ERoni
JF-Expert Member
- Jan 9, 2013
- 55,017
- 128,708
Mambo ya ajabu haya, kamuone Dr mkuu.Ndio mkuu😌
Mambo ya ajabu haya, kamuone Dr mkuu.Ndio mkuu😌
Eti hapa Kuna pisi jomoni Kenya hamnaga pisiKwa wafatiliaji wa kwaya ya Redemption Ministers Melody watakuwa wanamfahamu dada huyu.
Binti anaitwa Claire Mary amemwagiwa Tindikali na mtu anayedaiwa kutumwa na Ex boyfriendwake aitwaye Elvis !!
Taarifa zilizopo hadi sasa ni kwamba:
Claire ni msichana mwenye umri wa miaka 24, mrembo na mwenye mustakabali mzuri sana wa ndoto yake .
Baba yake Claire ni mchungaji wa kanisa la SDA.
Elvis ni mwanaume aliyeoa na ana watoto wawili.
Wote wawili walikuwa waimbaji hodari katika kwaya ya kanisa la SDA.
Inadaiwa Elvis alimsaidia Claire kugharamia masomo yake ya chuo.
Walikuwa kwenye uhusiano wa kimapenzi kwa miaka kadhaa, lakini Claire aliuvunja ghafla.
Elvis alijaribu kujiua bila mafanikio baada ya kugundua kuwa uhusiano umefikia mwisho.
Inadaiwa Elvis hakuweza kukubali kukataliwa, hivyo akaajiri mtu mwingine kutekeleza shambulio la kumwagia Claire tindikali kama kulipiza kisasi.
Claire kwa sasa anapigania maisha yake katika Hospitali ya Kitaifa ya Kenyatta (Kenya National hospital)
Elvis amekamatwa na huenda akakaa gerezani kwa muda mrefu, mbali na mke wake na watoto wake wadogo.
Maisha ya wote wawili hayatakuwa tena kama yalivyokuwa awali.
Ni tukio la kusikitisha sana linaloonyesha madhara makubwa ya chuki, hasira na kushindwa kukabiliana na kukataliwa kwa njia ya afya.
Mshana hapa hakuna pisi nilijua tzMapenzi na dini🙌🏿🙌🏿🙌🏿
Enh binti kiziwiElvis ni mwanaume aliyeoa na ana watoto wawili.!!!!!!!
Ndani ya kanisa…….Ndugu zetu SDA nadhani ni wakati sasa mpunguze kuwa judgemental, kanisa ni chafu.
Mda sio mlefu unafata nyao za mshikaji😁Enh binti kiziwi
hata kusema neno i need you
kwake halitambui
hata kusema neno i love you
kwake halijui
hata kusema neno i need you
kwake halitambui
baby baby baby baby boo
baby i love you
ingawa nateseka tu naye
baby i need you
baby baby boo
baby i love you
baby tu baby i need you
sicilia ninampenda
(binti kiziwi)
moyo wangu wamtaka
(binti kiziwi)
sicilia nateseka juu yake
(yeye binti Kiziwi)
sicilia ninampenda
(binti kiziwi)
moyo wangu wamtaka
(binti kiziwi)
kichwa kinauma mawazo
(kwake binti kiziwi)
sicilia ninampenda
(binti kiziwi)
moyo wangu wamtaka
(binti kiziwi)
sicilia nateseka juu yake
(yeye binti Kiziwi)
sicilia ninampenda
(binti kiziwi)
moyo wangu wamtaka
(binti kiziwi)
kichwa kinauma mawazo
(kwake binti kiziwi)
Popote palipo na maisha ya jumuiya (kazini, kwaya, shule etc. ) hayo mambo ni kawaida.Zingatia: Usijaribu kumruhusu mkeo kuimba kwaya ya kanisa lolote lile usije jaribu labda kama wewe ni mzee na yeye ni bibi hapo sawa.
Hmm sio disorder hii we mzee🫢Mambo ya ajabu haya, kamuone Dr mkuu.
Uasherati kila dhehebu, hasa WanakwayaSDA na uasherati damdam
Kumbe we ndio Z anto? Usijenimwagia tindikali lakini. 😌Enh binti kiziwi
Nimpate vipi mi sijui
nina imani mapenzi hayajui
nitapata ugonjwa wa moyo
kwa sababu ya mawazo
ninavyo jua maisha yake
hajawahi kuwa na boyfriend
ila ni mimi wa kwanza
na ninashindwa kumpata
kwa ishara naonekana nampenda
yeye eti mi namzingua
eti kama angilikua anasikia
basi ukweli wangu angeujua
kwa ishara naoneka nampenda
yeye eti mi namzingua
eti kama angelikua anasikia
basi ukweli wangu angeujua
ningemzowea rafiki yake
basi mi ningemtuma
ningezitambua ishara zake
kwake mi ningefika
ningemzowea rafiki yake
basi ningemtuma
ningezitambua ishara zake
kwake mi ningefika
sicilia ninampenda
(binti kiziwi)
moyo wangu wamtaka
(binti kiziwi)
sicilia nateseka juu yake
(yeye binti Kiziwi)
sicilia ninampenda
(binti kiziwi)
moyo wangu wamtaka
(binti kiziwi)
kichwa kinauma mawazo
(kwake binti kiziwi)
nashangaa pale napomkuta
akiwa na wenzake wanaongea
huwa najiuliza mimi
wanaongea naye vipi
nashangaa pale napomuita
nahisi huwa anakataa
sijui ndio hasikii
au mapozi au mapozi naye
afadhari angejua kusoma
hata hatari ujumbe ningempa
eti kama ningejua ishara
basi kwake ningefika mimi
afadhari angejua kusoma
hata bonge ujumbe ningempa
eti kama ningejua inshara
basi kwake ningefika baby
sicilia ninampenda
(binti kiziwi)
moyo wangu wamtaka
(binti kiziwi)
nateseka juu yake
(yeye binti Kiziwi)
sicilia ninampenda
(binti kiziwi)
moyo wangu wamtaka
(binti kiziwi)
kichwa kinauma mawazo
(kwake binti kiziwi)
binti kiziwi yuko full
yani yuko bomba
amenidatisha mnyamwezi na yake figa
tatizo moja tu ambalo mimi linanisibu
kila kukicha hata nikiwaza mi sipati jibu
nikimuambia neno i love you
(wala halijui)
nikimuambia neno i need you
(halitambui)
nikimuimbia nyimbo nzuri hata haisikii
pingu nasikitika nikimuona binti kiziwi
nikimuambia neno i love you
(wala halijui)
nikimuambia neno i need you
(halitambui)
nikimuambia nyimbo nzuri hata hasikii
pingu nasikitika nikimuona binti kiziwi
hata kusema neno i love you
kwake halijui
hata kusema neno i need you
kwake halitambui
hata kusema neno i love you
kwake halijui
hata kusema neno i need you
kwake halitambui
baby baby baby baby boo
baby i love you
ingawa nateseka tu naye
baby i need you
baby baby boo
baby i love you
baby tu baby i need you
sicilia ninampenda
(binti kiziwi)
moyo wangu wamtaka
(binti kiziwi)
sicilia nateseka juu yake
(yeye binti Kiziwi)
sicilia ninampenda
(binti kiziwi)
moyo wangu wamtaka
(binti kiziwi)
kichwa kinauma mawazo
(kwake binti kiziwi)
sicilia ninampenda
(binti kiziwi)
moyo wangu wamtaka
(binti kiziwi)
sicilia nateseka juu yake
(yeye binti Kiziwi)
sicilia ninampenda
(binti kiziwi)
moyo wangu wamtaka
(binti kiziwi)
kichwa kinauma mawazo
(kwake binti kiziwi
Bifu lao na wakatoliki ni la maisha 😛Wenyewe wako busy kuwachafua Wakatoliki! Hivyo hawawezi kukuelewa.
Nje wanaonekana kama baba watakatifu yohana ila ni malaya flani hivi mapoyoyo na hawakubaligi kuachika hawa, wengi wao wanazijulia K ukubwaniNdio, mmejiweka kitakatifu sana msio na makandokando kuanzia nje mpaka ndani how comes mnaongoza kwa kutembeza rungu?
Binamu zake yesu 😀😀Nje wanaonekana kama baba watakatifu yohana ila ni malaya flani hivi mapoyoyo na hawakubaligi kuachika hawa, wengi wao wanazijulia K ukubwani
Umenichekeshaa😆 na ni mashamba ukilikuta linavyohemea juu ya uke🙌🏾Nje wanaonekana kama baba watakatifu yohana ila ni malaya flani hivi mapoyoyo na hawakubaligi kuachika hawa, wengi wao wanazijulia K ukubwani
Ma-deputy Jesus 😆Binamu zake yesu 😀😀
Walokole, wasabato usengenyaji na kuhukumu kutawakosesha mbingu nakwambia.Ma-deputy Jesus 😆
Yes I am, ntakumwagiaje uzuri WAKO utapotea binti kiziwi na nani atakuzimia binti kizowi.Kumbe we ndio Z anto? Usijenimwagia tindikali lakini. 😌
Haaahaa 😊 bwashee ☺️Bwashee nakula bia mda wote hivyo namchagua Seran