masoud mshahara
JF-Expert Member
- Mar 31, 2018
- 4,712
- 2,010
Hili ndio tatizo lako unalazimisha aseme kama unavyotaka wewe, Mungu ameshesema kuwa ni mmoja wala hana mshirika , huo ni ufikishaji tuYaani hapo mnajaribu kulazimisha njano kuwa nyekundu ..kumbuka kuna maneno SISI na YEYE..na ukae ukikumbuka pia yuleyule aliyesema SISI ndio aliyesema YEYE ..sasa anawezaje kuwa mtu mmoja ,kwa nini asiseme MIMI??
YOHANA 17:3
"; Na uzima wa milele ndio huu, wakujue wewe Mungu wa pekee wa kweli, na Yesu kristo ULIEMTUMA";
Swali anaezungumza hapo ni nani? ili tujue unaelewa nini