Alama ya nyota na mwezi misikitini humaanisha nini?

Alama ya nyota na mwezi misikitini humaanisha nini?

Aisee...kumbe wewe Mama uko vizuri sana tu kuhusu Mungu halisi Muumba mbingu na nchi?

Hongera sana Mama la Mama na Mungu azidi kukupatia nguvu nyingi katika hiyo neema aliyekujalia kuwa nayo.
Sasa huyo Mungu wa Waislam ni wapi amehimiza tuweke alama ys Nyota na mwezi?
 
Lile andiko ulilokurupuka kulirusha ulimaanisha nini?

Andiko gani [emoji348] [emoji348] hili [emoji117]
IMG_20181210_061543_305.jpg
 
Andiko gani [emoji348] [emoji348] hili [emoji117] View attachment 962346
Hilo andiko linasema mwislam asianze kuwasalimia bali wao wakristo na mayahudi ndio waanze. Na wewe mkristo ndio ulianza. Sasa shida nini hapo? Hivi wewe bado una umbumbumbu tu pamoja na kukufundisha kote nilikokufundisha.......?
 
Think twice. Ni alama ya kishetani. Hata Katoliki wanazo sana. Dini ya kweli ni ile isiyokuwa na alama, maana Mungu wa Moses hakuwahi kuhimiza wachonge sanamu wala kitu chochote chenye mfano wa Mungu. Hizo alama zinamuwakilisha shetani na siyo Mungu.

Wewe sio mfuasi wa Yesu [emoji117]
IMG_20181210_062506_009.jpg
 
Hilo andiko linasema mwislam asianze kuwasalimia bali wao wakristo na mayahudi ndio waanze. Na wewe mkristo ndio ulianza. Sasa shida nini hapo? Hivi wewe bado una umbumbumbu tu pamoja na kukufundisha kote nilikokufundisha.......?

Hebu soma vizuri afu uone shida [emoji117]
IMG_20181210_061543_305.jpg
kunisikuma mtaroni huoni kuwa ni shida???
 
Kwa hiyo umeanza kusalimia wewe!

wewe umepitwa ban na baba fatuuû kuanza kusalimia [emoji117]
IMG_20181210_061543_305.jpg
Mimi mmeagizwa na Yesu niwatakie Amani Hata wanao nichukia [emoji106] ndipo nikakusalimu kwa KUKUTAKIA AMANI wewe!
 
wewe umepitwa ban na baba fatuuû kuanza kusalimia [emoji117] View attachment 963242 Mimi mmeagizwa na Yesu niwatakie Amani Hata wanao nichukia [emoji106] ndipo nikakusalimu kwa KUKUTAKIA AMANI wewe!
Sasa si unaona umekwenda sambamba na andiko. Mwanzo ulisema siruhusiwi kuitika salam. Nilipokubana ukasingizia kuanza salam. Nimekubana kikwelikweli umelegea.
 
Ngoja nikuzawadie takabiriiiiii

Lakin kaa ukijua allah ni mungu wa wapagani waliokuwa wanaabudu mwez na jua ndo maana hata mtume wako mudy alianzisha mauaji ili watu wamufate

Wewe endelea kumuabudu allah aisiyekuwa na tofauti na ibilis allah is satan
Hata kama sio dini yako hupaswi tumia lugha hizo.uwe msomi basi busara mhimu kesho utakua kiongozi wa wote bila kujali dini
 
Mnasema uislam ni dini inayofuata muongozo wa Quran na sunna " za mtume " sasa kama mmefikia hatua ya kuweka mpaka alama ambazo hazipo katika muongozo huo wa Quran na sunna za mtume " tutaamini vipi kwamba hiyo Quran yenu haijatiwa vidole na kubadilishwa baadhi ya maandiko kwaajili ya matakwa ya watu " ......

Hakika hili la nyota na mwezi linapaswa kuifanya dini yenu itiliwe shaka
Mkuu usiwe na shaka kwa sababu kama jambo halijathibiti kwenye maandiko ni batili , wala una haja ya kuwa na shaka ndio maana misikiti Mingi tu hakuna nyota na mwezi na hoja ni hii hii ya kuleta uzushi kwenye dini
 
Duh iyo ya juu ni nyota!!! au yule jamaa wa kuzimu ameshapandikiza vitu vyake. maana na yeye si anapenda kusujudiwa?
Hili ni jambo ambalo halijathibiti katika maandiko ya kiislamu kabisa, tunatambua kuwa nyota na mwezi ni ishara kuwa Mungu yupo sio vinginevyo, haya mambo ya uzushi yapo kila sehemu tu kama vile Waroma na genge lao walipozusha tarehe 25/December ni kumbukumbu ya mazazi ya Yesu wakati jambo hilo kwenye maandiko halipo na bahati nzuri wasabato wanawaelekeza kuwa ilo jambo ni uzushi , lakini je Waroma wameacha ? Jibu ni hapana wanaendelea na upotevu ule mpaka leo hao ni sawa na hawa wanaoeka mwezi na nyota wakati maandiko ayatambui jambo hilo
 
Unatakiwa uangalie halafu ulete hoja yako wapi umeelewa au wapi ujaelewa ? sio unaweka clip unakula kona

Ningekuwa sijaelewa nisingetuma humu,hiyo nimetuma kwa faida yako.

Na kama unaijua qurani vizuri niambie hii mistari miwili ina maana gani
Surat AZ-ZUMAR 39:2 Kwa yakini ,sisi tumekuteremshia kitabu hiki,Basi muabudu Mwenyezi Mungu kwa kumfanya mola yeye tu.

Surat AL MAARIJ (70) 40-41 Basi naapa kwa kwa Mola wa mashariki zote na magharibi zote kwamba sisi tunaweza kuwabadili (na kuleta) waliobora kuliko wao ,na sisi hatushindwi (na kitu)

SWALI LA 1;katika Surat AZ-ZUMAR aliyesema wao wameteremsha kitabu ni nani na walikuwa wanamteremshia nani.

SWALI LA 2:Katika Suart AL MA'ARIJ aliyekuwa anaapa ni nani
 
Back
Top Bottom