Alama ya nyota na mwezi misikitini humaanisha nini?

Alama ya nyota na mwezi misikitini humaanisha nini?

Mungu wa Musa alimuamuru Musa atengeneze sanamu la nyoka wa shaba na kumtundika mtini, kila aliyeumwa na nyoka kule jangwani alienda kuitazama ile sanamu ya nyoka naye alipona. Rejea pia wakati Musa anajenga madhabahu, aliambiwa atengeneze sanamu za ndege wawili awaweke mmoja kuume na mwingine kulia.......kama hujui usiongee mkuu
Toa andiko! Mungu anapiga vita masanamu sasa nashangaa eti unamshirikisha Mungu na masanamu. Kwaa taarifa tu Mungu wa Musa ni Yesu!

Sent from my SM-G610F using JamiiForums mobile app
 
Haimaanishi jambo lolote,wamejiwekea wenyewe tu kama mapambo kwenye baadhi ya misikiti
Ni kweli mkuu mpaka anaondoka mtume habar ya nyota na mwezi ktk misikiti haikuwepo..wakajitokeza waislam wajanja wachache wakishirikiana na waabudu shetani 1724 eti watofautishe baina ya msikiti na kanisa kwa kuwa kanisa lishakuwa na alama yake ya msalaba msikiti wakabandika nyota na mwezi katk dini haina maana yoyote ile[emoji13] [emoji13]

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Toa andiko! Mungu anapiga vita masanamu sasa nashangaa eti unamshirikisha Mungu na masanamu. Kwaa taarifa tu Mungu wa Musa ni Yesu!

Sent from my SM-G610F using JamiiForums mobile app



Mungu! wa Musa ni Yesu!!
Hah hah hah hah

Kweli dini ni ngumu aisee!daaah


Wakati huo huo ujio wa Yesu tunaambiwa ulishatabiriwa toka enzi za ISAYA!!

Yaani wakati huo MUNGU muumba mbingu na ardhi hakuwepo katika kuwaongoza binadamu??????


agriiiih!!!!
 
Usiongee usiyoyajua. Hiyo alama ilikuwa adopted wakati wa Ottoman Empire na haihusiani chochote na uislam. Uislam ni kuabudu Mungu mmoja pekee aliyeumba mbingu na ardhi hana watoto, wajomba wala wajukuu, hajazaa wala kuzaliwa.

Imekuwa common place watu kuiga hii design mpaka sasa waliowengi (hata baadhi ya waislam wenyewe) wanadhani na sign ya uislam iliopo toka kipindi cha Mtume Muhammad (Rehma na Amani zimshukie juu yake) lakini hapana. Katafute kitabu chochote cha hadith (statement ya Mtume S.A.W) unitafutie hata invented hadith inayosema nyota na mwezi na alama ya uislam halafu niletee.

Ndio maana mpaka leo bendera ya uturuki ina the same symbol ya nyote na mwezi from the Ottomans, wengi wanadhani waturuki wamecopy from Islam but its actually vice versa and many scholars don't recommend hata iwepo maana kuna watu watafikiri kama unavyofikiri wewe

I hope umeelewa
Kweli kabisa mkuu.
 
Toa andiko! Mungu anapiga vita masanamu sasa nashangaa eti unamshirikisha Mungu na masanamu. Kwaa taarifa tu Mungu wa Musa ni Yesu!

Sent from my SM-G610F using JamiiForums mobile app
[emoji106]
 
Mungu! wa Musa ni Yesu!!
Hah hah hah hah

Kweli dini ni ngumu aisee!daaah


Wakati huo huo ujio wa Yesu tunaambiwa ulishatabiriwa toka enzi za ISAYA!!

Yaani wakati huo MUNGU muumba mbingu na ardhi hakuwepo katika kuwaongoza binadamu??????


agriiiih!!!!
Yesu ni Mungu!

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Mimi ni Mkristo Mkatoliki..nauliza haya mambo mnijibu..je nyota au Mwenzi au Jua ni alama za shetani!kama ni alama za kishetani ina maana hakuziumba Mwenyenzi Mungu?kama hakuziumba Mwenyenzi Mungu ina maana muumba Wa mbingu na nchi ni shetani?kama hizo alama ni zakishetani ina maana dunia yetu mtawala mkuu ni shetani?..ni muhimu sana kutofautisha sanamu na vitu vilivyoumbwa na Mwenyenzi Mungu Mkuu.Baba Wa viumbe vyote na mambo yote tujitaidi sana kumpa Heshima kwa Hekima na busara zake za kuumba jamani.napenda sana Kumwambia Mwenyenzi Mungu Mkuu samahani kwa mambo yote tunayokuumiza.
Km zote hizo ni kazi ya Mungu unadhani shetani hawezi kutumia vitu alivyoumba Mungu kuendeshea kazi zake?

Kumbuka shetani ni bingwa wa kuiga kwa kutumia kazi za Mungu kufanyia kazi zake. Mf mimea,wanyama amewatumia sn kwa kazi zake.

Hivyo usifikirie kile ulichosema ndicho sahihi ndugu


Sent using Jamii Forums mobile app
 
4103820712_cb6440ff56.jpg
mosque-architecture-oriental-half-moon-crescent-sun-mood-dusk-twilight-BWK9PX.jpg
Humaanisha UPAGANI!

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom