Ammwagia tindikali mchepuko wake kisa kaachwa

Ammwagia tindikali mchepuko wake kisa kaachwa

Kwa wafatiliaji wa kwaya ya Redemption Ministers Melody watakuwa wanamfahamu dada huyu.
Binti anaitwa Claire Mary amemwagiwa Tindikali na mtu anayedaiwa kutumwa na Ex boyfriendwake aitwaye Elvis !!

Taarifa zilizopo hadi sasa ni kwamba:

Claire ni msichana mwenye umri wa miaka 24, mrembo na mwenye mustakabali mzuri sana wa ndoto yake .

Baba yake Claire ni mchungaji wa kanisa la SDA.

Elvis ni mwanaume aliyeoa na ana watoto wawili.

Wote wawili walikuwa waimbaji hodari katika kwaya ya kanisa la SDA.

Inadaiwa Elvis alimsaidia Claire kugharamia masomo yake ya chuo.

Walikuwa kwenye uhusiano wa kimapenzi kwa miaka kadhaa, lakini Claire aliuvunja ghafla.

Elvis alijaribu kujiua bila mafanikio baada ya kugundua kuwa uhusiano umefikia mwisho.

Inadaiwa Elvis hakuweza kukubali kukataliwa, hivyo akaajiri mtu mwingine kutekeleza shambulio la kumwagia Claire tindikali kama kulipiza kisasi.

Claire kwa sasa anapigania maisha yake katika Hospitali ya Kitaifa ya Kenyatta (Kenya National hospital)

Elvis amekamatwa na huenda akakaa gerezani kwa muda mrefu, mbali na mke wake na watoto wake wadogo.

Maisha ya wote wawili hayatakuwa tena kama yalivyokuwa awali.

Ni tukio la kusikitisha sana linaloonyesha madhara makubwa ya chuki, hasira na kushindwa kukabiliana na kukataliwa kwa njia ya afya.

Eti hapa Kuna pisi jomoni Kenya hamnaga pisi
 
Elvis ni mwanaume aliyeoa na ana watoto wawili.!!!!!!!

Ndani ya kanisa…….Ndugu zetu SDA nadhani ni wakati sasa mpunguze kuwa judgemental, kanisa ni chafu.
Enh binti kiziwi


Nimpate vipi mi sijui
nina imani mapenzi hayajui
nitapata ugonjwa wa moyo
kwa sababu ya mawazo
ninavyo jua maisha yake
hajawahi kuwa na boyfriend
ila ni mimi wa kwanza
na ninashindwa kumpata
kwa ishara naonekana nampenda
yeye eti mi namzingua
eti kama angilikua anasikia
basi ukweli wangu angeujua
kwa ishara naoneka nampenda
yeye eti mi namzingua
eti kama angelikua anasikia
basi ukweli wangu angeujua
ningemzowea rafiki yake
basi mi ningemtuma
ningezitambua ishara zake
kwake mi ningefika
ningemzowea rafiki yake
basi ningemtuma
ningezitambua ishara zake
kwake mi ningefika
sicilia ninampenda
(binti kiziwi)
moyo wangu wamtaka
(binti kiziwi)
sicilia nateseka juu yake
(yeye binti Kiziwi)
sicilia ninampenda
(binti kiziwi)
moyo wangu wamtaka
(binti kiziwi)
kichwa kinauma mawazo
(kwake binti kiziwi)
nashangaa pale napomkuta
akiwa na wenzake wanaongea
huwa najiuliza mimi
wanaongea naye vipi
nashangaa pale napomuita
nahisi huwa anakataa
sijui ndio hasikii
au mapozi au mapozi naye
afadhari angejua kusoma
hata hatari ujumbe ningempa
eti kama ningejua ishara
basi kwake ningefika mimi
afadhari angejua kusoma
hata bonge ujumbe ningempa
eti kama ningejua inshara
basi kwake ningefika baby
sicilia ninampenda
(binti kiziwi)
moyo wangu wamtaka
(binti kiziwi)
nateseka juu yake
(yeye binti Kiziwi)
sicilia ninampenda
(binti kiziwi)
moyo wangu wamtaka
(binti kiziwi)
kichwa kinauma mawazo
(kwake binti kiziwi)
binti kiziwi yuko full
yani yuko bomba
amenidatisha mnyamwezi na yake figa
tatizo moja tu ambalo mimi linanisibu
kila kukicha hata nikiwaza mi sipati jibu
nikimuambia neno i love you
(wala halijui)
nikimuambia neno i need you
(halitambui)
nikimuimbia nyimbo nzuri hata haisikii
pingu nasikitika nikimuona binti kiziwi
nikimuambia neno i love you
(wala halijui)
nikimuambia neno i need you
(halitambui)
nikimuambia nyimbo nzuri hata hasikii
pingu nasikitika nikimuona binti kiziwi
hata kusema neno i love you
kwake halijui
hata kusema neno i need you
kwake halitambui
hata kusema neno i love you
kwake halijui
hata kusema neno i need you
kwake halitambui
baby baby baby baby boo
baby i love you
ingawa nateseka tu naye
baby i need you
baby baby boo
baby i love you
baby tu baby i need you
sicilia ninampenda
(binti kiziwi)
moyo wangu wamtaka
(binti kiziwi)
sicilia nateseka juu yake
(yeye binti Kiziwi)
sicilia ninampenda
(binti kiziwi)
moyo wangu wamtaka
(binti kiziwi)
kichwa kinauma mawazo
(kwake binti kiziwi)
sicilia ninampenda
(binti kiziwi)
moyo wangu wamtaka
(binti kiziwi)
sicilia nateseka juu yake
(yeye binti Kiziwi)
sicilia ninampenda
(binti kiziwi)
moyo wangu wamtaka
(binti kiziwi)
kichwa kinauma mawazo
(kwake binti kiziwi
 
Enh binti kiziwi


hata kusema neno i need you
kwake halitambui
hata kusema neno i love you
kwake halijui
hata kusema neno i need you
kwake halitambui
baby baby baby baby boo
baby i love you
ingawa nateseka tu naye
baby i need you
baby baby boo
baby i love you
baby tu baby i need you
sicilia ninampenda
(binti kiziwi)
moyo wangu wamtaka
(binti kiziwi)
sicilia nateseka juu yake
(yeye binti Kiziwi)
sicilia ninampenda
(binti kiziwi)
moyo wangu wamtaka
(binti kiziwi)
kichwa kinauma mawazo
(kwake binti kiziwi)
sicilia ninampenda
(binti kiziwi)
moyo wangu wamtaka
(binti kiziwi)
sicilia nateseka juu yake
(yeye binti Kiziwi)
sicilia ninampenda
(binti kiziwi)
moyo wangu wamtaka
(binti kiziwi)
kichwa kinauma mawazo
(kwake binti kiziwi)
Mda sio mlefu unafata nyao za mshikaji😁
 
Enh binti kiziwi


Nimpate vipi mi sijui
nina imani mapenzi hayajui
nitapata ugonjwa wa moyo
kwa sababu ya mawazo
ninavyo jua maisha yake
hajawahi kuwa na boyfriend
ila ni mimi wa kwanza
na ninashindwa kumpata
kwa ishara naonekana nampenda
yeye eti mi namzingua
eti kama angilikua anasikia
basi ukweli wangu angeujua
kwa ishara naoneka nampenda
yeye eti mi namzingua
eti kama angelikua anasikia
basi ukweli wangu angeujua
ningemzowea rafiki yake
basi mi ningemtuma
ningezitambua ishara zake
kwake mi ningefika
ningemzowea rafiki yake
basi ningemtuma
ningezitambua ishara zake
kwake mi ningefika
sicilia ninampenda
(binti kiziwi)
moyo wangu wamtaka
(binti kiziwi)
sicilia nateseka juu yake
(yeye binti Kiziwi)
sicilia ninampenda
(binti kiziwi)
moyo wangu wamtaka
(binti kiziwi)
kichwa kinauma mawazo
(kwake binti kiziwi)
nashangaa pale napomkuta
akiwa na wenzake wanaongea
huwa najiuliza mimi
wanaongea naye vipi
nashangaa pale napomuita
nahisi huwa anakataa
sijui ndio hasikii
au mapozi au mapozi naye
afadhari angejua kusoma
hata hatari ujumbe ningempa
eti kama ningejua ishara
basi kwake ningefika mimi
afadhari angejua kusoma
hata bonge ujumbe ningempa
eti kama ningejua inshara
basi kwake ningefika baby
sicilia ninampenda
(binti kiziwi)
moyo wangu wamtaka
(binti kiziwi)
nateseka juu yake
(yeye binti Kiziwi)
sicilia ninampenda
(binti kiziwi)
moyo wangu wamtaka
(binti kiziwi)
kichwa kinauma mawazo
(kwake binti kiziwi)
binti kiziwi yuko full
yani yuko bomba
amenidatisha mnyamwezi na yake figa
tatizo moja tu ambalo mimi linanisibu
kila kukicha hata nikiwaza mi sipati jibu
nikimuambia neno i love you
(wala halijui)
nikimuambia neno i need you
(halitambui)
nikimuimbia nyimbo nzuri hata haisikii
pingu nasikitika nikimuona binti kiziwi
nikimuambia neno i love you
(wala halijui)
nikimuambia neno i need you
(halitambui)
nikimuambia nyimbo nzuri hata hasikii
pingu nasikitika nikimuona binti kiziwi
hata kusema neno i love you
kwake halijui
hata kusema neno i need you
kwake halitambui
hata kusema neno i love you
kwake halijui
hata kusema neno i need you
kwake halitambui
baby baby baby baby boo
baby i love you
ingawa nateseka tu naye
baby i need you
baby baby boo
baby i love you
baby tu baby i need you
sicilia ninampenda
(binti kiziwi)
moyo wangu wamtaka
(binti kiziwi)
sicilia nateseka juu yake
(yeye binti Kiziwi)
sicilia ninampenda
(binti kiziwi)
moyo wangu wamtaka
(binti kiziwi)
kichwa kinauma mawazo
(kwake binti kiziwi)
sicilia ninampenda
(binti kiziwi)
moyo wangu wamtaka
(binti kiziwi)
sicilia nateseka juu yake
(yeye binti Kiziwi)
sicilia ninampenda
(binti kiziwi)
moyo wangu wamtaka
(binti kiziwi)
kichwa kinauma mawazo
(kwake binti kiziwi
Kumbe we ndio Z anto? Usijenimwagia tindikali lakini. 😌
 
Naishiwa Power
Power Power
Naishiwa Power
Penzi Lako Mizani, Mwenzako Naishiwa Power
 
Back
Top Bottom