Mwalimu wa tuisheni
JF-Expert Member
- Oct 19, 2019
- 7,487
- 12,583
Ni tamu kuliko beer Bwashee...!!Papuchi ni tamu ila haijafikia hatua ya kumwagiana tindikali na kuharibiana maisha🤔
Ni tamu kuliko beer Bwashee...!!Papuchi ni tamu ila haijafikia hatua ya kumwagiana tindikali na kuharibiana maisha🤔
Kila kimoja kina utamu wake bwasheeNi tamu kuliko beer Bwashee...!!
Ongeza kutokunywa chai ya rangi na kahawaUmesahau kutokunywa Pepsi na Coca
Mmmh mkuuu acha haya mambo haya daaah..Acha uoga mkuu, mimi nakupa taarifa… wewe ndo unaamua kuzihisi vibaya! 😃
😂😂 Aiseee sio kama nakutishia, nakutag ili uone upande mwingine wa maisha… sio kila kitu ni soft bro.
Mhenga Nakwambia ukiona giza vizuri, ndipo unaelewa thamani ya mwanga.
Nimesoma replies ila what I have not seen ni mjadala kuhusu age difference ya hawa watu wawili.Elvis ni mwanaume aliyeoa na ana watoto wawili.!!!!!!!
Sweetheart, apparently, people in our society don’t see age gaps as an issue, even when the girl is not old enough to legally consent. Grooming ni msamiati mgumu sana kwetu, sad part ni kuwa hata wanawake ni enablers wa grooming, utasikia ameshakuwa apate mchumba, 16 of age 🥹Nimesoma replies ila what I have not seen ni mjadala kuhusu age difference ya hawa watu wawili.
Huyu binti ana miaka 24 na allegedly amekua kwenye uhusiano na huyo married man for over 8 years, which means jamaa alianzisha huu uhusiano binti akiwa na miaka 15 au 16 (most likely alianza kumtamani na kummendea hapo kanisani akiwa na umri mdogo chini ya hapo).
View attachment 3562715
We don't talk enough about grooming and sexual abuse kwenye jamii zetu za kiafrika. Wanaume kama Elvis wanaoanzisha mahusiano na mabinti wadogo huwa wanajisikia ni kama wanawamiliki na hawakubali kuachwa.
This whole situation is very sad for the parties involved (the wife, watoto wa huyo jamaa na binti aliyetaka kuuliwa).
Mkuu Kwamba Nakuwinda kisaikolojia 😀Mmmh mkuuu acha haya mambo haya daaah..
Yaani badala ya kuogopa wanyama wa mwituni. Sasa tunawinda na Wenyewe kwa wenyewe