zhang laoshi
JF-Expert Member
- Aug 2, 2014
- 468
- 637
na hazi walizobeba ni nini, na zinamaanisha nn, maana wabongo tunajuana ni wagumu sn kuuliza maswal hasa ya kidini, tuwe watafiti kiasi then tutapata ujuz wa kweli..
Upumbavu umeuanza wewe, ungejibu swali nlokuuliza ningekuona smart. Sasa niambie wapi Bibilia imeandikwa mwaka gani na nani na umejuaje wewe kama waandishi wa bibilia wamemuona yesu?acha maswali ya kipumbavu ,hujui kama mathayo,marko ,petro wote walikua wanafunzi wa yesu ,pia luka alionana na wanafunzi wa yesu so hata yeye ana posibility ya kupata habari direct za yesu na watu wake kutoka kwa watu waliomshuhudia yesu,sio huyo publisher wako wa mwaka 2004,akup habari za mama maria wa miaka 2000 iliyopita
Unajua maana ya muandamo kwanza?kwani mwezi hatuuoni kila siku? mbona hatufungi basi? Wacha uabunuwasi wewe, jambo dogo kama hili unashindwa kulielewa kweli? haya basi ngoja nkufundishe a e i o u..... Kwa mfano mwezi wa ramadhani unatarajiwa kuanza tarehe mosi December, huu november huenda ukaisha 29 au 30, sasa ili kujua kama Ramadhan december imeingia, tuuutizame mwezi, tukiuona mwezi tarehe 29 basi siku ya pili inaanza ramadhan kama hatujauona 29, basi 30 lazima iwe mwisho wa november....ungeiendeleza hio habari ungejiona juha kweli lakini umeona bora uikatishe kati 😀 ....... Au unao uthibitisho kuonesha kama tunaabudu Mwezi na nyota?mbona ibada ya ramadhani inaanza baada ya hiyo hiklo pambo kuonekana angani,na inasih baada ya hilo pambo kuonekana tena
Rejea(fungeni kwa kuuona mwezi na fungueni kwa kuuona mwezi
Jamaa keshakujibu hapo mbonaUpumbavu umeuanza wewe, ungejibu swali nlokuuliza ningekuona smart. Sasa niambie wapi Bibilia imeandikwa mwaka gani na nani na umejuaje wewe kama waandishi wa bibilia wamemuona yesu?
Nijuavyo mimi Bibilia imeandikwa miaka mingi baada ya yesu kuondoka duniani, sasa inanilazimu nikuulize nani amekwambia kama hao waandishi wamemuona?
Kuwa smart na usiwe mj.inga
Qur-aan huwezi kuisoma Kama barua ya Mapenzi ukaielewa mkuu, utapata tabu Sana...Naomba kuuliza wenye uelewa mzuri wa Quran ..Ndugu zetu waislamu huwa wanaamini katika Mungu mmoja tu (Allah) na tena kwa msisitizo wanasema hana mshirika.Lakini kuna baadhi ya aya katika quran Allah mwenyewe anajiwakilisha kwa kutumia Wingi..Mfano kuna aya anasema tulimuumba,tulimpulizia pumzi,tulimteremshia kitabu na nyingine nyingi.Swali langu ni kwamba kama kweli Allah hana mshirika je hao anao wataja kama kafanya nao hivyo vitu ni akina nani? Hizi hapa ni baadhi ya Sura zinazozungumzia wingi wa Allah Az-Zumar 39:2 na Sura Anbiyaa 21-91.
Mkuu vitabu vya dini kiuandishi viko tofauti sana hadithi za kina shigongo...Naomba kuuliza wenye uelewa mzuri wa Quran ..Ndugu zetu waislamu huwa wanaamini katika Mungu mmoja tu (Allah) na tena kwa msisitizo wanasema hana mshirika.Lakini kuna baadhi ya aya katika quran Allah mwenyewe anajiwakilisha kwa kutumia Wingi..Mfano kuna aya anasema tulimuumba,tulimpulizia pumzi,tulimteremshia kitabu na nyingine nyingi.Swali langu ni kwamba kama kweli Allah hana mshirika je hao anao wataja kama kafanya nao hivyo vitu ni akina nani? Hizi hapa ni baadhi ya Sura zinazozungumzia wingi wa Allah Az-Zumar 39:2 na Sura Anbiyaa 21-91.
Sijaelewe jibu lako..unamaanisha kupata tabu ndio jibu?..Au kifupi hata wewe hujui kitu??Qur-aan huwezi kuisoma Kama barua ya Mapenzi ukaielewa mkuu, utapata tabu Sana...
Unajua unaponijibu hivyo kuhusu wakina shigongo sijui..unaonesha madhaifu makubwa sana juu ya uelewa wako wa quran..sasa hapo nielewe nn?Mkuu vitabu vya dini kiuandishi viko tofauti sana hadithi za kina shigongo...
Nioneshe jibu lake basiJamaa keshakujibu hapo mbona
Naomba kuuliza wenye uelewa mzuri wa Quran ..Ndugu zetu waislamu huwa wanaamini katika Mungu mmoja tu (Allah) na tena kwa msisitizo wanasema hana mshirika.Lakini kuna baadhi ya aya katika quran Allah mwenyewe anajiwakilisha kwa kutumia Wingi..Mfano kuna aya anasema tulimuumba,tulimpulizia pumzi,tulimteremshia kitabu na nyingine nyingi.Swali langu ni kwamba kama kweli Allah hana mshirika je hao anao wataja kama kafanya nao hivyo vitu ni akina nani? Hizi hapa ni baadhi ya Sura zinazozungumzia wingi wa Allah Az-Zumar 39:2 na Sura Anbiyaa 21-91.
hakuna alama ya shetani ni wewetu unavyotafsiri, mungu kamuumba shetani bila alam yoyote. leo hii utatambuaje kabuli hili la muislam kama halina alama? ndio maana ikawekwa ili wajuweThink twice. Ni alama ya kishetani. Hata Katoliki wanazo sana. Dini ya kweli ni ile isiyokuwa na alama, maana Mungu wa Moses hakuwahi kuhimiza wachonge sanamu wala kitu chochote chenye mfano wa Mungu. Hizo alama zinamuwakilisha shetani na siyo Mungu.
Unajua unaponijibu hivyo kuhusu wakina shigongo sijui..unaonesha madhaifu makubwa sana juu ya uelewa wako wa quran..sasa hapo nielewe nn?
Watu mna utata kweli we ni kinyungu [emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji16]Kumbe uislam umechakachuliwa namna hii. Sasa wale wanaoshupaa kila siku hapa kuwa uislam upo vile vile kama alivyouleta mtume ina maana hii story yako hawaijui au?
Na hii argument yako inamaanisha allah kashindwa kuulinda uislam wake usiongezewe alama za kituruki..hahahah
Nimefika ndugu kuna tatizo?
Hizi porojo umezitoa wapi aisee unaweza kuthibitisha?Hiyo alama inamaana kubwa sana. Nyota na mwezi hiyo ni miungu ya waislamu popote walipo. Kama wanavyo laani kula nyama ya nguruwe, nyumayapazia ipo maana kubwa sana.
Does it make sense kwa Muhammad kuapa kwa nyota badala ya Muumba, aliyeumba nyota na mwanadamu?Anayeapa hapo ni Muhammad. Siyo Allah. Mnajidai mnaijua Quran kumbe ni mavi matupu matakoni.....