Aliyewahi kufanya mchakato wa talaka msaada

Aliyewahi kufanya mchakato wa talaka msaada

Nenda mahakamani fungua kesi ya talaka, mwambie tuuu simpendi Tena huyu mwanaume.
Watu wasiopendana hawawezi ishi pamoja Teena.
 
  • Thanks
Reactions: amu
Case ya huyu ni ya long time Sana ajitenge naye kwanza kwa mda hata miezi sita au mwaka hivi?

Hii kanuni ipo wapi?

Kuna kujitenga kwa muda kwa wana ndoa wa kibongo?

Je itabadilisha tabia zao?
 
Habari yake ikoje...!!!??

Nashindwa la kusema hapa.

Mpekenyue utaona.

Alishawahi kuandika hapa kuomba ushauri....nikajaribu kumshauri PM.

Kwakweli sikuona jambo kubwa la kuvunja ndoa.

Ni kuwa tu kuna Mambo hawakubaliani ambayo si makubwaaa

Angekubali tu kuyapuuza na kufanya vile mume anataka.

Na kosa kubwa aliingia kwenye ndoa wakiwa na kutokukubaliana.

Yaani siku ya ndoa kila mmoja kanuna, wameenda kuongea kanisani kwenye kiapo....I got shocked.....ningekuwa mimi ningeahirisha ile ndoa......!!!

Anyway tunatofautiana sana kuchukulia mambo.
 
Hebu ondoka mbio, talaka uta process baadae.
Mali utapata nyingine, beba watoto wako uondoke.
 
Hii kanuni ipo wapi?

Kuna kujitenga kwa muda kwa wana ndoa wa kibongo?

Je itabadilisha tabia zao?
Ndio ili ajizoeshe Sasa kuliko asubirie kupelekwa karibuni na asiye mpenda. Kiubinadamu tu huyo mwanaume angemweshimu ka baby mama na sio kumuumiza, na wazungu husema you can't teach an old dog how to bite, so na huyo mwanaume habadiliki amu ignore aendelee na life aache kujiliza kisa mtu mzima mwenzake
 
Mpekenyue utaona.

Alishawahi kuandika hapa kuomba ushauri....nikajaribu kumshauri PM.

Kwakweli sikuona jambo kubwa la kuvunja ndoa.

Ni kuwa tu kuna Mambo hawakubaliani ambayo si makubwaaa

Angekubali tu kuyapuuza na kufanya vile mume anataka.

Na kosa kubwa aliingia kwenye ndoa wakiwa na kutokukubaliana.

Yaani siku ya ndoa kila mmoja kanuna, wameenda kuongea kanisani kwenye kiapo....I got shocked.....ningekuwa mimi ningeahirisha ile ndoa......!!!

Anyway tunatofautiana sana kuchukulia mambo.
Aisee!! Basi ana maajabu sana huyu binti.

Apambane tu na hali yake. Hakuna namna.
 
masai dada we kama vishahabuma nyanyuka mama.
Nani anasubiri talaka siku hizi?
Baadae huko ukiwa una energy za kutosha from being that weak and fragile ndo utaanza hizo process.

Sepa tafuta sehemu kaa endelea na maisha.
Usirudi hata kwenu, wataanza oh unajua ndoa mpk KIFO sijui blah blah gani.
Utarudishwa hapo hapo.

Jinyanyukie mama
 
Ni rahisi sana mwanaume kutoa talaka ila mwanamke ni ngumu sana. Maana ukimtibua jamaa atakuwa na small house we unaendelea kuumia tu
 
Hehehehe, ukiwa na mke anatumia jf hapo hakuna kitu.

Watu wa jf mna nn? Mmeolewa na kuoa kweli? Mbona hakuna hata anaeshauri kusuluhisha?
Kila mmoja hapa anataka ndoa ivunjike. Mna nn nyinyi wana wa jf?
 
Pole kwa uliyopitia. Naamini ushauri wetu Wa mwaka Jana kihusu kujipanga uliuzingatia. Sijui process ila tafuta mwanasheria atakuongoza. Kama ameona ndugu zake no Wa muhimu ondoka usije ukaumizwa bure.Una mtoto Wa kulea na anategemea were ukiwa mzima. Usivumilie yasiyovumilika. Tafuta amani ya roho yako. Hata Mungu hana roho mbaya huwa anaona so watu wasikutishe na implication za dini. Mungu akutangulie katika Maputo unayopitia. Akuonyeshe njia ya kupitia na alawe faraja yako. Nenda kwa amani.
 
Da
Nawashukuru kwa ushauri wa kutia moyo
Kuna baadhi ya maswali nitayjibu.
1.kwa nini nahitaji talaka kabla ya kuondoka
Kwa sababu sina chochote cha kuanzia pesa zangu zote nimewkeza hapa ikiwemo makato ya mwez
2.sio mambo mepes yanayoniondoa mengine siwez andika hapa ni ya aibu mnoo.
3.bado nampenda sana mume wangu na ndo fimbo yake kubwa kwangu.anajua nampenda na hili ndo linanifanya hili swala liwe gumu sana kwangu ila sina namna
Dada uliwahi kushare hapa huo ugumu. Moyo wako tayari una uamuzi wa ufanye mini
We we fanya wala usiwaze Mara mbili. Nimekulia kwenye familia nilioshuhidia haya. Natamani mama angeondoka kipindi kile ila niliona atatutelekeza. Alibaki ila sijawahi kutamani ndoa kama ya wazazi wangu. Wengi wanaokwambia vumilia hata hawajawahi kupigwa kofi au kusemwa. Wamshukuru Mungu kwa hilo na wengine ni mabachela kama mimi. Kwa mateso niliyoshuhudia wakati nakua nenda tu mwanao ataelewa siku moja. Usibaki ukafa ukamwachia mama wa kambo akulelee. Atateseka mno..so Bwana na akutangulie. Nenda tu!
 
Duuuuuh najikuta naumia mnoooh, plz ondoka hapo kwani then fuatilia hili suala la talaka. [emoji24][emoji24][emoji24][emoji24]
 
Nawashukuru kwa ushauri wa kutia moyo
Kuna baadhi ya maswali nitayjibu.
1.kwa nini nahitaji talaka kabla ya kuondoka
Kwa sababu sina chochote cha kuanzia pesa zangu zote nimewkeza hapa ikiwemo makato ya mwez
2.sio mambo mepes yanayoniondoa mengine siwez andika hapa ni ya aibu mnoo.
3.bado nampenda sana mume wangu na ndo fimbo yake kubwa kwangu.anajua nampenda na hili ndo linanifanya hili swala liwe gumu sana kwangu ila sina namna
Kuhutaji talaka mkiwa bado mnajifunika shuka moja/kulala nyumba moja ni hatari sana wanaume wengi wanaonesha kutokukujali mkiwa pamoja ila ukionesha usiriaz wa kutaka kuondoka visa na uhasama na chuki, kutaka kukukomoa vinaanza ndo wengine wanapatwa ma mauti wakiwa kwene mchakato
 
Back
Top Bottom