Anataka mchukua mwanangu kinyemela

Anataka mchukua mwanangu kinyemela

Yes,for my sons sake
umetumia akili sana.....

Mkasa wako ni kama wa kwangu thou tofouti ipo kidogo hapo mimi nilikuwa natuma pesa ya matumizi ya mtoto wangu ila mama yake anajikuta kiburi kidogo kwa kunilaumu muda wote eti hakuwa tayari kuwa na mtoto and kwanini nilimpa ujauzito?

Akafanya tifu tifu kibao full kutishiwa but sikuteteleka nikaendelea kumwambia my concern is my son wewe ukiamua kuolewa na mtu mwingine its okay... full kuni block but naona hivi majuzi akili imemkaa sawa ameanza kujileta coz mtoto anataita baba and anashindwa muonesha baba yake....

Nitampa probabation period kwa muda but mwishoni nitamwoa tu coz nampenda sana and sitaki my son alelewe na mjamaa mwingine kabisaa....
 
umetumia akili sana.....

Mkasa wako ni kama wa kwangu thou tofouti ipo kidogo hapo mimi nilikuwa natuma pesa ya matumizi ya mtoto wangu ila mama yake anajikuta kiburi kidogo kwa kunilaumu muda wote eti hakuwa tayari kuwa na mtoto and kwanini nilimpa ujauzito?

Akafanya tifu tifu kibao full kutishiwa but sikuteteleka nikaendelea kumwambia my concern is my son wewe ukiamua kuolewa na mtu mwingine its okay... full kuni block but naona hivi majuzi akili imemkaa sawa ameanza kujileta coz mtoto anataita baba and anashindwa muonesha baba yake....

Nitampa probabation period kwa muda but mwishoni nitamwoa tu coz nampenda sana and sitaki my son alelewe na mjamaa mwingine kabisaa....
Yes at the end of the day watoto ndo wanaamua,it's life
 
Yes at the end of the day watoto ndo wanaamua,it's life
yes hata mimi naona hivyo for the sake of our child anaamua kurudi tu....

and nitampokea kwa mikono yote miwili.....

and Mungu atatubariki tuongeze wengine wawili....
 
Gnt mamy,that's me,and is still sijakana na sitokana whatever i posted here,am a human being with fillings and blood,am not a bongo movie
Naona hatuelewani.Usiku mwema
 
muhimu mtoto amjuwe baba yake akiwa wa kiume hata ukizuia atamtafuta baba yake kaa na mtoto mfahamishe ilivyo',na pia ongea na baba wa mtoto ikiwa hataki kukupa ushirikiano basi ongea na mtoto mfahamisha hilivyo
 
Habari za mida wanabodi
Nikiri tu mimi ni member mzuri sana wa JF.Ok tuache soga ndefu,ni hivi kuna mwanaume nilizaa nae kitambo kiasi na baada ya mtoto kuzaliwa tu akanipotezea mimi na mwanangu.Bt hey tembo hashindwi na mkonga wake nikamlea mwanangu peke yangu since mimba hadi saivi akiwa kijana flan amazing,ana afya bora,ana akili sana,etc

Niliamua kufanya hivyo baada ya yeye kujitenga na kutonisupport kwa lolote si mimi wala mwanangu.Nikaacha kumuomba matumizi na kadhalika in short nilikata mawasiliano naye kabisa.mwanzo nilikuwa namsihi aniboost hata matumizi ya mtoto akagoma,so nikafanya maamuzi magumu,nikamwacha aendelee na maisha yake na nikawa single mom rasmi and am proud of that.

At the moment mimi na my prince we are ok,ana afya bora thanks to my GOD,and mimi pia nina mahusiano na mtu mwingine tayari and we are happy.

Ishu niliyoileta mhusika,baba wa mwanangu ameanza kufanya mawasiliano,its ok ukizingatia niko na mwanae.tatizo ananisihi nimpe mwanangu anisaidie kulea,ila naona kama trick ya kutaka kumchukua kijana wangu jumla.

Mara zote nimemwambia subiri atimize miaka saba then afate taratibu za kisheria amchukue.Anadai amemmiss mwanae anataka kuishi naye na hatonizuia kumuona.funny !!!mtu ambaye hajawahi toa hata mia ya chakula cha mwanae leo anaona ana haki ya kuchukua furaha yangu.ukizingatia ana kipato kizuri tu.

Amenambia kama ni mtoto mwingine atanipa,ila mie nimemjibu siko tayari kuzaa naye tena.Kwani alinitelekeza mimi na mwanangu.huko aliko azae mtoto mwingine ama wengine huyu nataka nimlee mwenyewe .He is my joy,life and prestige(my son,my little man).

Naombeni ushauri kwakuwa najua jamaa anataka kumchukua mwanangu mazima.jambo ambalo siko tayari.nashukuru Mungu nina ka uwezo ka kumlea.ikifika muda nikashindwa nitampa kwa ridhaa yangu,kwani naangalia maslahi mapana ya mwanangu .Ila kwa sasa sijashindwa,nayaweza yote katika yeye anitiaye nguvu.

Na sina mpango wa kuzaa tena,maumivu aliyonipitisha yamenifunza .Wanasema mjinga wakati wa kwenda .karibuni wadau,nahitaji mawazo yenu kwa hakika .
Hapo ,huna mpango wa kuzaa tena kwa sababu gani??? Please usimruhusu MTU mmoja akuaribie mipango yako bibie kwani wewe sio single mom wa kwanza kuna wenzako kibao walitelekezwa na wakaanzisha familia nyingine pia hawakuruhusu hiyo situation iwarudishe nyuma.
Labda kama ulipanga kuzaa mtoto mmoja maishani ,lakini kama la ..fikiria tena .
Kiukweli una moyo ,mi sijui kama ningruhusu arudishe mironjo yake kunitafta eti anamuulizia mtoto wake ......
 
Hutaki kuzaa tena wakati upo na mwanaume mwingine hapo, au ndio unamchuna tu
 
Habari za mida wanabodi
Nikiri tu mimi ni member mzuri sana wa JF.Ok tuache soga ndefu,ni hivi kuna mwanaume nilizaa nae kitambo kiasi na baada ya mtoto kuzaliwa tu akanipotezea mimi na mwanangu.Bt hey tembo hashindwi na mkonga wake nikamlea mwanangu peke yangu since mimba hadi saivi akiwa kijana flan amazing,ana afya bora,ana akili sana,etc

Niliamua kufanya hivyo baada ya yeye kujitenga na kutonisupport kwa lolote si mimi wala mwanangu.Nikaacha kumuomba matumizi na kadhalika in short nilikata mawasiliano naye kabisa.mwanzo nilikuwa namsihi aniboost hata matumizi ya mtoto akagoma,so nikafanya maamuzi magumu,nikamwacha aendelee na maisha yake na nikawa single mom rasmi and am proud of that.

At the moment mimi na my prince we are ok,ana afya bora thanks to my GOD,and mimi pia nina mahusiano na mtu mwingine tayari and we are happy.

Ishu niliyoileta mhusika,baba wa mwanangu ameanza kufanya mawasiliano,its ok ukizingatia niko na mwanae.tatizo ananisihi nimpe mwanangu anisaidie kulea,ila naona kama trick ya kutaka kumchukua kijana wangu jumla.

Mara zote nimemwambia subiri atimize miaka saba then afate taratibu za kisheria amchukue.Anadai amemmiss mwanae anataka kuishi naye na hatonizuia kumuona.funny !!!mtu ambaye hajawahi toa hata mia ya chakula cha mwanae leo anaona ana haki ya kuchukua furaha yangu.ukizingatia ana kipato kizuri tu.

Amenambia kama ni mtoto mwingine atanipa,ila mie nimemjibu siko tayari kuzaa naye tena.Kwani alinitelekeza mimi na mwanangu.huko aliko azae mtoto mwingine ama wengine huyu nataka nimlee mwenyewe .He is my joy,life and prestige(my son,my little man).

Naombeni ushauri kwakuwa najua jamaa anataka kumchukua mwanangu mazima.jambo ambalo siko tayari.nashukuru Mungu nina ka uwezo ka kumlea.ikifika muda nikashindwa nitampa kwa ridhaa yangu,kwani naangalia maslahi mapana ya mwanangu .Ila kwa sasa sijashindwa,nayaweza yote katika yeye anitiaye nguvu.

Na sina mpango wa kuzaa tena,maumivu aliyonipitisha yamenifunza .Wanasema mjinga wakati wa kwenda .karibuni wadau,nahitaji mawazo yenu kwa hakika .
Acha ujinga msimuhusishe mtoto na mitazamo yenu ya kukomoana kwani anayepoteza haki ya msingi ni huyo mtoto kutoenjoy mapenzi ya baba na mama, kuweni wise hata kama hamuishi pamoja muonyesheni mtoto upendo, mtafute baba wa mtoto mzungumze muweke plan achaneni na mipango ya kumuweka mtoto kwenye ligi ya kuharibu ustawi wake
 
Me nina ushauri tofauti kabisa...... mpe akuweke mimba tena nina wasiwasi jamaa unamzimia tu automatically
 
Pole kwa hayo na hongera kwa kumlea mwanao, usimpe mtoto hadi mtoto atakapojitambua na kumljipeleka mwenyewe kwa baba yake.
 
Ndio maana kila siku tunawasisitiza wanaume wenzetu kaamweee usijihusishe na single mother, huyu alikua analalamika juzi tu na akadai ana mpenzi mwingine "and they are happy" jana anasema anategemea kuolewa soon na huyo alomzalisha hahahaa kijana wa watu huko aliko analia na moyo.

K A M W E USIGUSE WALA KUJIDAI KUMPENDA Singo maza hawajielewi na muda wowote unagongewa. Utajutaaa
 

Attachments

  • IMG_20171028_072438.JPG
    IMG_20171028_072438.JPG
    30.2 KB · Views: 24

Similar Discussions

Back
Top Bottom