Benjamini Netanyahu
JF-Expert Member
- Aug 7, 2014
- 80,836
- 93,612
Hatari sn
Vizuri sana maana ushahidi unao kama sisi tulivyo na ushahidi wa Mwana harakati huru na wasaidizi wake ukiwemo wewe.Ukweli wa mwenyekiti kumdedisha Chacha Wangwe?
Kwa sasa hakuna lililofanyika Chadema ambalo bado ni siri.Vizuri sana maana ushahidi unao kama sisi tulivyo na ushahidi wa Mwana harakati huru na wasaidizi wake ukiwemo wewe.
Ameshakujibu?Jo zinakurudi au nawe ni katika lile kundi kubwa la vinyonga?
Hii Ina ushahidi, tutautoa wakati mwafakaAlipopotea Ben saanane walimsingizia Magu,
kwaiyo haya mambo yapo
Yeye alikemea wa mitandaoni tuKwa wale wahenga akina Pascal Mayalla, Mrangi, Mmawia na mzee Mgaya mtakumbuka baada ya aliyekuwa waziri mkuu hayati Sokoine kufa kwa ajali ya gari Morogoro kuna wanasiasa wawili walisingiziwa kuhusika na kifo chake...
Hata ktk jamii zetu, mitaani na vijijini tunakoishi, vifo vya watu hupata mtu wa kusingizia. Pamoja na kutumia neno kusingizia, tuelwe wazi kwamba hii haitokei bila sababu. Wanaosingiziwa mara nyingi wana matatizo ya tabia ktk jamii. Ukiona mtu kasingiziwa ujue huyo mtu ana matatizo ya tabia na uhusiano na wengine.Kwa wale wahenga akina Pascal Mayalla, Mrangi, Mmawia na mzee Mgaya mtakumbuka baada ya aliyekuwa waziri mkuu hayati Sokoine kufa kwa ajali ya gari Morogoro kuna wanasiasa wawili walisingiziwa kuhusika na kifo chake...
Nimekuelewa bwashee!Hata ktk jamii zetu, mitaani na vijijini tunakoishi, vifo vya watu hupata mtu wa kusingizia. Pamoja na kutumia neno kusingizia, tuelwe wazi kwamba hii haitokei bila sababu. Wanaosingiziwa mara nyingi wana matatizo ya tabia ktk jamii. Ukiona mtu kasingiziwa ujue huyo mtu ana matatizo ya tabia na uhusiano na wengine.
Hawa wanaosingiziwa kwenye vifo vya wanasiasa, nawaona ni watu wenye tamaa kubwa sana ya kupata au kurudi madarakani, au kufaidika na nafasi za kisiasa. Wanaposingiziwa ni haki yao, na ni nafasi yao kujirekebisha. Tusiwatetee.
Hata Maalimu Seif.sijawahi ona kifo cha mswahili kisicho kisingizioAlipo kufa Mkapa wali msingizia mwendazake
Zama za unafiki,zama za kujipendekeza ,kuimba kwaya Ili uishi zilishapita hata yule shehe wa bashite atakuwa na hali ngumu SanaSasa inabidi aikimbie nchi maana uongozi umebadilika na wala asijidanganye kuishi kwa mazoea.
Alikuwa anaongea lolote analojisikia kipindi cha mwendazake.
Wana kipindi kigumu sana watu walio zoea kupata ridhiki kwa kuuza maneno ya umbea na uchonganishi.Zama za unafiki,zama za kujipendekeza ,kuimba kwaya Ili uishi zilishapita hata yule shehe wa bashite atakuwa na hali ngumu Sana
Walizoezwa vibaya wapambe kutwa mbele ya camera kulitajataja jina lile mara nyingi kuliko hata kuliita jina la Mungu Ili kumfurahisha mwendazake Ili awape teuzi au asiwatumbue.Wana kipindi kigumu sana watu walio zoea kupata ridhiki kwa kuuza maneno ya umbea na uchonganishi.
Mbona hata mi niliikuta mtaani kwetu mpaka nkawa nawaambia acheni ujinga kwani yeye ni nani asife kifo kama wengine?Hiyo ndio naisikia kutoka kwako bwashee!
Ndiyo maana sasa hivi wapo kama yatimaWalizoezwa vibaya wapambe kutwa mbele ya camera kulitajataja jina lile mara nyingi kuliko hata kuliita jina la Mungu Ili kumfurahisha mwendazake Ili awape teuzi au asiwatumbue.
Walikuwa wanaamini kuwa ni malaikaMbona hata mi niliikuta mtaani kwetu mpaka nkawa nawaambia acheni ujinga kwani yeye ni nani asife kifo kama wengine?