Alama ya nyota na mwezi misikitini humaanisha nini?

Alama ya nyota na mwezi misikitini humaanisha nini?

4103820712_cb6440ff56.jpg
mosque-architecture-oriental-half-moon-crescent-sun-mood-dusk-twilight-BWK9PX.jpg


Mkuu, na wewe tuambie hiyo katooni katika Avatar yako ina maana gani ??!!,
 
Kweli vyuma vimekaza mtu unashindwa kukomaa na mambo yako unaanza kuwaza alama ya mwezi na nyota msikitini kwako wewe itakusaidia nini ilhali hata siyo dini yako hiyo

🤣🤣🤣
 
Mimi nasema hivi:
Hata wewe sasa hivi unaongea kwa niaba ya mwingine.Ingekuwa ni wewe unayeongea,kwa vile hatukuoni,ungeandika "mimi nasema....", halafu ukasema unachotaka kusema.
Ninachokiona ni kwamba wengi tunacomment kwa kuweka mapenzi ya imani zetu mbele ila tungekuwa tunatumia reasoning skills tungeelewana vizuri!!
 
Unachekesha wewe usiyeelewa maandiko. Z....e.....z.....e.....t.....a
Nashukuru kiongozi kwa kuniita zezeta najua ni jazba tu imekupanda ..ila yachunguze vizuri maandiko yenu utajifunza kitu.
 
Nashukuru kiongozi kwa kuniita zezeta najua ni jazba tu imekupanda ..ila yachunguze vizuri maandiko yenu utajifunza kitu.
Wewe umeshayachunguza maandiko yenu na umejifunza? Umejifunza kwamba Yesu hakuzaliwa kwenye zizi la ng'ombe?
 
Back
Top Bottom