LIKUD
JF-Expert Member
- Dec 26, 2012
- 15,120
- 27,126
Katika ulimwengu wa roho, Dar es salaam ni jiji ambalo wanaishi binadamu na majini.
Majini ni nini?
In my personal opinion which is based upon my personal understanding of the spiritual world, majini ni viumbe ambao kwa ujumla wao wapo more advanced in technology kuliko binadamu kwa ujumla wetu.
Ninapo sema kwa ujumla wao, majini wapo more advanced in technology kuliko binadamu simaanishi kwamba majini wote wapo more advanced in "technology" kuliko binadamu wote.
La hasha.
Ni sawa na tunaposema Marekani ndio taifa lililo endelea kiteknolojia kuliko mataifa yote duniani, hatumaanishi kwamba every individual american is more advanced in technology than every person who is not an American.
La hasha. Wapo raia kutoka nje ya Marekani ambao wao kwa sababu ya mahaba yao kuhusu teknolojia wame yatafuta kwa kina maarifa kuhusu teknolojia kadha wa kadha na uki walinganisha katika ufahamu wao juu ya teknolojia na wamarekani wengi, utakuta raia hao wa mataifa nje ya Marekani Wana ufahamu mkubwa kuhusu teknolojia kuliko idadi kubwa tu ya Wamarekani.
Wapo wahindi ambao wame ajiriwa Marekani kama wataalamu wa IT, Nuclear etc. Vivyo hivyo kwa upande wa majini na binadamu. Wapo binadamu wengi ambao Wana maarifa mapana kuliko majini.
Ninasema wao majini wameendelea kiteknolojia kuliko binadamu kwa maana ya kwamba uki chukua kiwango cha juu cha teknolojia kinacho milikiwa na majini ukalinganisha na kiwango cha juu cha teknolojia kinacho milikiwa na binadamu Basi kile kiwango cha juu cha teknolojia kinacho milikiwa na majini kipo juu zaidi ya kiwango kinacho milikiwa na binadamu wanao ishi katika sayari ya dunia. (Nimesema binadamu wanao ishi katika sayari ya dunia kwa sababu ufahamu wangu unaniambia kwamba wapo viumbe wenye kufanana na binadamu "humanoids" ambao wanaishi kwenye sayari na makundi nyota (galaxies) mengine.
Mungu ali tengeneza a billions of ADAM and EVE couples, ambao ali waplant kwenye mashamba (sayari) yake mbalimbali yaliyopo katika galaxies tofauti tofauti kwa sababu ambazo nitazielezea wakati mwingine.
Marekani ndio taifa lenye teknolojia ya juu duniani lakini wamarekani wenye access na maamuzi juu ya hiyo teknolojia itumike vipi wanaweza wasizidi elfu mbili.
Vivyo hivyo kwa majini. Pamoja na kwamba Ufalme wa kijini kwa ujumla wake (kuna falme nyingi sana za kijini) una hodhi teknolojia ambayo ipo juu kuliko teknolojia tunayo hodhi binadamu lakini majini wenye access na hiyo teknolojia au wanao weza kutumia hiyo teknolojia wapo wachache sana.
Katika.matrilioni ya majini wanao ishi katika sayari ya dunia pamoja sayari mama yao katika mfumo wetu wa jua (solar system) majini wenye access na teknolojia ya juu ya majini wapo chini ya elfu ishirini.
Sayari mama ya majini katika mfumo wetu wa jua ni VENUS. Huko ndipo yalipo makao makuu ya majini katika ukanda huu wa kinyota.
Majini hawaishi BAHARINI. Tunafikiri majini wanaishi BAHARINI KWA sababu kwenye bahari yetu upande wa bahari ya Hindi ndipo kulipo na short cut ya kwenda kwenye sayari ya Venus. Duniani yapo maeneo saba katika ulimwengu wa roho ambayo ni njia panda zinazo ikutanisha sayari ya Venus na sayari ya dunia.
Maeneo hayo yapo katika bahari ya Hindi katika mikoa ya Dar es salaam, Tanga, Lindi, Mtwara, eneo la Unguja, Pemba na eneo jingine lipo nchini India.
Katika maeneo hayo ndipo ulipo njia ya short cut kutoka kwenye sayari ya dunia HADI ilipo sayari ya Venus yalipo makao makuu ya majini katika ukanda huu wa kinyota. Kikawaida/kisayansi (kwa teknolojia ya binadamu) safari kutoka duniani HADI ilipo sayari ya Venus huchukua siku 109.
Lakini kwa teknolojia ya kijini safari kutoka duniani HADI kwenye sayari Venus kupitia BAHARINI, hutumia dakika saba.
Ndio zile habari ulizo kuwa ukisimuliwa utotoni kwamba mtu akienda bahari saa tisa usiku na mayai saba ya ndege mmoja wa porini yaliyo fanyiwa vitu fulani fulani halafu akatamka Maneno fulani kisha akayatupa mayai hayo BAHARINI BASI bahari hupasuka na huonekana jiji zuri la dhahabu ambalo limeendelea kuliko duniani na kuna viumbe kama watu wanaishi huko plus kuna watu maarufu kutoka duniani wapo huko.
Huko ndipo ambapo wanadamu hupaita kuzimu. Ndio maana husemwa umbali kutoka duniani HADI kuzimu ni kilometa sifuri.
ITAENDELEA KESHO. MAHALI AMBAPO MAJINI WANAPATIKANA KWA WINGI JIJINI DAR ES SALAAM.
Jijini Dar es salaam yapo maeneo kumi na moja ambako hawa viumbe majini WANAPATIKANA KWA wingi sana.
Kati ya maeneo kumi na moja lipo eneo moja ambalo viumbe hao hupatikana kea wingi zaidi.
Huko bara Mizimu ni roho za watu walio fariki zamani au majini wa watu walio fariki. Yani kwamba KILA mtu anakuwaga na jini wake kwenye mwili wake. Huyu mtu akifa roho yake hurejea mbinguni lakini huyu jini wake hubaki duniani kuendeleza mahusiano na ndugu wa marehemu.
Lakini kwa washirikina na wachawi wa pwani, mizimu ni majini walio kusanyika sehemu moja kwa wingi.
Sasa kwa washirikina na wachawi wa viwango vya juu waliopo jijini Dar es salaam, eneo hili ninalo lisema hujulikana kama Mizimuni (sio Kawe Mzimuni). Huitwa Mizimuni kwa sababu katika eneo hilo kuna.idadi kubwa sana ya majini. There is an active djinn city in the area.
Kama umewahi kupewa dawa yoyote ile ya kichawi ukaambiwa nenda kaichome au kaifanye hivi vile nakadhalika ukafanya hivyo ukiwa ndani ya jiji la Dar es Salaam na dawa hiyo isifanye kazi bas probably hukufanya jambo hilo katika eneo ambalo majini wapo active..
Ukifanya uchawi wowote ndani ya eneo hilo uchawi huo hupata majibu ya papo kwa papo. Kwa mfano watu wengi hawajui kuhusu kazi ya mafusho mbalimbali. Kazi kubwa ya mafusho ni kufungua anga la majini husika.
Chochote cha kishirikina unacho kifanya katika eneo hilo hutoa majibu ya papo kwa papo kwa sababu majini wapo active sana katika eneo hilo. Chochote kuanzia mafusho, kafara nakadhalika.
Je, ni wapi mahali hapo? Usisumbuke kuni dm kwa sababu sitokwambia chochote ingawa nina pajua.
Ni mwiko kutoa siri hii. Unacho takiwa kufanya ni wewe mwenyewe kuanza kutembelea KILA kata ya jijinla dar es salaam na kufanya hizo kafara au kuchoma mafusho kupingana na siku husika. Mwisho wa siku utapajua ni wapi kupitia majibu utakayo yapata katika sehemu husika.
Kuisaidia tu muda mzuri wa kufanya hivyo ni usiku kuanzia saa tisa.
JE, MAJINI HUFA? Ndio majini HUFA.
JE, MAJINI WATAIONA PEPO?
(Jibu langu halitokani na ulicho fundishwa kwenye dini yako Ila linatokana na ufahamu wangu kuhusu majini)
Majini wote wazuri KWA wabaya hawata iona pepo.
Kwanini? Pepo wamehaidiwa binadamu tu. Majini wamenyimwa pepo kwa sababu GANI?
Kwa mujibu wa elimu halisi ya majini. Majini wamenyimwa pepo kwa sababu huishi kwa maelfu ya miaka.
Kwa mujibu wa elimu ya majini. Viumbe wanao ishi miaka mingi wakisha kufa ndio wamekufa. Hawapewi nafasi ya kuishi tena kwa mara nyingine. Kwa hiyo majini na viumbe wengine ambao wanaishi miaka mingi sana hawana pepo KWA mujibu wa elimu ya majini.
Majini walipata wapi teknolojia yao?
Tofauti na watu wengi wanavyo fikiria kwamba eti majini waliumbwa wakiwa na ufahamu wa KILA kitu, majini hawa kuumbwa wakiwa Wana ufahamu wa kila kitu.
They started with a very humble beginning. When they start to live in this planet they were as dumb and ignorant as Adam and Eve.
Walijifunza mambo yote wanayo yafahamu leo hii kupitia challenges walizo kutana nazo..
Hata sisi binadamu hatu kuanza kurusha ndege. Tulijifunza kurusha ndege.
Binadamu bado tunayo nafasi ya kujua mambo mengi sana kuhusu hii dunia.
KWA mtazamo wangu. Binadamu watako kuja kuishi hapa duniani miaka elfu kumi ijayo watakuwa wanatucheka binadamu tunao ishi SASA hivi KWA kushindwa kwetu kupata maarifa yakutufanya tuishi milele.
JE, MAJINI WANAJUA KILA KITU?
Hapana majini hawajui KILA kitu. Ila miongoni wapo majini wanao jua vitu vingi kutushinda sisi binadamu. Tofauti baina yetu sisi binadamu na majini katika maarifa ni kwamba huyu jini ambae hajui KILa kitu lakini anawajua majini ambao WANAJUA vitu vingi.
Anawajua sio kwamba ana access nao au anaweza ku interact nao. Ni kama vile wewe unavyo jua kwamba wapo watu wenye teknolojia ya nuclear lakini huna access nao.
Majini wengi hasa hawa wanao interact na waganga na wachawi ni majini wanao toka katika madaraja ya chini sana miongoni mwa majini na wengi wao hawana access na baadhi ya majini walio katika madaraja ya juu.
Wapo binadamu ambao KWA sababu ya maarifa yao Wana access na majini wa madaraja ya juu ambao hawa majini wa madaraja ya chini hawana access nao.
JINSI MAJINI WA UGANGA WANAVYO SHIRIKIANA NA BINADAMU.
Hii naiweka kwenye comment. Usi comment KWANZA mpaka ni ielezee hii
Majini ni nini?
In my personal opinion which is based upon my personal understanding of the spiritual world, majini ni viumbe ambao kwa ujumla wao wapo more advanced in technology kuliko binadamu kwa ujumla wetu.
Ninapo sema kwa ujumla wao, majini wapo more advanced in technology kuliko binadamu simaanishi kwamba majini wote wapo more advanced in "technology" kuliko binadamu wote.
La hasha.
Ni sawa na tunaposema Marekani ndio taifa lililo endelea kiteknolojia kuliko mataifa yote duniani, hatumaanishi kwamba every individual american is more advanced in technology than every person who is not an American.
La hasha. Wapo raia kutoka nje ya Marekani ambao wao kwa sababu ya mahaba yao kuhusu teknolojia wame yatafuta kwa kina maarifa kuhusu teknolojia kadha wa kadha na uki walinganisha katika ufahamu wao juu ya teknolojia na wamarekani wengi, utakuta raia hao wa mataifa nje ya Marekani Wana ufahamu mkubwa kuhusu teknolojia kuliko idadi kubwa tu ya Wamarekani.
Wapo wahindi ambao wame ajiriwa Marekani kama wataalamu wa IT, Nuclear etc. Vivyo hivyo kwa upande wa majini na binadamu. Wapo binadamu wengi ambao Wana maarifa mapana kuliko majini.
Ninasema wao majini wameendelea kiteknolojia kuliko binadamu kwa maana ya kwamba uki chukua kiwango cha juu cha teknolojia kinacho milikiwa na majini ukalinganisha na kiwango cha juu cha teknolojia kinacho milikiwa na binadamu Basi kile kiwango cha juu cha teknolojia kinacho milikiwa na majini kipo juu zaidi ya kiwango kinacho milikiwa na binadamu wanao ishi katika sayari ya dunia. (Nimesema binadamu wanao ishi katika sayari ya dunia kwa sababu ufahamu wangu unaniambia kwamba wapo viumbe wenye kufanana na binadamu "humanoids" ambao wanaishi kwenye sayari na makundi nyota (galaxies) mengine.
Mungu ali tengeneza a billions of ADAM and EVE couples, ambao ali waplant kwenye mashamba (sayari) yake mbalimbali yaliyopo katika galaxies tofauti tofauti kwa sababu ambazo nitazielezea wakati mwingine.
Marekani ndio taifa lenye teknolojia ya juu duniani lakini wamarekani wenye access na maamuzi juu ya hiyo teknolojia itumike vipi wanaweza wasizidi elfu mbili.
Vivyo hivyo kwa majini. Pamoja na kwamba Ufalme wa kijini kwa ujumla wake (kuna falme nyingi sana za kijini) una hodhi teknolojia ambayo ipo juu kuliko teknolojia tunayo hodhi binadamu lakini majini wenye access na hiyo teknolojia au wanao weza kutumia hiyo teknolojia wapo wachache sana.
Katika.matrilioni ya majini wanao ishi katika sayari ya dunia pamoja sayari mama yao katika mfumo wetu wa jua (solar system) majini wenye access na teknolojia ya juu ya majini wapo chini ya elfu ishirini.
Sayari mama ya majini katika mfumo wetu wa jua ni VENUS. Huko ndipo yalipo makao makuu ya majini katika ukanda huu wa kinyota.
Majini hawaishi BAHARINI. Tunafikiri majini wanaishi BAHARINI KWA sababu kwenye bahari yetu upande wa bahari ya Hindi ndipo kulipo na short cut ya kwenda kwenye sayari ya Venus. Duniani yapo maeneo saba katika ulimwengu wa roho ambayo ni njia panda zinazo ikutanisha sayari ya Venus na sayari ya dunia.
Maeneo hayo yapo katika bahari ya Hindi katika mikoa ya Dar es salaam, Tanga, Lindi, Mtwara, eneo la Unguja, Pemba na eneo jingine lipo nchini India.
Katika maeneo hayo ndipo ulipo njia ya short cut kutoka kwenye sayari ya dunia HADI ilipo sayari ya Venus yalipo makao makuu ya majini katika ukanda huu wa kinyota. Kikawaida/kisayansi (kwa teknolojia ya binadamu) safari kutoka duniani HADI ilipo sayari ya Venus huchukua siku 109.
Lakini kwa teknolojia ya kijini safari kutoka duniani HADI kwenye sayari Venus kupitia BAHARINI, hutumia dakika saba.
Ndio zile habari ulizo kuwa ukisimuliwa utotoni kwamba mtu akienda bahari saa tisa usiku na mayai saba ya ndege mmoja wa porini yaliyo fanyiwa vitu fulani fulani halafu akatamka Maneno fulani kisha akayatupa mayai hayo BAHARINI BASI bahari hupasuka na huonekana jiji zuri la dhahabu ambalo limeendelea kuliko duniani na kuna viumbe kama watu wanaishi huko plus kuna watu maarufu kutoka duniani wapo huko.
Huko ndipo ambapo wanadamu hupaita kuzimu. Ndio maana husemwa umbali kutoka duniani HADI kuzimu ni kilometa sifuri.
ITAENDELEA KESHO. MAHALI AMBAPO MAJINI WANAPATIKANA KWA WINGI JIJINI DAR ES SALAAM.
Jijini Dar es salaam yapo maeneo kumi na moja ambako hawa viumbe majini WANAPATIKANA KWA wingi sana.
Kati ya maeneo kumi na moja lipo eneo moja ambalo viumbe hao hupatikana kea wingi zaidi.
Huko bara Mizimu ni roho za watu walio fariki zamani au majini wa watu walio fariki. Yani kwamba KILA mtu anakuwaga na jini wake kwenye mwili wake. Huyu mtu akifa roho yake hurejea mbinguni lakini huyu jini wake hubaki duniani kuendeleza mahusiano na ndugu wa marehemu.
Lakini kwa washirikina na wachawi wa pwani, mizimu ni majini walio kusanyika sehemu moja kwa wingi.
Sasa kwa washirikina na wachawi wa viwango vya juu waliopo jijini Dar es salaam, eneo hili ninalo lisema hujulikana kama Mizimuni (sio Kawe Mzimuni). Huitwa Mizimuni kwa sababu katika eneo hilo kuna.idadi kubwa sana ya majini. There is an active djinn city in the area.
Kama umewahi kupewa dawa yoyote ile ya kichawi ukaambiwa nenda kaichome au kaifanye hivi vile nakadhalika ukafanya hivyo ukiwa ndani ya jiji la Dar es Salaam na dawa hiyo isifanye kazi bas probably hukufanya jambo hilo katika eneo ambalo majini wapo active..
Ukifanya uchawi wowote ndani ya eneo hilo uchawi huo hupata majibu ya papo kwa papo. Kwa mfano watu wengi hawajui kuhusu kazi ya mafusho mbalimbali. Kazi kubwa ya mafusho ni kufungua anga la majini husika.
Chochote cha kishirikina unacho kifanya katika eneo hilo hutoa majibu ya papo kwa papo kwa sababu majini wapo active sana katika eneo hilo. Chochote kuanzia mafusho, kafara nakadhalika.
Je, ni wapi mahali hapo? Usisumbuke kuni dm kwa sababu sitokwambia chochote ingawa nina pajua.
Ni mwiko kutoa siri hii. Unacho takiwa kufanya ni wewe mwenyewe kuanza kutembelea KILA kata ya jijinla dar es salaam na kufanya hizo kafara au kuchoma mafusho kupingana na siku husika. Mwisho wa siku utapajua ni wapi kupitia majibu utakayo yapata katika sehemu husika.
Kuisaidia tu muda mzuri wa kufanya hivyo ni usiku kuanzia saa tisa.
JE, MAJINI HUFA? Ndio majini HUFA.
JE, MAJINI WATAIONA PEPO?
(Jibu langu halitokani na ulicho fundishwa kwenye dini yako Ila linatokana na ufahamu wangu kuhusu majini)
Majini wote wazuri KWA wabaya hawata iona pepo.
Kwanini? Pepo wamehaidiwa binadamu tu. Majini wamenyimwa pepo kwa sababu GANI?
Kwa mujibu wa elimu halisi ya majini. Majini wamenyimwa pepo kwa sababu huishi kwa maelfu ya miaka.
Kwa mujibu wa elimu ya majini. Viumbe wanao ishi miaka mingi wakisha kufa ndio wamekufa. Hawapewi nafasi ya kuishi tena kwa mara nyingine. Kwa hiyo majini na viumbe wengine ambao wanaishi miaka mingi sana hawana pepo KWA mujibu wa elimu ya majini.
Majini walipata wapi teknolojia yao?
Tofauti na watu wengi wanavyo fikiria kwamba eti majini waliumbwa wakiwa na ufahamu wa KILA kitu, majini hawa kuumbwa wakiwa Wana ufahamu wa kila kitu.
They started with a very humble beginning. When they start to live in this planet they were as dumb and ignorant as Adam and Eve.
Walijifunza mambo yote wanayo yafahamu leo hii kupitia challenges walizo kutana nazo..
Hata sisi binadamu hatu kuanza kurusha ndege. Tulijifunza kurusha ndege.
Binadamu bado tunayo nafasi ya kujua mambo mengi sana kuhusu hii dunia.
KWA mtazamo wangu. Binadamu watako kuja kuishi hapa duniani miaka elfu kumi ijayo watakuwa wanatucheka binadamu tunao ishi SASA hivi KWA kushindwa kwetu kupata maarifa yakutufanya tuishi milele.
JE, MAJINI WANAJUA KILA KITU?
Hapana majini hawajui KILA kitu. Ila miongoni wapo majini wanao jua vitu vingi kutushinda sisi binadamu. Tofauti baina yetu sisi binadamu na majini katika maarifa ni kwamba huyu jini ambae hajui KILa kitu lakini anawajua majini ambao WANAJUA vitu vingi.
Anawajua sio kwamba ana access nao au anaweza ku interact nao. Ni kama vile wewe unavyo jua kwamba wapo watu wenye teknolojia ya nuclear lakini huna access nao.
Majini wengi hasa hawa wanao interact na waganga na wachawi ni majini wanao toka katika madaraja ya chini sana miongoni mwa majini na wengi wao hawana access na baadhi ya majini walio katika madaraja ya juu.
Wapo binadamu ambao KWA sababu ya maarifa yao Wana access na majini wa madaraja ya juu ambao hawa majini wa madaraja ya chini hawana access nao.
JINSI MAJINI WA UGANGA WANAVYO SHIRIKIANA NA BINADAMU.
Hii naiweka kwenye comment. Usi comment KWANZA mpaka ni ielezee hii