ipyax
JF-Expert Member
- Nov 1, 2010
- 4,679
- 7,109
Mimi nilikuwa nachangia pointi inayohusu hormonal imbalance,kama imesababisha mishipa kuziba lazima madaktari wahusike.Tuseme MTU ana tatizo la mirija kuziba
Akifix hormone anaazaaje happy
Matatizo ya uzazi yanatofautiana sio kila kitu hormones