- Thread starter
- #241
Hahaha,what's love madam?if I may ask?Not Love?
Hahaha,what's love madam?if I may ask?Not Love?
Sijui.Hahaha,what's love madam?if I may ask?
umetumia akili sana.....Yes,for my sons sake
Ahh unafukua makaburi?that's me and i will do anything for my babySijui.
Alafu mkali kama ndimu mbichiHeeee makubwaa![]()
![]()
![]()
![]()
Kumbe ana fix hu huu huu...
Numbisa nimekunyanyulia mikono![]()
![]()
![]()
Yes at the end of the day watoto ndo wanaamua,it's lifeumetumia akili sana.....
Mkasa wako ni kama wa kwangu thou tofouti ipo kidogo hapo mimi nilikuwa natuma pesa ya matumizi ya mtoto wangu ila mama yake anajikuta kiburi kidogo kwa kunilaumu muda wote eti hakuwa tayari kuwa na mtoto and kwanini nilimpa ujauzito?
Akafanya tifu tifu kibao full kutishiwa but sikuteteleka nikaendelea kumwambia my concern is my son wewe ukiamua kuolewa na mtu mwingine its okay... full kuni block but naona hivi majuzi akili imemkaa sawa ameanza kujileta coz mtoto anataita baba and anashindwa muonesha baba yake....
Nitampa probabation period kwa muda but mwishoni nitamwoa tu coz nampenda sana and sitaki my son alelewe na mjamaa mwingine kabisaa....
yes hata mimi naona hivyo for the sake of our child anaamua kurudi tu....Yes at the end of the day watoto ndo wanaamua,it's life
Endeleeni kujifariji tu lol,sio kila mtu mdangaji jf lolAlafu mkali kama ndimu mbichi
Sijakuelewa.Ahh unafukua makaburi?that's me and i will do anything for my baby
Una matatizo sio bure.Endeleeni kujifariji tu lol,sio kila mtu mdangaji jf lol
Gnt mamy,that's me,and is still sijakana na sitokana whatever i posted here,am a human being with fillings and blood,am not a bongo movieSijakuelewa.
Kaburi gani nililofukua?
Naona hatuelewani.Usiku mwemaGnt mamy,that's me,and is still sijakana na sitokana whatever i posted here,am a human being with fillings and blood,am not a bongo movie
Hapo ,huna mpango wa kuzaa tena kwa sababu gani??? Please usimruhusu MTU mmoja akuaribie mipango yako bibie kwani wewe sio single mom wa kwanza kuna wenzako kibao walitelekezwa na wakaanzisha familia nyingine pia hawakuruhusu hiyo situation iwarudishe nyuma.Habari za mida wanabodi
Nikiri tu mimi ni member mzuri sana wa JF.Ok tuache soga ndefu,ni hivi kuna mwanaume nilizaa nae kitambo kiasi na baada ya mtoto kuzaliwa tu akanipotezea mimi na mwanangu.Bt hey tembo hashindwi na mkonga wake nikamlea mwanangu peke yangu since mimba hadi saivi akiwa kijana flan amazing,ana afya bora,ana akili sana,etc
Niliamua kufanya hivyo baada ya yeye kujitenga na kutonisupport kwa lolote si mimi wala mwanangu.Nikaacha kumuomba matumizi na kadhalika in short nilikata mawasiliano naye kabisa.mwanzo nilikuwa namsihi aniboost hata matumizi ya mtoto akagoma,so nikafanya maamuzi magumu,nikamwacha aendelee na maisha yake na nikawa single mom rasmi and am proud of that.
At the moment mimi na my prince we are ok,ana afya bora thanks to my GOD,and mimi pia nina mahusiano na mtu mwingine tayari and we are happy.
Ishu niliyoileta mhusika,baba wa mwanangu ameanza kufanya mawasiliano,its ok ukizingatia niko na mwanae.tatizo ananisihi nimpe mwanangu anisaidie kulea,ila naona kama trick ya kutaka kumchukua kijana wangu jumla.
Mara zote nimemwambia subiri atimize miaka saba then afate taratibu za kisheria amchukue.Anadai amemmiss mwanae anataka kuishi naye na hatonizuia kumuona.funny !!!mtu ambaye hajawahi toa hata mia ya chakula cha mwanae leo anaona ana haki ya kuchukua furaha yangu.ukizingatia ana kipato kizuri tu.
Amenambia kama ni mtoto mwingine atanipa,ila mie nimemjibu siko tayari kuzaa naye tena.Kwani alinitelekeza mimi na mwanangu.huko aliko azae mtoto mwingine ama wengine huyu nataka nimlee mwenyewe .He is my joy,life and prestige(my son,my little man).
Naombeni ushauri kwakuwa najua jamaa anataka kumchukua mwanangu mazima.jambo ambalo siko tayari.nashukuru Mungu nina ka uwezo ka kumlea.ikifika muda nikashindwa nitampa kwa ridhaa yangu,kwani naangalia maslahi mapana ya mwanangu .Ila kwa sasa sijashindwa,nayaweza yote katika yeye anitiaye nguvu.
Na sina mpango wa kuzaa tena,maumivu aliyonipitisha yamenifunza .Wanasema mjinga wakati wa kwenda .karibuni wadau,nahitaji mawazo yenu kwa hakika .
Acha ujinga msimuhusishe mtoto na mitazamo yenu ya kukomoana kwani anayepoteza haki ya msingi ni huyo mtoto kutoenjoy mapenzi ya baba na mama, kuweni wise hata kama hamuishi pamoja muonyesheni mtoto upendo, mtafute baba wa mtoto mzungumze muweke plan achaneni na mipango ya kumuweka mtoto kwenye ligi ya kuharibu ustawi wakeHabari za mida wanabodi
Nikiri tu mimi ni member mzuri sana wa JF.Ok tuache soga ndefu,ni hivi kuna mwanaume nilizaa nae kitambo kiasi na baada ya mtoto kuzaliwa tu akanipotezea mimi na mwanangu.Bt hey tembo hashindwi na mkonga wake nikamlea mwanangu peke yangu since mimba hadi saivi akiwa kijana flan amazing,ana afya bora,ana akili sana,etc
Niliamua kufanya hivyo baada ya yeye kujitenga na kutonisupport kwa lolote si mimi wala mwanangu.Nikaacha kumuomba matumizi na kadhalika in short nilikata mawasiliano naye kabisa.mwanzo nilikuwa namsihi aniboost hata matumizi ya mtoto akagoma,so nikafanya maamuzi magumu,nikamwacha aendelee na maisha yake na nikawa single mom rasmi and am proud of that.
At the moment mimi na my prince we are ok,ana afya bora thanks to my GOD,and mimi pia nina mahusiano na mtu mwingine tayari and we are happy.
Ishu niliyoileta mhusika,baba wa mwanangu ameanza kufanya mawasiliano,its ok ukizingatia niko na mwanae.tatizo ananisihi nimpe mwanangu anisaidie kulea,ila naona kama trick ya kutaka kumchukua kijana wangu jumla.
Mara zote nimemwambia subiri atimize miaka saba then afate taratibu za kisheria amchukue.Anadai amemmiss mwanae anataka kuishi naye na hatonizuia kumuona.funny !!!mtu ambaye hajawahi toa hata mia ya chakula cha mwanae leo anaona ana haki ya kuchukua furaha yangu.ukizingatia ana kipato kizuri tu.
Amenambia kama ni mtoto mwingine atanipa,ila mie nimemjibu siko tayari kuzaa naye tena.Kwani alinitelekeza mimi na mwanangu.huko aliko azae mtoto mwingine ama wengine huyu nataka nimlee mwenyewe .He is my joy,life and prestige(my son,my little man).
Naombeni ushauri kwakuwa najua jamaa anataka kumchukua mwanangu mazima.jambo ambalo siko tayari.nashukuru Mungu nina ka uwezo ka kumlea.ikifika muda nikashindwa nitampa kwa ridhaa yangu,kwani naangalia maslahi mapana ya mwanangu .Ila kwa sasa sijashindwa,nayaweza yote katika yeye anitiaye nguvu.
Na sina mpango wa kuzaa tena,maumivu aliyonipitisha yamenifunza .Wanasema mjinga wakati wa kwenda .karibuni wadau,nahitaji mawazo yenu kwa hakika .