaha muda wote yeye ni kucheka sababu sikutaka mapito niliyo pita yaathiri ukuajia wake.
Yani kwa mazingira hayo mtu kama huyo unaweza mpa mtoto ukulele??mwisho wa siku ndo hao tunaosikia wamechomwa moto mikono na mama wa kambo kwa sababu alidokoa mboga..kama mzazi ataki kuzeeka kwa majukumu...unategemea huyo mama wa kambo wa huyo mtoto atakuwa teyari kuzeeka kwa mtoto wa mwanamke mwenzie??Na wanawake wenyewe wa leo???..
 
Na hilo ndilo nalohofia,saivi kaona mwanangu kanona anamtamani,anadhani ni miujiza,ni kujinyima na kuhakikisha mwanangu anapata lishe bora na mazingira bora ya ukuaji,si kila mtu yuko tayari kujinyima akulele mtoto miaka hii
ww ndio tatizo , unaenternain ujinga, kwann usimblock huyo jamaa, pia angalia mahusiano yako mapya anaweza kukuvurugia huyo mpuuzi, au bado unampenda umekuja kutuchora tu hapa ?
 
Mtoto sio matunzo tu, upendo wa baba na mama ni muhimu sana, huwezi nielewa mpaka uwe umepitia hayo. Watoto wote tulio lelewa na wazazi upande mmoja kuna kitu huwa kina miss inaathiri hata malezi ya watoto wetu.
Swala la msingi leo mwanao lakini mruhusu baba wa mtoto chance ya kumuona manaye! Hata kama hakutoa matunzo lakini baba yake ni baba yake tu, mimi baba yangu haku changia hata 1 shilling katika kakuzi yangu lakini nilipo fikisha miaka 28 nilimtafuta mwenye
 
Hivi nyie wanawake wa dizaini hii mtaisha lini?unasema huyo ni mwanao ,je mzazi mwenzio hana haki ya kuwa mwanae?wewe utakuwa na matatizo na dizaini ya wanawake kama nyie ndio wale ambao huvunja ndoa maksudi na kisha kumchukuia mume na kuanzisha chuki na mzaz mwenzio ukijifanya kumwazibu kwa kumnyima haki ya kupata upendo wa mwanae....

Wanandoa wengi wanapotenga..hasa wanawake hutumia hasira na jeur yakujifanya kutomhusisha mzaz mwenzie mwanaume katika suala la mtoto kisa wamegombana...
Hili limekuwa ni tatzo kubwa sana..
 
Akifikisha umri wa kujitambua,sijamnyima kumwona mwanae,yeye kujiweka pembeni na kuishia kuchukua picha za mwanangu wattsup,bila kujua anakula nn wala anavaa nn hakumpi haki kumchukua eti kisa amependeza na anaona sasa wamefanana kama mapacha.
Kwako ni furaha ila jua kwa mtoto sio kitu kizuri ...mwambie mtoto utamlea ww ile awe huru kuja kumuona na kupata muda wa kukaa na mwanaye...
Akienda kwa baba bado atakuwa ana lelewa na mzazi mmoja na akikaa kwako vile vile tafuteni suluhu ya kuchangia malezi, malezi sio pesa tu
 
Mtoto sio matunzo tu, upendo wa baba na mama ni muhimu sana, huwezi nielewa mpaka uwe umepitia hayo. Watoto wote tulio lelewa na wazazi upande mmoja kuna kitu huwa kina miss inaathiri hata malezi ya watoto wetu.
Swala la msingi leo mwanao lakini mruhusu baba wa mtoto chance ya kumuona manaye! Hata kama hakutoa matunzo lakini baba yake ni baba yake tu, mimi baba yangu haku changia hata 1 shilling katika kakuzi yangu lakini nilipo fikisha miaka 28 nilimtafuta mwenye
Una akili sana...umeongea kitu kikubwa cha hekima ila huyu dada alivyo mjinga ataangalia ppst za watu wanaomsapport ujinga wake....
Kuna kauli huwa inasema...
A child of divorced parents tend to they are failed marriage...
 
Kama hakutoa mahari na hakuoa mwanasheria hatasaidia.
.
.
Bidada shikilia msimamo wako. Tena mwambie mtoto si wake, na kama ulimpa mtoto jina la baba yake badilisha mpe jina lako. Wajinga sana hawa vidume sometimes.
Ushauri wa kijinga kuwahi kusikia sasa hapo ina msaidia nn mtoto?? Watoto wanahitaji mapenzi ya wazazi wote sio pesa za wazazi wote
 

LABDA KAMA UNATUDANGANYA, MTU ANAKUACHIAJE MIMBA MPAKA MTOTO ANAKUWA THEN ANATOKEA ANATAKA KUMLEA HALAFU UNASEMA NI MWANAE? HIVI AKILI ZIMEJAA KWELI? KAMA ALIIACHA MIMBA ANAJUAJE MTOTO BADO YUPO? KAMA UNGESHINDWA UKAITOA JE? YANI HUYO JAMAA INABIDI A ASSUME MTOTO HAYUPO, MAANA YAKE HAKUWEKA JITIHADA YEYOTE YA KUHAKIKISHA UHAI WA MTOTO, KAMA NI KWELI HAYA UNAYOYAONGEA HUYO JAMAA MPELEKE KWENYE VYOMBO VYA SHERIA ALIPE GHARAMA ZOTE ZA MTOTO MPAKA ALIPO KABLA YA CHOCHOTE! I WISH UNGEKUWA DADA YANGU!!!!! HUYO JAMAA HANA ADABU.
Hatabmm niliwahi ku assume kuwa baba yangu alisha kufa imenitesa sana maishani mpaka nilipo amua kumtafuta mwambie amlee mwanae ila amruhusu baba wa mtoto ku participating katika malezi
 
Ushauri wa kijinga kuwahi kusikia sasa hapo ina msaidia nn mtoto?? Watoto wanahitaji mapenzi ya wazazi wote sio pesa za wazazi wote
Mtoto anahitaji mapenzi ya wazazi wote pale tu anapokua na kunawiri? Umemfikiria mama aliyebeba mimba mwenyewe bila upendo wowote wa baba na mtoto akazaliwa mpk amekua ana afya nzuri hakupata upendo wa baba? Na mbaya zaidi baba yupo na anafahamu ana mtoto hawajibiki kwa chochote... Acha kabisa wewe bora ukae kimya maana huelewi situatiatio za wamama waliotelekezwa.
 
Anataka wale wa kumpa sympathy tu,challenge no. Ukimpa challenge anasahau kiswahili full kizungu ili usimbishie

Mtu ana gari,ana kazi bado anahangaishana na mwanaume asiyemjali wala kumdhamin ya nn sasa.
Hahaha nimecheka sana,eti mkinipa challenge full kizungu ili msinibishie,hahah hahah

Numbisa bana,

Haya sitoandika tena kizungu

Hahaha
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom