Malyenge
JF-Expert Member
- Jan 16, 2012
- 6,658
- 3,664
Anayeapa hapo ni Muhammad. Siyo Allah. Mnajidai mnaijua Quran kumbe ni mavi matupu matakoni.....Qur'an katika Sural 56:75. Allah anasema..
" I swear by the position of the star" Yaani Allah anaapa kwa nyota!
Swali kwani nyota imemzidi Allah Kwa uungu?
Kwanini ahape kwa alicho kiumba? Au nyota ilimuumba Allah?