Alivyotendewa Tundu Lissu Ukonga ni Uvunjifu Mkubwa wa Ibara 13 ya Katiba

Alivyotendewa Tundu Lissu Ukonga ni Uvunjifu Mkubwa wa Ibara 13 ya Katiba

Mzee Mwanakijiji

Platinum Member
Joined
Mar 10, 2006
Posts
34,092
Reaction score
43,265
Alichodai Tundu Lissu Mahakamani kuwa amewekwa pamoja na wafungwa waliohukumiwa kunyongwa ni jambo ambalo lingesababisha Mkuu wa Gereza Ukonga kuondolewa na kama siyo Waziri wa Mambo ya ndani kuondolewa basi Mkuu wa Jeshi la Magereza alipaswa kujiuzulu.

Uvunjaji wa Ibara ya 13 ya Katiba yetu umekuwa ukifanywa mara kwa mara kwa wananchi wanaotuhumiwa makosa mbalimbali. Watu walioapa kuilinda Katiba kwa mbwembwe na vigelegele wamekuwa wa kwanza kuvunja Katiba hiyo bila kujali (with impunity).

Ibara hii ya 13 inahitaji kufundishwa kwenye vyuo vyote vya mambo ya usalama. Na wananchi wanapokamatwa kutuhumiwa lolote wajue haki zao ndani ya ibara hii. Nafafanua.
View: https://youtu.be/j81uAK8K_-U?si=vR8jIqMY_YSPgNyu
 
Alichodai Tundu Lissu Mahakamani kuwa amewekwa pamoja na wafungwa waliohukumiwa kunyongwa ni jambo ambalo lingesababisha Mkuu wa Gereza Ukonga kuondolewa na kama siyo Waziri wa Mambo ya ndani kuondolewa basi Mkuu wa Jeshi la Magereza alipaswa kujiuzulu.

Uvunjaji wa Ibara ya 13 ya Katiba yetu umekuwa ukifanywa mara kwa mara kwa wananchi wanaotuhumiwa makosa mbalimbali. Watu walioapa kuilinda Katiba kwa mbwembwe na vigelegele wamekuwa wa kwanza kuvunja Katiba hiyo bila kujali (with impunity).

Ibara hii ya 13 inahitaji kufundishwa kwenye vyuo vyote vya mambo ya usalama. Na wananchi wanapokamatwa kutuhumiwa lolote wajue haki zao ndani ya ibara hii. Nafafanua.
View: https://youtu.be/j81uAK8K_-U?si=vR8jIqMY_YSPgNyu

Alichodai Tundu Lissu Mahakamani kuwa amewekwa pamoja na wafungwa waliohukumiwa kunyongwa ni jambo ambalo lingesababisha Mkuu wa Gereza Ukonga kuondolewa na kama siyo Waziri wa Mambo ya ndani kuondolewa basi Mkuu wa Jeshi la Magereza alipaswa kujiuzulu.📌🔨❗
 
Alichodai Tundu Lissu Mahakamani kuwa amewekwa pamoja na wafungwa waliohukumiwa kunyongwa ni jambo ambalo lingesababisha Mkuu wa Gereza Ukonga kuondolewa na kama siyo Waziri wa Mambo ya ndani kuondolewa basi Mkuu wa Jeshi la Magereza alipaswa kujiuzulu.

Uvunjaji wa Ibara ya 13 ya Katiba yetu umekuwa ukifanywa mara kwa mara kwa wananchi wanaotuhumiwa makosa mbalimbali. Watu walioapa kuilinda Katiba kwa mbwembwe na vigelegele wamekuwa wa kwanza kuvunja Katiba hiyo bila kujali (with impunity).

Ibara hii ya 13 inahitaji kufundishwa kwenye vyuo vyote vya mambo ya usalama. Na wananchi wanapokamatwa kutuhumiwa lolote wajue haki zao ndani ya ibara hii. Nafafanua.
View: https://youtu.be/j81uAK8K_-U?si=vR8jIqMY_YSPgNyu

Wanathibitisha dhahiri kwamba wao ndiyo huamua nani afe na nani aishi, nane afungwe gerezani na nani awe huru.

Ukiangalia yanayoendelea kufanywa hivi sasa na CCM na serikali yake, yanazidi kuufunua ukweli ambao umekuwa wazi ingawa umekuwa ukifichwa kwa mbinu na hila.
Kila wafanyacho kina backfire
 
Mambo ya ajabu sana.katiba ni muhimu kwa kulinda mamlaka sio maslahi ya umma.
 
Kupata Haki kwenye nchi Ambayo Sheria na watekelezaji wake wote ndio wahalifu.
 
Alichodai Tundu Lissu Mahakamani kuwa amewekwa pamoja na wafungwa waliohukumiwa kunyongwa ni jambo ambalo lingesababisha Mkuu wa Gereza Ukonga kuondolewa na kama siyo Waziri wa Mambo ya ndani kuondolewa basi Mkuu wa Jeshi la Magereza alipaswa kujiuzulu.

Uvunjaji wa Ibara ya 13 ya Katiba yetu umekuwa ukifanywa mara kwa mara kwa wananchi wanaotuhumiwa makosa mbalimbali. Watu walioapa kuilinda Katiba kwa mbwembwe na vigelegele wamekuwa wa kwanza kuvunja Katiba hiyo bila kujali (with impunity).

Ibara hii ya 13 inahitaji kufundishwa kwenye vyuo vyote vya mambo ya usalama. Na wananchi wanapokamatwa kutuhumiwa lolote wajue haki zao ndani ya ibara hii. Nafafanua.
View: https://youtu.be/j81uAK8K_-U?si=vR8jIqMY_YSPgNyu

Yaani inasikitisha sana. Lissu anatisha sana.
 
Alichodai Tundu Lissu Mahakamani kuwa amewekwa pamoja na wafungwa waliohukumiwa kunyongwa ni jambo ambalo lingesababisha Mkuu wa Gereza Ukonga kuondolewa na kama siyo Waziri wa Mambo ya ndani kuondolewa basi Mkuu wa Jeshi la Magereza alipaswa kujiuzulu.📌🔨❗
Kazi kweli kweli
 
Alichodai Tundu Lissu Mahakamani kuwa amewekwa pamoja na wafungwa waliohukumiwa kunyongwa ni jambo ambalo lingesababisha Mkuu wa Gereza Ukonga kuondolewa na kama siyo Waziri wa Mambo ya ndani kuondolewa basi Mkuu wa Jeshi la Magereza alipaswa kujiuzulu.

Uvunjaji wa Ibara ya 13 ya Katiba yetu umekuwa ukifanywa mara kwa mara kwa wananchi wanaotuhumiwa makosa mbalimbali. Watu walioapa kuilinda Katiba kwa mbwembwe na vigelegele wamekuwa wa kwanza kuvunja Katiba hiyo bila kujali (with impunity).

Ibara hii ya 13 inahitaji kufundishwa kwenye vyuo vyote vya mambo ya usalama. Na wananchi wanapokamatwa kutuhumiwa lolote wajue haki zao ndani ya ibara hii. Nafafanua.
View: https://youtu.be/j81uAK8K_-U?si=vR8jIqMY_YSPgNyu


Yote yalifanyika kwa "In the Name of the...." Ndiyo maana hawafanywi kitu.
 
Mzee Mwankijiji said:
Alichodai Tundu Lissu Mahakamani kuwa amewekwa pamoja na wafungwa waliohukumiwa kunyongwa ni jambo ambalo lingesababisha Mkuu wa Gereza Ukonga kuondolewa na kama siyo Waziri wa Mambo ya ndani kuondolewa basi Mkuu wa Jeshi la Magereza alipaswa kujiuzulu.

Naam, ni kweli Mh. Tundu Antipas Lissu kutendewa hivyo ni uvunjifu wa Katiba lakini ukimya wa vyombo hivi utafsiriwe vipi?
  • Serikali kimyaaa!
  • Bunge kimyaaa!
  • Mahakama kimyaaa!
Tafsiri yangu ni kuwa ama Watanzania bado tunaishi katika zama za giza au hatuna tofauti na wanyama wa porini!
 
TAL angefungua kesi ya kikatiba ma kuonesha kuwa hawezi kitendewa haki..
 
TAL angefungua kesi ya kikatiba ma kuonesha kuwa hawezi kitendewa haki..
Swali ni je, aliyeapa kuiheshimu, kuilinda na kuitetea katiba anaweza kufunguliwa kesi? Kwa katiba ya sasa hawezi kushtakiwa...yeye ni alfa na omega
 
Halafu Mzee wasira Bila aibu anasema CCM itatawala mile kama vile wao hawafi inakera sana
 
Alichodai Tundu Lissu Mahakamani kuwa amewekwa pamoja na wafungwa waliohukumiwa kunyongwa ni jambo ambalo lingesababisha Mkuu wa Gereza Ukonga kuondolewa na kama siyo Waziri wa Mambo ya ndani kuondolewa basi Mkuu wa Jeshi la Magereza alipaswa kujiuzulu.

Uvunjaji wa Ibara ya 13 ya Katiba yetu umekuwa ukifanywa mara kwa mara kwa wananchi wanaotuhumiwa makosa mbalimbali. Watu walioapa kuilinda Katiba kwa mbwembwe na vigelegele wamekuwa wa kwanza kuvunja Katiba hiyo bila kujali (with impunity).

Ibara hii ya 13 inahitaji kufundishwa kwenye vyuo vyote vya mambo ya usalama. Na wananchi wanapokamatwa kutuhumiwa lolote wajue haki zao ndani ya ibara hii. Nafafanua.
View: https://youtu.be/j81uAK8K_-U?si=vR8jIqMY_YSPgNyu

Mkuu siku hizi unaleta habari nusu.
 
Back
Top Bottom