fogoh2
JF-Expert Member
- Apr 13, 2017
- 6,022
- 6,342
neno uislam maana ya unyenyekevu sio amani acha kupotosha watu
Kafiri ni yule anayekwenda kinyume na maagizo ya Allah.Allah ameagiza na kusisitiza AMANI.Hata mtu akijiita jina la kiislamu,kama hataki AMANI,huyo sio muislamu.Neno Islamu,maane yake AMANI.