Anampenda baba yake mzazi kimapenzi mpaka anamuonea wivu mama yake!

Mdigokhan

JF-Expert Member
May 2, 2022
843
1,923
Kuna mwanamke fulani nilimkuta baa fulani analewa nikaona acha nijisogeze, kweli nikafanikiwa kukaa naye hakuniringi.

Alikuwa analewa huku analia nikamuuliza Mbona unalia akagoma kuniambia ila baada ya kumbembeleza ili anijuze Sababu za Yeye kulia akaniambia ataniambia.

Muda ulikwenda na akataka kusepa hivyo nikaomba namba na akanipatia. Wiki zikapita na tulikuwa tunachat. Nilimtongoza alikataa waziwazi ila nikajipa moyo acha niendelee kumbembeleza maana hakuna makati mgumu mbele ya chai, tukawa tunachat tukazoea kwa kiasi.

Juzi sasa nashangaa akanipigia simu ananiita niendee maeneo fulani hivi na ni guest, na alikuwa analia sana. Nikavaa safari ikaanza kumfata hayo maeneo.

Nikafika akaniambia chumba namba fulani njoo, nikasita maana niingie tu je kama naenda kukatwa makende yangu au kunichukulia haka ka 1phone 11 kangu, maana michezo mingi siku hizi hapa mjini. Nikamwambia siwezi kuingia tu ndani na sijui upo na nani, unanitisha, akajibu kama hutaki basi then akakata simu.

Nikajiuliza kwa dakika kadhaa nikaona freshi, liwalo na liwe, nikazama ndani mpaka reception, nikamuuliza muhudumu chumba akanionesha ila nikaona acha nimuachie huyu muhudumu walet yangu na simu, basi nikazama ndani na buku 10 tu.

Kufika nikamkuta peke yake huku anakunywa bia zake mwenyewe ila macho mekundu nadhani kwa kilio. Akanihug na romance nikapewa. Namuuliza sababu ya yeye kulia na kuonekana ana stress, aah binti hajajibu akapeleka mkono kwenye zipu yangu akachomo maiki.

Ni kitendo cha dakika kadhaa nikaanza kula mzigo, bilinge bilinge kibao mpaka nakamaliza. Niliuza mechi kizembe sana ila kwa pisi ile hata sikutaka kujilaumu. Akiwa kalala kwenye kifua changu akaanza nambie sababu ya yeye kuwa na stress na kulewa tangu siku ile ya kwanza kumkuta bar.

Akasema unajua mdigo I am in love with my father walah kiasi kwamba namuonea mama yangu wivu and sometimes i get mad nikiwaona pamoja. Nimeamua kuhama home kwa sababu hiyo na sijawahi kumwambia baba but to be honest nampenda kimapenzi.

Nina wadogo zangu pia, but the problem is my dad is too handsome na mim ni mtoto wake wa kwanza alinipata akiwa na 21 ananidekeza sana na anitreat kama princess and huwa ananiita my princess. I don't know what to do, napagawa sana mpaka nakuwa hivi, yaani kama kaniroga, I love him nataka hata anioe!

😂 Nilidata kwanza, yaani sikutegema kama kuna siku naweza sikia haya maneno kwa binti eti anampenda baba yake mzazi amgonge na kumuoa. Yule binti ni pisi sana tena sana, yaani kama unawajua wanawake wazuri basi nae muweke humo humo, then anajiweza kifedha kwa kiasi; Harrier new model, kazi nzuri taasisi X.

Binafsi nikaona hii laana, hata sikutaka kumshauri. Jana alinipigia simu tukaongea ila sikuwa na furaha nae, kwanza amenitumia kingono kisa tu kupoza uchungu wa baba ake.
 
Kuna Demu flani nilimkuta Bar flani analewa nikaona acha nijisogeze,Kweli nikafanikiwa kukaa nae hakunilingia…

Alikuwa analewa huku analia nikamuuliza Mbona unalia akagoma kuniambia ila baada ya kumbembeleza ili anijuze Sababu za Yeye kulia akaniambia ataniambia..
Hazinaga shombo mkuu.
Seems wewe siyo msaada kwake. Hebu nitumie namba inbobo na mimi anitumie kingono lakini ntakuwa msaada kwake kisaikolojia🤣
 
Kuna Demu flani nilimkuta Bar flani analewa nikaona acha nijisogeze,Kweli nikafanikiwa kukaa nae hakunilingia…

Alikuwa analewa huku analia nikamuuliza Mbona unalia akagoma kuniambia ila baada ya kumbembeleza ili anijuze Sababu za Yeye kulia akaniambia ataniambia..

Muda ulikwenda na akataka kusepa ivo nikaomba namba na akanipatia…Wiki zikapita na tulikuwa tunachat…Nilimtongoza Alikataa waziwazi Ila nikajipa moyo acha niendelee kumbembeleza Mana Hakuna makati mgumu mbele ya chai tukawa tunachat tukazoea kwa kiasi…

Juzi sasa Nashangaa akanipigia simu Ananiita niendee maeneo flani ivi Na ni GEST Na alikuwa analia sana….Nikavaa safari ikaanza kumfata hayo maeneo..

Nikafika Akaniambia chumba namba flani njoo,Nikasita mana niingie tu je Kama naenda kukatwa makende yangu au kunichukulia Haka ka 1phone 11 kangu mana michezo mingi siku izi hapa mjini…Nikamwambia kuingia tu ndani na sijui upo na Nani unanitisha akajibu Kama hutaki basi then akakata simu…

Nikajiuliza kwa dakika kadhaa nikaona fresh liwalo na liwe,Nikazama ndani mpk Reception Nikamuuliza muhimu chumba akanionesha Ila nikaona acha nimuachie huyu muhudumu walet yangu na simu,Basi nikazama ndani na buku 10 tu…

Kufika nikamkuta peke yake Huku Anakunywa bia zake mwenyewe Ila macho mekundu nadhani kwa kilio..Akanihug na Romance nikapewa….Namuuliza sababu ya yeye kulia na kuonekana Ana stress Aah binti hajajibu akapeleka mkono kwenye zipu yangu Akachomo maiki…

Nikitendo cha dakika kadhaa Nikaanza kula mzigo,mBilinge mBilinge kibao mpk nakojoa…Niliuza mechi kizembe sana Ila kwa pisi ile hata sikutaka kujilaumu….Akiwa kalala kwenye kifua changu akaanza nambie sababu ya yeye kuwa na stress na kulewa tangu siku ile ya kwanza kumkuta bar…Akasema Unajua mdigo I am in love with my father Walah kiasi kwamba namuonea mama yangu wivu and sometimes i get mad nikiwaona pamoja, nmeamua kuhama home kwa sababu hiyo na sijawahi kumwambia baba but to be honest nampenda kimapenzi, nina wadogo zangu pia, but the problem is my dad is too handsome na mim ni mtoto wake wa kwanza alinipata akiwa na 21 ananidekeza sana na anitreat kama princess and hua ananita my princess i dont know what to do Napagawa sana mpk nakuwa ivi Yani Kama kaniroga I love him Nataka hata anioe…

😂 Nilidata kwanza Yani sikutegema Kama kuna siku Naweza sikia haya maneno kwa binti eti anampenda baba Ake mzazi amgonge na kumuoa…Yule binti ni pisi sana Tena sana Yani Kama unawajua wanawake wazuri basi nae muweke humo humo then anajiweza kifedha kwa kiasi Harrier new model kazi nzuri taasisi X…

Binafsi nikaona hii Laana Hata sikutaka kumshauli,Jana alinipigia simu tukaongea Ila sikuwa na furaha nae kwanza amenitumia kingono kisa tu kupoza uchungu wa baba ake.
Pamoja na kwamba JF ni pahala pa kusema unalopenda hili halistahiki kuwepo hapa.
mod futa ujinga huu.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom