Aliyewahi kufanya mchakato wa talaka msaada

Aliyewahi kufanya mchakato wa talaka msaada

Mtafute Joyce kiria au Master Jay wana uzoefu, Chukua talaka mapema yasije kutokea ya kimara(Mercy) au Geza Ulole(Gunia mbili za Mkaa).
Yani nikisikiaga hizo habar naogopa sana 😑 naona wanaume ni watu hatari sana .
 
Dah... Nyie huwa ni rahisi sana

Unasema tu, "Nakutaliki, Nakutaliki, Nakutaliki"

Tayari talaka 3, kila mtu na hamsini zake
Katika vitu ambavyo Mungu ameruhusu (in islam) na anakasirishwa nacho sana kikifanyika ni talaka! Fikiria mara mbili.... Personally nilienda BAKWATA na mbele ya mashahidi nikatamka FULANI BINT FULANI NIKIWA NA AKILI TIMAMU NATAMKA KUANZIA LEO WEWE SIO MKE WANGU NAKUACHA KWA TALAKA KADHAA baada ya hapo mke anaingia eda ya 3 month then kila mtu anakua free.

Capo Dei Capi
 
  • Thanks
Reactions: amu
Nawashukuru kwa ushauri wa kutia moyo
Kuna baadhi ya maswali nitayjibu.
1.kwa nini nahitaji talaka kabla ya kuondoka
Kwa sababu sina chochote cha kuanzia pesa zangu zote nimewkeza hapa ikiwemo makato ya mwez
2.sio mambo mepes yanayoniondoa mengine siwez andika hapa ni ya aibu mnoo.
3.bado nampenda sana mume wangu na ndo fimbo yake kubwa kwangu.anajua nampenda na hili ndo linanifanya hili swala liwe gumu sana kwangu ila sina namna
Pole Sana Kwa Unayoyapitia
Angalia Mbele, Iwapo Anatumia Upendo Wako Kwake Kama Fimbo
Simama Uhakikishe Upo Salama, Ukiondoka Ndiyo Atajua Umeamua
 
Hivi nyie wanawake wootee wa humu JF mnashindwa kumchangia mwenzenu walau hata 1m aanzie maisha baada ya kuindoka au mpaka afe ndio mchange rambi rambi

UPENDO UNA NGUVU KULIKO MAUTI aiseeee

Nimeumia sana sana, pole sana dada, h
 
Mawazo ushauri sababu nahisi nakufa soon. Aliyewahi pitia hili suala naomba ushauri
Pole Sana

Cha Kwanza nenden kwa mshenga wenu

Kisha wazaz ikishindikana huko nenden kanisani/ msikitin(bakwata) kwa ajili majadiliano Zaid ukikubaliana mnakwenda mahakamani kwa ajili ya taratibu za kugawana mali,malez ya mtoto na mambo mengne

Ila usiendelee kukaa katika nyumba inayofuka moshi hujui lini italipuka

Mpaka Sasa huna mapenz tena na mumeo kwahyo kuwa Makin Mana utahtaji faraja kwa mtu alafu jamaa akijua jua Kuna kisu,Moto utakuhusu

Omba Mungu Sana ndio mshindi wa kila Jambo piga goti sali

Kama mwislamu hakika una funga suuna na kufanya ibada kila usiku kwa kuomba haja kwa Mwenyez Mungu ili akutilie wepesi katika shida zako[emoji120][emoji120][emoji120][emoji120][emoji120][emoji120]
 
Dada yangu, Fanya uwonanee na watu wa ustawi wa jamii, au shirika lolote LA wanawakee, watakusaidia. Jitaidi usicheleweee inaonekna unaishi kwenye maumivu makubwa
 
Mawazo ushauri sababu nahisi nakufa soon. Aliyewahi pitia hili suala naomba ushauri
Kipindi kile nakutongoza ukanipotezea, nilimuoa kwa niaba yako leo anamuomba Mungu atuongezee miaka ya kuishi ili azidi kuifaidi ndoa yake.
Ni mimi Frank wa IFM
 
Mawazo ushauri sababu nahisi nakufa soon. Aliyewahi pitia hili suala naomba ushauri
Embu ngoja kwanza ,yaan unaumia kisa hawahawa wanaume, ambao Mama wawatu ambaye Gari lake lilizama mto wami, licha yakuhangaika sana, wameishia kumuibia na kubakisha matairi??? Wanaume hao??


Hahahaha unazengua mkuu
 
Back
Top Bottom