LIKUD
JF-Expert Member
- Dec 26, 2012
- 15,120
- 27,126
Tukio hili limetokea Yombo jijini Dar Es Salaam siku mbili zilizopita. Inasemekana waliugulia tumbo na kupelekea mauti yao.
Hakuna taarifa yoyote kama kuna uchunguzi wowote uliofanyika.
Upo uwezekano mkubwa kwamba vijana hawa walinyweshwa sumu.
Kama kuna waandishi humu ndani wafuatilie hilo tukio huenda ukweli ukajulikana na roho za marehemu kupata justice yao.
Walikuwa wanaishi Yombo Vituka mtaa wa Magogoni.
May their souls rest in peace
Hakuna taarifa yoyote kama kuna uchunguzi wowote uliofanyika.
Upo uwezekano mkubwa kwamba vijana hawa walinyweshwa sumu.
Kama kuna waandishi humu ndani wafuatilie hilo tukio huenda ukweli ukajulikana na roho za marehemu kupata justice yao.
Walikuwa wanaishi Yombo Vituka mtaa wa Magogoni.
May their souls rest in peace