Huyu Askofu Renatus Nkwande, anayeongea Sasa hivi, natamani aweke pembeni hiyo karatasi aliyoshika.Mahubiri yametulia,hayana kelele nyingi
Ebu malizia bhasi ulicho bakiza kwenye koooHatimatye...
Duh! Ndio basi tena. RIP Dr. John Magufuli, tutakukumbuka kwa mengi
Doh hii assumption! Ni halisi kabisaAssume uko zako katongoroshi ndani ndani huko afu huna hâta ubalozi wanyumba kumi nawakti huohuo unanfunga kamba mama upo nyuma yake😂😂😂
Mwisho wa maisha yetu sote ni kaburi...
Wameunganisha uzi wangu wa picha za matukio mbalimbali kutoka chato.Aisee hili bandiko linapelekwa jamii photos sasa hivi