Naomba muongozo wa Jinsi ya kuvunja Ndoa au kutoa talaka

Naomba muongozo wa Jinsi ya kuvunja Ndoa au kutoa talaka

Ikiwa yuko mtu ana specific details, naomba msaada tafadhari.

Ndoa ni ya Kikristo, muhusika anahitaji kuvunja na kuendelea na maisha mengine.

Kuna sababu za kuvunja, sasa naomba kujua mchakato wake.
Anzia baraza la kata, utapewa form utajaza then utaenda baraza la usuluhishi mtaitwa wote ( mote humu mtaitwa waone kama wanaweza wapatanisha ) ila huwa kiini macho, na badae kabisa mkitoka bila kupatana kuna barua hiyo mmoja wenu ataipeleka kwa wakili kwa ajiri ya kumuandalia mashitaka yake ya kutaka ndoa ivunjwe.. baada ya hapo hatua inayofata mmoja atapewa wito wa mahaka na mkeka wake, then anaweza u fail kupitia mwanasheria wake kuujibu yani nahisi ndani ya siku 14 toka aupate then watakutana huko kizimbank
 
Zilibid zivunjwe na aliyefungisha ndoa, kama kanisani ilibid ivunjwe kanisani

Zipo za mahakamani hizo ndio zinatakiwa zivunjwe mahakamani
Tanzania chombo chenye mamlaka ya kuvunja ndoa ni mahakama tu ( na si mahala pengine popote pale ). Kanisani wanafungisha ndoa ila vyeti wanavyotoa ni vya serikali. Huko kwingine ni kujaribu kupatikanisha ikatokea kimenuka, ( hapa inategemea na wahuni wenyewe walio kwenye hiyo ndoa na usikilizaji wa wapatinishi wao )
 
Tanzania chombo chenye mamlaka ya kuvunja ndoa ni mahakama tu ( na si mahala pengine popote pale ). Kanisani wanafungisha ndoa ila vyeti wanavyotoa ni vya serikali. Huko kwingine ni kujaribu kupatikanisha ikatokea kimenuka, ( hapa inategemea na wahuni wenyewe walio kwenye hiyo ndoa na usikilizaji wa wapatinishi wao )
Ninachomaanisha ni kwamba mnaweza msiachane mkipata usimamizi mzuri

Yaani mkifungishwa kanisani na kanisa linapewa amri ya kuwapa chet kwa niaba ya serikali nafikiri ivyo ivyo kwa waislam

Sasa mkifika kanisani kwa sababu yakuvunja ndoa, kwa hekma za kanisa linaweza kuwapa maelekezo mazuri ndoa isivunjike

Ujue kitu kibaya sana kuvunja ndoa na pengine mna watoto tear
 
Ninachomaanisha ni kwamba mnaweza msiachane mkipata usimamizi mzuri

Yaani mkifungishwa kanisani na kanisa linapewa amri ya kuwapa chet kwa niaba ya serikali nafikiri ivyo ivyo kwa waislam

Sasa mkifika kanisani kwa sababu yakuvunja ndoa, kwa hekma za kanisa linaweza kuwapa maelekezo mazuri ndoa isivunjike

Ujue kitu kibaya sana kuvunja ndoa na pengine mna watoto tear
Mie ninae kupa haya maelekezo nimeishakuwa kwenye ndoa, na ndoa yangu ya kwanza ilipoleta sintofahamu tulivunja kisheria ( ilikuwa ndoa ya kanisani na ni RC ) ilivunjiwa mahakamani. Kanisa lilijaribu ku solve ila ikagomba mwamba, kazi yao ikaishia hapo ikabaki ya mahakamani..
 
Ikiwa yuko mtu ana specific details, naomba msaada tafadhari.

Ndoa ni ya Kikristo, muhusika anahitaji kuvunja na kuendelea na maisha mengine.

Kuna sababu za kuvunja, sasa naomba kujua mchakato wake.
Formality ya usuluhishi serikali ya mtaa.. Atapata nyaraka zinazoonyesha usuluhishi ulishindikana hivyo shauri lipokelewe mahamani

Huko mahakamani utasajili kesi kwa kuwakilisha nyaraka muhimu lama
Vyeti vya ndoa
Barua toka serikali ya mtaa nk

Mtqpangiwa siku na muda wa kesi.. Kesi itaendeshwa kwenye private court
Kama hakuna mali mliyochuma pamoja kipindi chote cha ndoa yenu hiyo kesi ni rahisi

Kama kuna mgawqnyo wa mali muwe mmeshajipanga
 
Back
Top Bottom