Alama ya nyota na mwezi misikitini humaanisha nini?

Alama ya nyota na mwezi misikitini humaanisha nini?

Wakati wa Muhammad kulikuwa hakuna technolojia yoyote kweli?, muhammad wa juzi tu hapo,
Wewe ki mawazo yako ndio unavyowaza ni juzi,wakati hapa kwetu Tanzania,Uchoraji wa ramani za jengo umeanza miaka kama mia iliyopita,tena kwa nyumba za ghorofa za wazungu na wahindi.Nyumba za kawaida zikilij engwa,fundi wa ujenzi anavyoona yeye inavyofaa.
 
Muongo we jamaa nimegoogle surtun hizi ndio images zilizokuja....
Ha ha pole mkuu Google inakupa ulichoomba.
5e7dd9dc0472449f16a1a66d1116ab5f.jpg
8b8b709fae18897a3aa8c1905b389a63.jpg
wp-image-360186832jpg.jpg
images+%281%29.png
c6863ea79851eaeb327982383f4f1222.jpg
 
Wewe ki mawazo yako ndio unavyowaza ni juzi,wakati hapa kwetu Tanzania,Uchoraji wa ramani za jengo umeanza miaka kama mia iliyopita,tena kwa nyumba za ghorofa za wazungu na wahindi.Nyumba za kawaida zikilij engwa,fundi wa ujenzi anavyoona yeye inavyofaa.

Kaka technolojia gani unayozungumza haikuwepo hapo?, au wewe technolojia ni simu na komouta pekee?
Nuhu alishajenga Safina kwa vipimo, babel walikuwa wakijenga mnara kwa vipimo, Egypt walijenga mapirqmidi na structure zingine kwa vipimo,

Kaka Muhammad wa juzi tu
 
Kaka technolojia gani unayozungumza haikuwepo hapo?, au wewe technolojia ni simu na komouta pekee?
Nuhu alishajenga Safina kwa vipimo, babel walikuwa wakijenga mnara kwa vipimo, Egypt walijenga mapirqmidi na structure zingine kwa vipimo,

Kaka Muhammad wa juzi tu
Nafikiri itakuwa unakumbuka tunaongeleya kuhusu uchoraji ramani za majengo,kwa upande wa misikiti.Kulikuwa hakuna uchoraji wa ramani za majengo kwa nchi za kiarabu.Nikupe mfano mzuri,mpaka mwaka 1975(ndio juzi hiyo),Dubai,ambayo twaweza sema imendelea zaidi kuliko nchi za kiarabu,ilikuwa ni kijiji cha uvuvi(a fishing village).Kijiji cha watu wanaovuwa,unategemea kutakuwa na wachoraji wa ramani za majengo?Amchoree nani mwenye uwezo wa kujenga majumba ya kisasa.Lakini sasa hivi wapo wachoraji wa kila aina.
 
Wakati wa Muhammad kulikuwa hakuna technolojia yoyote kweli?, muhammad wa juzi tu hapo,
Kituko usiende huko, maana tunaambiwa SCIENCE imekuja na Quran na mtume wake Muhammad. ndio maana huko nyuma hakukuwa na wachoraji. hahaahaha soo funny!! BIG UP Kikwajuni One!!
 
jifunze mkuu utajua. kukusaidia soma the surtun myth by David N. Talbott
 
Kituko usiende huko, maana tunaambiwa SCIENCE imekuja na Quran na mtume wake Muhammad. ndio maana huko nyuma hakukuwa na wachoraji. hahaahaha soo funny!! BIG UP Kikwajuni One!!

Ahaa, ni ajabu kabisa kaka, Yesu alipewa sarafu yenye picha/Sanamu ya Kaisari, sasa kuchonga sanamu/Picha ya mtu kwenye Sarafu hiyo siyo Sayansi?, Askari wa Pharaoh walikuwa na vigari vya kukokotwa na farasi, hivyo vigari sio Sayansi?
 
Ahaa, ni ajabu kabisa kaka, Yesu alipewa sarafu yenye picha/Sanamu ya Kaisari, sasa kuchonga sanamu/Picha ya mtu kwenye Sarafu hiyo siyo Sayansi?, Askari wa Pharaoh walikuwa na vigari vya kukokotwa na farasi, hivyo vigari sio Sayansi?
Kaka Ukiongelea sarafu siyo ishu sana. Kina Petro walikuwa wavuvi wa samaki je boats walizokuwa wakitumia haikuwa sayansi imetumika kuzitengeneza au zilishuka kama MANA waliyokula baba zao jangwani!
 
Siwezi zuia akili yako kuamini inachoamini
Kwanini basi pale kwenye JIWE JEUSI mpaka leo bado zipo? iwapo ni urembo tu? na huo msikiti kila mara unafanyiwa matengenezo aidha kuongeza upana ama marembo, lakini The Moon gog bado kainuliwa juu ya minara.
 
Labda nikuulize wewe unafikiri kwa nini zipo? Sababu hutaki kuelewa kuwa hazina maana yoyote sawa nakuweka nakshi tu! Nyumbani kwako!
 
Think twice. Ni alama ya kishetani. Hata Katoliki wanazo sana. Dini ya kweli ni ile isiyokuwa na alama, maana Mungu wa Moses hakuwahi kuhimiza wachonge sanamu wala kitu chochote chenye mfano wa Mungu. Hizo alama zinamuwakilisha shetani na siyo Mungu.
Uje na maandiko kuthibitisha hlo ili ambao hatufaham tupate kufaham
 
Think twice. Ni alama ya kishetani. Hata Katoliki wanazo sana. Dini ya kweli ni ile isiyokuwa na alama, maana Mungu wa Moses hakuwahi kuhimiza wachonge sanamu wala kitu chochote chenye mfano wa Mungu. Hizo alama zinamuwakilisha shetani na siyo Mungu.
Alama Za Mungu ni zipi
 
Kaka technolojia gani unayozungumza haikuwepo hapo?, au wewe technolojia ni simu na komouta pekee?
Nuhu alishajenga Safina kwa vipimo, babel walikuwa wakijenga mnara kwa vipimo, Egypt walijenga mapirqmidi na structure zingine kwa vipimo,

Kaka Muhammad wa juzi tu
Kwa hiyo kutumia vipimo ndio kukua au kuwepo kwa teknolojia??
 
Kwa hiyo kutumia vipimo ndio kukua au kuwepo kwa teknolojia??
Kaka umedandia maada, jamaa anazungumzia mambo ya ramani, utachoraje ramani bila kuwa na vipimo sahihi?, na vipimo ndio technolojia kaka, au unachojua wewe vipimo ni mizani tu?,
Kwa taarifa yako kaka hakuna kitu chochote kinachotengenezwa duniani bila kufanyiwa vipimo sahihi pamoja na uwiano wake Kumbuka ni KILA KITU LAZIMA KIFANYIWE VIPIMO
 
Think twice. Ni alama ya kishetani. Hata Katoliki wanazo sana. Dini ya kweli ni ile isiyokuwa na alama, maana Mungu wa Moses hakuwahi kuhimiza wachonge sanamu wala kitu chochote chenye mfano wa Mungu. Hizo alama zinamuwakilisha shetani na siyo Mungu.
Acheni kukalilishwa au kumezeshwa mambo na wachungaji wenu fake. Alama kama alama ambazo kwetu katoliki au kanisa la Orthodox la mashariki na Russia tunazitumia nyingi ni kumbukumbu tu za kutufanya tukiziona tunakumbuka matukio flani ya wema wa ajabu wa Mungu. Mfano ule msalaba na sanamu ya Yesu tuna taka kila atakaye ona akumbuke jinsi Yesu alivyo wakomboa wanadamu. Kuna baadhi ya makanisa unakuta ile taa yenye mishumaa au balbu 12 yaani 6 kila upande ile ni alama ya 12 tribes of israel. Mungu pia wakati fulani aliweka alama ili kukumbusha kitu flani mfano upinde wa mvua(rainbow was a symbol for a a convernant kwamba Mungu hataleta tena gharika ya maji), sanamu ya nyoka wa shaba(actualy ni bronze) soma Hesabu 21:9 kwamba kila atakaye ng'atwa na nyoka akitazama hiyo sanamu anapona, Mungu pia aliagiza litengenezwe sanduku la agano(The Ark of Convenant) na viwekwe vitu flani ambavyo ni alama ambazo zina maana flani yenye kuleta funzo au kumbukumbu. Mungu pia aliagiza viwekwe vitu flani ktk hema yake ambamo sanduku la agano litatunzwa au vitu flani ktk Solomon's temple. Au Yesu alimpaka kipofu matope akamwambia kaoshe uso ktk mto Jordan. Swali Je, Mungu alikuwa hawezi kuwaponya waliong'atwa na nyoka bila kumuagiza wakaitazame sanamu ya nyoka wa shaba aliyomwagiza Musa aitengeneze. Je Mungu alikuwa hawezi kuweka agano na waisraeli bila kuwaagiza watengeneze alama kama sanduku la agano na kuweka vitu na nakshi kibao kama alama? Je Yesu alikuwa hawezi kumponya yule kipofu bila kumapaka matope yaliyotefanyizwa kwa mate? Je Mungu alikuwa hawezi kuwaponya waisraeli bila yale maji yaliyowekwa mlangoni pa hekalu (Solomon's temple) ambayo ukiyaoga baada ya kutibuliwa na malaika unapinywa shida zako zote? Katika kila mlango wa kanisa katoliki yapo maji ya baraka mfano wa hayo ya hekalu la Solomon. Pia mfano wa sikukuu ya Passover au Pasaka ya wayahudi, Mungu aliwaagiza waisraeli wapake damu ya kondoo ktk milango yao ili malaika wtakapopita kuwaangamiza kila mzaliwa wa kwanza wa wamisri wasiiguse nyumba ya waisraeli. Sasa jiulize malaika hawezi kuwatambua wanaisraeli hadi aone ishara iliyowekwa na wanadamu lakini wakati huo huo aweze kuwatambua wazaliwa wa kwanza ktk kila familia ya wamisri? Someni biblia mkiwa huru mpate maarifa na elimu ya kutosha sio kushambulia kanisa fulani. FUNZO: Alama/ishara hizo zote ziliwekwa ili tupate kukumbuka vitu flani kwa vile sisi binaadamu kumbukumbu zetu na uwezo wetu kuelewa bila alama na ishara ni mdogo.
 
Back
Top Bottom