Acha upuuzi, huo wimbo ni kuwa ajili ya pasaka ya Yesu tu , sio wadongo kama chuma kinacholiwa na kutu.Aliyepo Karibu na Kwaya Master hapo Uwanja wa Magufuli amuambie waimbe wimbo wa Kweli Ni Huzuni.
Kabisa ni kazi kubwa,kuongoza watu zaidi ya mln 50 si mchezoKuongoza nchi sio jambo rahisi sana.
nawaza mtu ana mke na watoto wawili ila hawezi kuongoza familiya migogoro kibao,sembuse magufuli kuongoza hili linchi looote? Lawama zote kwake?...
Hivi ni utawala up ushawahi kupendwa??To be honest, sijasikitishwa na kifo chake. Kama ambavyo sikufurahishwa na utawala wake.
Namshukuru Mungu kwa yote na namuomba ampokee kiumbe wake.
Sote njia ni moja, ila yeye katangulia tu.
Atakua Askofu Gwajima tu huyo." Bungeni ni mahali patakatifu siyo sehemu ya kujadili mambo ya kipuuzi puuzi" asema baba askofu.
Alichosahau baba askofu nadhani ni namna wabunge hao walivyofika hapo bungeni.
Haiwezi kuwa kazi kubwa kamwe.Kabisa ni kazi kubwa,kuongoza watu zaidi ya mln 50 si mchezo
Ova
Ndio wewe nilokupita hapooo unachezea smatfoni??Nipo nje huku. Nina barakoa sa Simba S club ukiniona nisalimie
Yumo humu Jf Atareplay akitoka worshipNimevutiwa sana na huyo binti mrefu maji ya kunde mwenye pua ya kisomali... Niko backbancher huku
Tupia picha hap basiNimevutiwa sana na huyo binti mrefu maji ya kunde mwenye pua ya kisomali... Niko backbancher huku