nampenda

No Wikipedia entry exists for this tag
  1. Cheology

    Nampenda sana Nargis Mohamed

    Huyu msichana na sasa mwanamama wa miaka 2003 miss Tanzania 🇹🇿 nampenda sana. Sinaga muda mwingi kumtazama ila angejua wengi tunavyovutiwa naye basi angefungua pazia. Si upendo wa kiuchafuchafu ngonoana hapana. Nampenda alivyo tuuu hata sijui alikosaga vipi kuwa miss namba moja miaka ile.
  2. SankaraBoukaka

    Nampenda mke wa mtu ila nami nina mke na watoto!

    Habarini humu wandugu,, Nipo katika wakati mgumu kidogo na ningependa sana nipate ushauri fulani. Mimi ni baba wa familia ya watoto wanne.... Mimi na Mke wangu tumefanikiwa kuishi pamoja kwa miaka 13 sasa tena kwa furaha bila shida zozote zaidi ya magomvi madogo madogo ya kawaida ndani ya...
  3. Tamu3

    Nampenda Priska

    NAMPENDA PRISKA Nampenda Priska, shairi namtungia, Mwili umetakasika, hakika anavutia, Sauti akitamuka, hoi mie nabakia, Nampenda Priska, shairi namtungia. Macho yake ya gololi, Mungu mempendelea, Kimtazama kwa mbali, anarembua rembua, Kama anapenda wali, mie tamnunulia, Nampenda Priska...
  4. Chawa wa lumumbashi

    Wanawake wa kichaga wote jehovah awabariki sio kwa huyu bikra aisee nampenda sana

    Sikuwahi kuamini ipo kama nitaweza kukutana na bikra wa mwanamke wa kichaga ila mimi nimejonea laivu na mimi ndiyo nimeitoa aisee yaani sio poa poa kabisa demu wa kichaga ana mapenzi balaa asikuambie mtuu Baada ya kuvutiwa na huyu binti ambaye nimemkuta ana miaka 30 ila nimekuta hymen ipo...
  5. Vincenzo Jr

    Nawapenda sana na nawatakia jioni njema wanawake wa JamiiForums

    Nawapenda sana na nawatakieni jioni njema wadada wa Jamiiforums mtag mdada unaempenda na unae mkubali sana mimi nawakubali hawa👇👇 FaizaFoxy Kasie Dr Lizzy Depal dada yangu Jadda Kalpana Unique Flower Heaven Sent Mamndenyi lara 1 miss Gf Caroline Danzi AshaDii Antonnia cocochanel miss chagga
  6. Mdigokhan

    Anampenda baba yake mzazi kimapenzi mpaka anamuonea wivu mama yake!

    Kuna mwanamke fulani nilimkuta baa fulani analewa nikaona acha nijisogeze, kweli nikafanikiwa kukaa naye hakuniringi. Alikuwa analewa huku analia nikamuuliza Mbona unalia akagoma kuniambia ila baada ya kumbembeleza ili anijuze Sababu za Yeye kulia akaniambia ataniambia. Muda ulikwenda na...
  7. Mdigokhan

    Ameniacha ila nampenda…!

    Mimi ni kijana mwenye miaka 28 Nina kil0 97. Sijivunii kuwa na kil0 nyingi hivi ila napamba kuzipunguza ila na0na kama zinazidi. Kwenye Uandishi wangu Badala ya O naweka 0 hiv0 mnivumilie msinitukane wajuaji kama siku z0te. Ip0 hivi, Nimeishi na huyu mwanamke wa kirangi Yapata sasa miezi 8 Na...
  8. Unique Flower

    Nampenda Mungu tu

    Sisi sio mafala ila bado wanaumee wanaona hiivyoo. Mi nampenda Mungu tu . Ila Kuna mtu anaringa sana eti Kisa anamashangazi plus mke ila yote life na kitambii changu, Ngoja mjerumani wangu aje nitatolewa tu mpenzi halafu tuone kama hutonimiss . Mume wangu mwingine yupo tu,good day endelea...
  9. Mufti kuku The Infinity

    Ninayempenda, ananipenda ila hataki tuwe wote. Mwingine ananipenda, nampenda pia ila sitaki tuwe wote

    Nipo njia panda kwa kweli.... Naombeni ushauri, hasa hasa huyo wa kwanza Picha kwa hisani ya Google
  10. Melki the Storyteller

    Nampenda sana Lady Jaydee. Sema ni kwa vile nilichelewa kufanikiwa

    Nianze kwa kuelezea hisia zangu kwake. Nampenda sana huyu bidada. Kila ninapoisikia sauti yake ikichomoza kwa vyombo huwa najihisi faraja sana. Nasisimka akili mpaka moyo. Hajawahi kukosea kwa kweli Lady Jay Dee, kama ningekuwa na pesa kipindi kile ningekutafuta nikuoe kabisaaa, nikuweke ndani...
  11. Dr Count Capone

    Nampenda sana

  12. Binadamu Mtakatifu

    Dah! Selewiii kabisa still nampenda

    Tujifunzage kuwa unachoona huwezi kukiacha kutokana na mapenzi basi usikibugudhi au kukichunguza Kwenye maisha yangu nimedate na wanawake lkn most of them wamenizidi umri one or two years Kuna huyu mmoja jamani alinikuta nipo na mchumba wangu ila nilimkataa yule kuwa naye nilimpenda kuliko...
  13. kwisha

    Nampenda mchepuko wangu kuliko mke wangu

    Pamoja na kuwa katika dunia ya sasa imekuwa vigumu saana kumpata mwanamke au mwanaume ambaye anatambua nafasi yake vizuri, yaani kama ni mwanamke anajua mwanaume na mwanamke hawako sawa, kama walivyo kuwa mama zetu wa zamani. Lakini kuna mwanamke nimempata nilimtongoza kwa nia ya kutaka kula...
  14. Restless Hustler

    Msaada: Nampenda kuwa mcha Mungu lakini makalio ya wanawake yananiangusha

    Naweza kusema dhambi UASHERATI ndiyo itakayonifikisha motoni. Zingine naweza kuzishinda. Nikiona tu Yale makalio yanavyotikisika nahama Chanel. Nimejitahidi kujikana nafsi yangu na kutumia mbinu mbalimbali kuutiisha mwili wangu lakini ni kama tu najaza maji kwenye chujio. Nilifanya maombi ya...
  15. MIXOLOGIST

    Nampenda Rais Samia Suluhu Hassan

    Heri ya mwaka mpya wana JF Kwanza naomba nikiri mimi siyo chawa na siamini kwenye uchawa. Pili mapenzi yangu kwa huyu mama si ya kimahaba au kingono, bali navutiwa na jinsi alivyo nyanyuliwa na utendaji wake. Sababu zangu: Kwanza, huyu mama ni chaguo la Mungu. Hakuwahi utaka uraisi, bali...
  16. Troublemaker

    Kumpenda nampenda ila mimi ni aina ya mtu nisiyependa kuongea kwa simu

    Tuko mbali mikoa tofauti, hapa kisanga ndipo kinakuja. Anapenda kupiga piga simu mara kwa mara, sasa mara nyingi najikuta namkatiza ilee.. "Samahani ngoja nitakupigia baadae kidogo". Kiukweli muda huo unakuta shughuli imenitinga na ukizingatia aina ya shughuli zangu haziruhusu sana kuongea kwa...
  17. Google Diggers

    Nampenda Sana Gigy money

    Gigy kipenzi nicheki kwenye email stefanokiva@gmail.com I need to meet you in private Nicheki in private my email is stefanokiva@gmail.com Just send me contact
  18. L

    Nampenda hata mseme nini sitomwacha

    Wenye wivu waende Ukraine.
  19. vadrick

    Kuna dada nampenda ila hatoi majibu ya kueleweka

    Kuna kadada furani kana soma Saut hapa mwanza nakapenda sana nanimeshawahi kukambia ila akatoi majibu zaid ya kukaa kimya basi. Tumeishi maisha hayo ila kakikukumbuka kana kutexts mnasalimiana vizuri ila ukikakumbusha tu kana kaa kimya ata wiki ata mwez mzima Sasa jumapili kalinisalimia...
Back
Top Bottom