Kim Jong Jr
JF-Expert Member
- Mar 15, 2014
- 11,904
- 22,129
Hakuna mwanamke hapa trust me
Fuatilia mkasa wake utamuelewa..Hakuna mwanamke hapa trust me
[emoji3][emoji3][emoji3]mhhh hivi ndoa za siku hizi zina mapepo?au mapepo ni wanandoa wenyewe?
Acha tu, yupogo sijui aliisoma, nayo ni story[emoji2][emoji2]
Sijui kwa nini kila nikikuona nawaza ile story yako kwenye uzi wa kulana kimasihara.
wewe mwanamke sio kabisa
hahahaha
😛😛Acha tu, yupogo sijui aliisoma, nayo ni story
Sifanyii tena, sitaki shida mie😛😛
nilitamani na mimi unipe nipige gemu haha kimyakimya
Fuatilia visa mkuu. Jamaa yake na fala. Nami namshauri atembee tu.Hivi mbona watu mmekimbilia kumshauri huyu mwanamke aondoke kwake haraka as if kasema jamaa anataka kumuua??? Yani yeye hajasema tatizo ni nini mpaka afike hapo lakini mshamshauri afunje ndoaa... Ukute yeye ndo kimdomo domo na dharauu sasa badala kumwambia ajirekebishee mnakaa kushauri pumba tu hapaa.
Sijaona aliposema hicho kisaaaFuatilia visa mkuu. Jamaa yake na fala. Nami namshauri atembee tu.
hapana mkuu hiyo ndio taaluma yangu.Upo vizuri mkuu.Yalishakupata nini
Hao ndoa nao zilishawashinda!Hivi mbona hankomi nyinyi.. Akina Kiria wana waharibu sana nyinyi.
Anyway. Kazi kwako.
Anaondoka anaenda wapi? eleza sababu za kuvunja ndoa haya mambo bila kujua pande zote 2 ni tatizo.Pole mkuu.
Mimi sitofautiani na waliotangulia ila nitoe ushauri kidogo ama kusisitiza.
1. Ondoka haraka hapo unapoishi, process zako zote kuanzia baraza la usuluhishi ni lazima usiwe unaishi na huyo mtu.
2. Uendapo katika Baraza la usuluhishi hakikisha kuwa unapambana haswa, ikiwezekana hata vurugu, yaani wao Baraza wasitoke na suluhisho la ninyi kuwatenganisha ila watoke na suluhisho la ninyi kwenda mahakamani kwa kuwapa barua.
Kwanini nasema hivi, Baraza wanatazama huu mgogoro wenu ni wa ngapi, mshawahi kuwekwa chini na kupatanishwa, ukubwa wa mgogoro n.k
Baraza endapo likaona vurugu ni kubwa huwa siku hiyo hiyo wanatoa barua ili iende mahakamani na kwa bahati mbaya baraza la usuluhishi wanasheria hawaruhusiwi, hata kama una ndugu hawaongea chochote kile, wazungumzaji ni ninyi tu.
Je level za familia kapitaTake your kid and run..Divorce itafatia but now quickly pack your stuff and go. Waafrica kuna ile dhana eti kuvumiliana hakunaga hio kuvumiliana huwezi kuishi kwa maumivu na mtu anaekuumiza na kukukandamiza huyo sio wa kuishi nae maisha tumepewa zawadi na Mungu hakuna mwenye right ya kukuumiza mwishowe utapata madhara zaidi.
Pole dada!