Alipokufa Sokoine hapakuwepo mitandao ya kijamii lakini kuna Wanasiasa wawili walisingiziwa kuhusika. Hii tabia ilianza zamani

Kwa wale wahenga akina Pascal Mayalla, Mrangi, Mmawia na mzee Mgaya mtakumbuka baada ya aliyekuwa waziri mkuu hayati Sokoine kufa kwa ajali ya gari Morogoro kuna wanasiasa wawili walisingiziwa kuhusika na kifo chake....
Mwezi mmoja, wamefariki watumishi wawili muhimu ndani ya ofisi moja, tena ofisi muhimu,then uwaambie watu zaidi milion 60 msikilize kaeni kimya?
 
Kwa wale wahenga akina Pascal Mayalla, Mrangi, Mmawia na mzee Mgaya mtakumbuka baada ya aliyekuwa waziri mkuu hayati Sokoine kufa kwa ajali ya gari Morogoro kuna wanasiasa wawili walisingiziwa kuhusika na kifo chake....
Heri ya mama Samia alau amekemea tabia hizi zimelelewa kitambo na hakuna aliyepata kuzikemea kwa maana wako wanaofaidika nazo "hafi mswahili ila karogwa!!"

Bado tabia za kibaguzi zilizolelewa na chama kile kikuu kama walivyomkataa SAS ati mwarabu na mara alitoka upinzani... kama walivyomkataa EL ati tajiri hawezi kutawala!!! Na upuuzi mwingi mwingineo.. Bomu lililoyengenezwa linaendelea kututafuna
 
Heri ya mama Samia alau amekemea tabia hizi zimelelewa kitambo na hakuna aliyepata kuzikemea kwa maana wako wanaofaidika nazo "hafi mswahili ila karogwa!!" Bado tabia za kibaguzi zilizolelewa na chama kile kikuu kama walivyomkataa SAS ati mwarabu na mara alitoka upinzani... kama walivyomkataa EL ati tajiri hawezi kutawala!!! Na upuuzi mwingi mwingineo.. Bomu lililoyengenezwa linaendelea kututafuna
Nimekuelewa bwashee!
 
Veronica france musiba mulaga alizoea kuishi kwa umbea maisha yamemvalia bukta akutegemea
Sasa inabidi aikimbie nchi maana uongozi umebadilika na wala asijidanganye kuishi kwa mazoea.

Alikuwa anaongea lolote analojisikia kipindi cha mwendazake.
 
Back
Top Bottom