Alama ya nyota na mwezi misikitini humaanisha nini?

Alama ya nyota na mwezi misikitini humaanisha nini?

Think twice. Ni alama ya kishetani. Hata Katoliki wanazo sana. Dini ya kweli ni ile isiyokuwa na alama, maana Mungu wa Moses hakuwahi kuhimiza wachonge sanamu wala kitu chochote chenye mfano wa Mungu. Hizo alama zinamuwakilisha shetani na siyo Mungu.
Mungu wa Musa alimuamuru Musa atengeneze sanamu la nyoka wa shaba na kumtundika mtini, kila aliyeumwa na nyoka kule jangwani alienda kuitazama ile sanamu ya nyoka naye alipona. Rejea pia wakati Musa anajenga madhabahu, aliambiwa atengeneze sanamu za ndege wawili awaweke mmoja kuume na mwingine kulia.......kama hujui usiongee mkuu
 
Btw,
There's no hell or fire, no devil. All those are manmade stories and worries against other people.

I'm not foolish to accept whitemen or Arab's god's.

I am blessed, am educated and I do good things than those religious people whom you keep praising while behind the scenes they kill, snitch others, rape women and steal.

I was taught to be a good person from my childhood by my parents and my country taught me values and norms, to guide me always.

Keep moving forward with your crazy religions.
upeo wako ndio ulipo ishia hapo yani kwa akili zako hizo unadhani mzungu au muarabu ndio kaumba hii ardhi na mbingu na vivyomo ? kweli wewe bogasi
 
Mungu wa Musa alimuamuru Musa atengeneze sanamu la nyoka wa shaba na kumtundika mtini, kila aliyeumwa na nyoka kule jangwani alienda kuitazama ile sanamu ya nyoka naye alipona. Rejea pia wakati Musa anajenga madhabahu, aliambiwa atengeneze sanamu za ndege wawili awaweke mmoja kuume na mwingine kulia.......kama hujui usiongee mkuu
maneno ya uongo hayo unayasema yatakuangamiza
 
Wewe kweli kilaza. unakana hadi Quran inavyosema. soma hapa
Surat Al Imran 45. Na pale Malaika walipo sema: Ewe Maryamu! Hakika Mwenyezi Mungu anakubashiria (mwana) kwa neno litokalo kwake. Jina lake ni Masihi Isa mwana wa Maryamu, mwenye hishima katika dunia na Akhera, na miongoni mwa walio karibishwa (kwa Mwenyezi Mungu).

au hujui maana ya masihi kwamba ni neno moja na Kristo katika lugha tofauti? wewe bado sana kujadili haya mambo humu kamuite Gavana.
masih hana nasaba na ukiristo kamwe
 
wewe hata Uislamu wenyewe huu ujui. nani alitaka kutolewa kafara kwenye kaaba na kafara yake ikabadishwa kwa ngamia?
hilo swali halina nasaba na mada na wewe huna ujuzi na hayo wala qur'an unaweza ukasoma lakini ukawa hujaielewa na huto elewa sababu upo kwenye giza
 
Usiwe mgumu kuelewa ndugu. Ni kweli mimi nimeumbwa ila sijaumbwa na mungu allah
14. surat ibrahim.
19.huoni kuwa mwenyezi mungu ameziumba mbingu na ardhi kwa haki? Akitaka atawaondoeni na alete viumbe wapya!
 
14. surat ibrahim.
22. Na Sheit'ani atasema itapo katwa hukumu: hakika mwenyezi mungu alikuahidini ahadi ya kweli. nami nalikuahidini; lakini sikutimizieni. na sikuwa na mamlaka juu yenu, isipo kuwa nilikuiteni, nanyi mkaniitikia. basi msinilaumu mimi, bali jilaumuni wenyewe. mimi siwezi kuwa mtetezi wenu, wala nyinyi hamuwezi kuwa watetezi wangu.hakika mimi nilikataa tangu zamani kunishirika na mwenyezi mungu. hakika madhaalimu watakuwa na adhabu chungu.
 
Ndivyo inavyompendeza
Allah.

Allah baba yao akina al alat, uza na manat alipenda mtume wake awashughulikie wanawake wengi zaidi ya waislam wote......na kwanini hakuongeza mke wakati yule mama tajiri hadija aliemuweka mjini akiwa hai?
 
Na hii inamaanisha nn
c2f4dce1435fd950e7ae794ab13768d4.jpg
[emoji22]
Karne ya 21 hii bado mtu unaabudia SANAMU alafu unasema unampenda MUNGU na Kumtukuza kwa mapambio kweli bora upofu wa macho kuliko upofu wa Moyo!!!
 
Kumtumikia shetani kunahitaji kukariri au kutumia hicho kitivo ulichokitaja?

Na washawasha!

na nyie mnaemuabudu mungu allah mungu mwezi mungu mkuu wa miungu wa kiarabu, pamoja na uchawi wote wa kiarabu mlionao
 
  • Thanks
Reactions: PNC
Sifa zote njema Anastahiki Allaah Aliyetukuka Mola wa walimwengu wote, Swalah na salamu zimshukie kipenzi chetu Mtume Muhammad (Swalla Allaahu ‘alayhi wa aalihi wa sallam) na Swahaba zake (Radhiya Allaahu ‘anhum) na watangu wema mpaka Siku ya Mwisho.
Kwa hakika alama na ishara hizo hazina umuhimu wala maana yoyote katika kuwekwa katika Misikiti au sehemu nyingine zozote. Kwani wakati wa Mtume (Swalla-Allaahu 'alayhi wa aalihi wa sallam) na Maswahaba zake (Radhiya-Allaahu 'anhum) alama
kama hizo zilikuwa hazipo.
Baada ya hapo huenda Waislamu wakaamua kuwa wawe na ishara kama vile Mayahudi
na Manaswara, kwani Mayahudi wana ile ishara ya nyota ya Daudi ambayo ina pembe sita na Manaswara wana ishara ya kuwa na msalaba. Kwa kuwa sisi huwa tarehe zetu za siku na miezi yetu hufuata mwezi, basi baadhi ya Waislam wakaona kuwa waweke hiyo alama ya mwezi kama nembo, lakini kiuhakika haina maana yoyote ya kisheria.
Na Allah Anajua zaidi.
Halafu hii tabia ya kuitana manaswara
 
mtume wao anasifika kwa kua na nguvu nyingi za kiume alikua mkazaji mzuri sana mpaka akao na mwanamke wa kinaswara na kiyahudi
surat ah-zaab aya 57. hakikan wanao muudhi mwenyezi mungu na mtume wake, mwenyezi mungu amewalaani duniani na Akhera, na amewaandalia adhabu ya kufedheesha.
 
Back
Top Bottom