Alama ya nyota na mwezi misikitini humaanisha nini?

Alama ya nyota na mwezi misikitini humaanisha nini?

Ila sanamu ya mwezi na nyota unaona ni poa tuu kuwekwa ktk nyumba ya ibaada.
Sio poa katika uislamu kiigizo chetu ni mtume kama mtume akufanya hilo jambo hao waliofanya wanapaswa kuacha mara moja , kuhusu nyota na mwezi hizi sio ishara za shetani , hizi ni ishara za Mungu mwenyewe kwasababu ndie alieziumba
 
Does it make sense kwa Muhammad kuapa kwa nyota badala ya Muumba, aliyeumba nyota na mwanadamu?

Vv
Muhammad nawaapia wanadamu hapa wala hamwapii Mungu. Na Mungu ndiye kamwbie aapie kupitia nyita na mwezi
We vipi?
Kwani inaleta sense pale Yesu anaposali kumwomba Mungu wakati yeye mwenyewe ndiye Mungu?
 
Muhammad nawaapia wanadamu hapa wala hamwapii Mungu. Na Mungu ndiye kamwbie aapie kupitia nyita na mwezi
We vipi?
Kwani inaleta sense pale Yesu anaposali kumwomba Mungu wakati yeye mwenyewe ndiye Mungu?
Katika masuala ya imani, huwa tunaapa kwa nani?

Vv
 
Does it make sense kwa Muhammad kuapa kwa nyota badala ya Muumba, aliyeumba nyota na mwanadamu?

Vv
Muhammad anawaapia wanadamu hapa wala hamwapii Mungu. Na Mungu ndiye kamwambia aapie kupitia nyota na mwezi
We vipi?
Kwani inaleta sense pale Yesu anaposali kumwomba Mungu wakati yeye mwenyewe ndiye Mungu?
 
Muhammad nawaapia wanadamu hapa wala hamwapii Mungu. Na Mungu ndiye kamwbie aapie kupitia nyita na mwezi
We vipi?
Kwani inaleta sense pale Yesu anaposali kumwomba Mungu wakati yeye mwenyewe ndiye Mungu?
Hoja yako ni nini mkuu , japo mada imefika mbali ?
 
Think twice. Ni alama ya kishetani. Hata Katoliki wanazo sana. Dini ya kweli ni ile isiyokuwa na alama, maana Mungu wa Moses hakuwahi kuhimiza wachonge sanamu wala kitu chochote chenye mfano wa Mungu. Hizo alama zinamuwakilisha shetani na siyo Mungu.
Hivi hiyo Alama NI SANAMU?? Na ili uabudu sanamu linatakiwa liwe upande gani??
 
Surat Zumar 39:2,
Hakika Sisi tumekuteremshia Kitabu hike kwa Haki. Basi muabudu Mwenyezi Mungu ukimsafia Dini Yeye tu.

Shukran kwa swali lako zuri. Nimelipenda kwa hakika.

Surat Al -Ambiyaa (21: 16/19)
Na hatukuziumba mbingu na Ardhi na vilivyomo Bains Yao kwa mchezo.
Na ni vyake tu Mwenyezi Mungu vilivyomo mbinguni na katika Ardhi. Na walioko kwake hawafanyi kiburi wakaacha kumuabudu na wala hawachoki.

(Qur'an 21:25)
"Na hatukumtuma kabla yako mtume yeyote Ila tulimfunulia ya kwamba Hapana mungu Ila MIMI. Basi niabuduni MIMI tu".

Biblia Mwanzo (1 - 10)
"Na tufanye MTU kwa mfano WETU. ……..Kisha Mungu akamuumba MTU kwa mfano WAKE.

Naomba uchunguze vizuri kwa kila underline niliyoiweka ili uwe mwanzo wa kupata majibu kwa swali lako zuri. Naamini swali lako linatokana na mafundisho ya "utatu" uliyolelewa nayo toka ukiwa mdogo. Siyo mafundisho sahihi hayo kwani hata Yesu alipata kusema "Naenda kwa baba yangu ambaye ni baba yenu, naenda kwa Mungu wangu ambaye ni Mungu wenu.

Kiufupi ni kuwa Mwenyezi Mungu kutumia nafsi ya Umoja au wingi ni hiari yake. Yeye ndiye mwanzilishi na muumbaji wa Lugha. Hutumia Lugha apendavyo na atakavyo kuonyesha ukuu na uweza wake uliotukuka. Wala haimaanishi anaye mshirika wala anahitaji mshirika katika utendaji wake. HAPANA! Kiswahili hayo yanaitwa MAJAZI katika Lugha. Ndiyo maana anaamua kutumia zote kwa wakati mmoja. Mwisho wa siku maana halisi ni kuwa maana kuu hurudi Kwake Yeye Mwenyewe.
Rejea kwenye underlines halafu kila penye neno lenye maana ya Umoja weka wingi. Mfano hatu…...…..sisi,
Natu………....wao, Hakika sisi tume...………..wao tu. Utaona haileti maana kiistilahi.
Naamini bwana Lukac umeshapata jibu sahihi. Ukimywa unaashiria hivyo.
Tusiishi kwa kasumba tulizomezeshwa utotoni.
 
Sio poa katika uislamu kiigizo chetu ni mtume kama mtume akufanya hilo jambo hao waliofanya wanapaswa kuacha mara moja , kuhusu nyota na mwezi hizi sio ishara za shetani , hizi ni ishara za Mungu mwenyewe kwasababu ndie alieziumba
Umesema kweli mkuu sio poa kabisa pamoja na fact kwamba nyota na mwezi ni katika viumbe vya Mungu usisahau pia kuwa kuna jamii za binadamu walivifanya vitu hivyo kuwa miungu yao mungu mwezi na mungu nyota na hata mungu jua na ukifatilia kwa umakini utagundua jamii hizo ndio zilipenyeza alama za miungu zao hizo kwenye dini.
 
Think twice. Ni alama ya kishetani. Hata Katoliki wanazo sana. Dini ya kweli ni ile isiyokuwa na alama, maana Mungu wa Moses hakuwahi kuhimiza wachonge sanamu wala kitu chochote chenye mfano wa Mungu. Hizo alama zinamuwakilisha shetani na siyo Mungu.
Kwahiyo misikitini na makanisani(katoliki) kunaabudiwa mashetani, siyo Mungu?
 
Umesema kweli mkuu sio poa kabisa pamoja na fact kwamba nyota na mwezi ni katika viumbe vya Mungu usisahau pia kuwa kuna jamii za binadamu walivifanya vitu hivyo kuwa miungu yao mungu mwezi na mungu nyota na hata mungu jua na ukifatilia kwa umakini utagundua jamii hizo ndio zilipenyeza alama za miungu zao hizo kwenye dini.
Ni kweli na bahati nzuri misikiti Mingi hakuna izo alama , jambo ambalo halina dalili katika uislamu ni batili, lakini nyota na mwezi ni ishara za Mungu sio shetani, kwanini apewe credit shetani kwa kazi aliyoyafanya Mungu ?
 
Back
Top Bottom