Assume uko zako katongoroshi ndani ndani huko afu huna hâta ubalozi wanyumba kumi nawakti huohuo unanfunga kamba mama upo nyuma yake😂😂😂RIP jabari, Jembe tutakumisi Sana tunajua magenge ya kifisadi yanajiandaa.Mh Samia kuwa macho na hayo magenge usikubali kuyumbishwa ss tuko nyuma yako.
Nikiwa kama mkalimani natafsiri hivi thé payment is herehere thé world
Na katika hao watoto utakao wazaa naomba hawa nao wawepo.Kuongoza nchi sio jambo rahisi sana.
nawaza mtu ana mke na watoto wawili ila hawezi kuongoza familiya migogoro kibao,sembuse magufuli kuongoza hili linchi looote? Lawama zote kwake?
Wewe unaeshindwa kuongoza familiya usimame kumuhukumu magufuli?
Nahisi magufuli kaishi maisha magumu pale ikulu, wabaya wake wote wenda waliishi nae.
Sisi hatuwezi kujua ni makubwa gani alikuwa akiyapitia ila mtu anamuhukumu tu.
Wacheni akahukumiwe mbinguni ila sisi ambao tuko hai tukae kimya. Kile kiti cha urais sio chepesi kukikalia ukawa na amani ya moyo.
Kinachomponza magufuli ni the so called " employer's liabbility. Yaan sometimes analazimika kubeba dhambi za watu wengine.
Kila binadamu ana napungufu yake hivyo basi itoshe kusema that man was a good person.
Ameniuma sana coz nahisi alipitia mengi ambayo yalikuwa nje ya uwezo wake.
Hizi movie tunazoziona zinatosha kujua Rais au mfalme anapitia maisha gani magumu wakati akiwatumikia watu wake.
Lala salama magufuli huko uendako hakuna majungu, matusi, lawama.ni kusinzia tu.
Katika maisha ya baadae (kuzaliwa upya) ningependa nije nikuzae uwe kati ya watoto wangu nitakaojaliwa.
R.I.P J.P.M
Kwa hiyo Sala ya mazishi itaongozwa na Askofu Niwemugizi au Raisi wa Baraza la Maaskofu (TEC)?.. Maana nimesikiliza East Africa Radio asubuh hii wamesoma ratiba ya leo na wamesema Sala itaongozwa na Rais wa TEC
Sio uyo, tatizo umekariri taarifa za jana mtandaoni, ata jina kusoma hauwezi.Si marehemu alisema siyo raia?
Hapana sio huyu Nyaisonga anatoka Iringa huyu anaongoza Misa kanisani.Si marehemu alisema siyo raia?
Tetetete yeye mwenyewe alikiri jana karudishiwa passport juzi kati.Sio uyo, tatizo umekariri taarifa za jana mtandaoni, ata jina kusoma hauwezi.
Niwemugizi atakuwepo kama kawa kuchagiza hapa na pale wakati wa ibada ya kumsindikiza aliyemnyang'anya passoport na kuhoji uraia wake.Misa takatifu ya kumuombea hayati Magufuli inaongozwa na Rais wa TEC baba askofu mkuu Nyaisonga.
RIP Magufuli!
Asante sn mkuu kwa ufafanuziHapana sio huyu Nyaisonga anatoka Iringa huyu anaongoza Misa kanisani
Atakayeongoza Ibada ya Mazishi ndo Niwemugizi ambaye alipata misuko sumo na uhamiaji
Keywords: Misa & Ibada(Tofauti)
Kabisa Mungu akipenda nao ni wazae tena wazaliwa mapacha wa kiume.Na katika hao watoto utakao wazaa naomba hawa nao wawepo.
1. Ben Saanane.
2. Yule mwandishi wa habari gazeti la mwananchi.
3. Wale walio fungwa kwenye viroba
Nk nk nk.
Sema wakoApumzike kwa Amani jemedari wetu