Ammwagia tindikali mchepuko wake kisa kaachwa

Ammwagia tindikali mchepuko wake kisa kaachwa

Halafu wewe na usabato wako unamuo binti anayesomeshwa na mme wa mtu kisha unajipa imani Mke mwema anatoka kwa Bwana japo hata hiyo bikira hujaikuta.

Tukiwaambia mnavimba shingo haya sawa.

Funzo: Usioe mwanamke kwa kigezo tu eti cha Dini yako.

Zingatia: Usijaribu kumruhusu mkeo kuimba kwaya ya kanisa lolote lile usije jaribu labda kama wewe ni mzee na yeye ni bibi hapo sawa.

Kwa sababu vichwa vyenu vigumu haya .....sawa!
Mi mbona naimba siku hizi
 
Back
Top Bottom