m83
Senior Member
- Jun 9, 2017
- 100
- 3
ALLAH ndie mola wa watu wote na vilivyomo mbinguni na ardhini na yeye ndie mmilki wa kila kituallah ndio kitu gani
ALLAH ndie mola wa watu wote na vilivyomo mbinguni na ardhini na yeye ndie mmilki wa kila kituallah ndio kitu gani
allah hawezi kujitetea ndio maana anasema mumtakase asubuhi na mchana KWANI KAFANYA DHAMBI GANI?ALLAH ndie mola wa watu wote na vilivyomo mbinguni na ardhini na yeye ndie mmilki wa kila kitu
qur'an inaeleza yakua nabii ibrahim hakua yahudi wala hakua mnaswara ma alikua ni hanifah muslimah na hakua miongoni mwa washirikina hao mayahudi na manaswarah.Kama ndivyo, Islam ni dini ya mashetani/majini .Na kwa kuwa majini yanauwezo wa kujigeuza maumbile huoni ndiyo yalomtokea Mohamed pangoni na kumtisha?
Maana hicho kiumbe kilichomtisha hakikujitambulisha kwake.
Na pili Ibrahim alikuwa dini ya kiyahudi na hakuwahi kuwa muislam maana hata quran inasema Mohamad ndo wa kwanza kuwa muislam ktk watu.
lau kama sisi wota tuta acha kumuabudu ALLAH sisi wote dunia nzima hatutapunguza hata chembe ya ufalme wake na kadhalika tukimuabudu hatumzidishii chochote sababu yeye ALLAH si muitaji sisi viumbe ndio waitaji kwake ALLAH.allah hawezi kujitetea ndio maana anasema mumtakase asubuhi na mchana KWANI KAFANYA DHAMBI GANI?
Mungu mwez ndp yupi huyo?? Kwa hiyo mwez ndo mungu waoNi alama ya mungu mwezi
kama sio.muhitaji mbona anasema tumtetee?lau kama sisi wota tuta acha kumuabudu ALLAH sisi wote dunia nzima hatutapunguza hata chembe ya ufalme wake na kadhalika tukimuabudu hatumzidishii chochote sababu yeye ALLAH si muitaji sisi viumbe ndio waitaji kwake ALLAH.
sikia hao walio sema hivyo hawajutabui sababu uislam hau adopte kitu kwa watu sababu hii dini haendi kwa akili za watu ila inaenda kwa qur'an na sunnah ya mtume .Nijuavyo imani ya uislamu isivyopenda mzaa kwenye mambo inayo yaamini sikutegemea majibu mepesi kama ninayoyasoma humu..
mara hoo ni adopted from waliowatawala ,,, mara hoo ni alama tu walioichagua kulingana na tarehe zao kama zilivyo kwenye vitabu vyao.
mara hoo ni kama wayahudi walivyo kuwa na nyota ya daudi na wengine msalaba ndio maana na sisi tukaamua kuwa na mwezi na nyota.
Hayo sio majibu KUNTU tunayoyataka yusiojua bali tunadhani kama unavyoona tukidhani tafadharini wekeni majibu ya maana yenye rejea sio longo longo. kama vipi tuacheni na tunavyo amini.
Wewe wasemaMungu mwez ndp yupi huyo?? Kwa hiyo mwez ndo mungu wao
wapi kasema umtetekama sio.muhitaji mbona anasema tumtetee?
wewe kakuumba nani paka usimjue ALLAH AU UMEZUKA TU?Wewe wasema
nani kakuumba wewe na family yako au ukoo wako na nani anakuletea usiku na mchana ?kama sio.muhitaji mbona anasema tumtetee?
Think twice. Ni alama ya kishetani. Hata Katoliki wanazo sana. Dini ya kweli ni ile isiyokuwa na alama, maana Mungu wa Moses hakuwahi kuhimiza wachonge sanamu wala kitu chochote chenye mfano wa Mungu. Hizo alama zinamuwakilisha shetani na siyo Mungu.
mnabisha hata ukweli nyie mnabisha yani mnashidwa kutumia akili hii dunia umezuka tu bila kua na mwenyewe ? ALLAH NDIE MWENYE DUNIA NA KILA UNACHOKIONA NA USICHOKIONAWatu hawawezi kujibu hoja kwa hoja jazba tupu humu
ALLAH akuongoze mana umepotea na uko gizaniWaza vizuri.
Tena hizo dini unazoiita za ukweli nazo zina majanga.
Mfano, kuna watumishi hawana sehemu zao za siri wamezitoa kafara, wengine wametoa binadamu wenzao wengine mapepo na majini na majoka ndiyo yako kwenye madhabahu zao wengine wanatumia dawa za kupaka mikono.
RC church, Unajua maana ya kuzika wafu karibu na kanisa lao!?
Wengine wanazikwa ndani ya kanisa, wengine mlango wa kuingilia kanisani. Mfano ni kule Vatican city.
Tanzania, Pale Bukoba cathedral, Arusha pale Olasite n.k.
Ok, hizo alama za misikitni nayo ina maana sana asiye anzisha kitu au jambo hajui maana hata akijua siyo kama aliyeanzisha.
Ndiyo maana, Wengi humu JF na hadi viongozi wa dini hiyo ya kiislamu wa hapa Afrika hawajui chochote.
Nimewahi Soma, comparative religious studies, utashangaa Sana hayo mambo.
Dini nyingi za kigeni zote ni uchwara na ni Pumba.fu sana.
Freemason, mfano wanapoingia kwenye jengo lao ni lazima uvue shati -uwe kufua wazi . Je unajua maana ya mtu kuingia mahala pa ibada au kikao chochote tena cha opposite sex watu /mtu huyo akiwa kifua wazi!?
Dini zote ni unafiki mtupu, ni uchwara. Sasa, hizi za kigeni ndiyo Pumba.fu sana.
Naomba nishie hapa.
Kama kumwabudu Mungu mmoja ni uislam, basi huo wa wakina Ibrahim sio uislam kwa maana ya dini yako unayoabudu leo ila ni maana ya neno na siyo dini ya Islam maana uislam wa dini umeanza kwenye karne ya sita. Ni kama Wakristo wa Kiarab kutumia neno Allah kumaanisha Mungu wanamaanisha Mungu anayeabudiwa na Wakristo na siyo Mungu wa Waislam.Kwanza nashkuru mpaka mtu ana appriciate majibu jua ameelewa ila anataka kuondolewa shaka zaidi katika uelewa wake.
Ili ujue uislam upo kabla ya Muhamma lazima ujue uislam ni nn?
Uislam ni dini inayomtaka mtu kumuabudu mola mmoja kwa mujibu wa mafunzo ya nabii husika. Yani manabiu wote waliopita kabla ya Muhamma d walifundisha kumuabudu Mola mmoja hivyo kila alimfata nabii wa kipindi chake huyo alikua muislam. Kipindi cha Ibrahim wale waliomkubali na kua nae katika ibada ya kumuabudu Mola mmoja hao ndio waislam na manabii wengine waliofata baada yake vivyo hivyo.
Hapa nataka na wewe unithibitishie uwepo wa ukristo kabla ya kuja yesu, au kifupi uniambie Ibrahim alikua dini gani?
Nahisi utakua unatatizo katika kuifatilia historia. Hujajua vipi Ibrahim alifika katika ardhi ya Makka. Kutokana na wivu wa mke wake wa awali uliokuja baada ya Ibrahim kupata mtoto(Ismail) na mke wake wa pili ikamlazimu amhamishe mke wake wa pili mpaka eneo la mbali ili wivu ule usiendelee. Na ndipo alimfikisha ardhibya Makkah na maelezo yake marefu yapo kwenye hadithi za Mtume sala na salam zimfikie.
Kuhusu Mariam kuitwa ukht Haarun haijawa na maana ya kwamba ni dada wa musa au harun toka nitoke. Katika uislam kuna udugu wa aina mbili wa kwanza ni wa damu na wa pili ni wa usilam. Hivyo katika udugu wa uislam Harun na Mariam ni ndugu katika Imaan. Kutokana na uchamungubwa Mariam watu wake wakampa jina hilo la dada wa Harun wakiwa na maana Harun wa Musa ambae nae pia ni Mchamungu bali ni nabii kabisa kwahyo usichange khabar bana.
Kuhusu Kaaba kujenga na Ibarahim sion haja ya kurudia maelezo.
Nacho shangaa kwako ni kusema kile ni kimondo hali hauna ushahidi wa madai hayo.
Ni kuna maswali nimeweka chini ya post ile uliopenda na kusema nimejitahidi naomba unisaidie kujibu
Quran na Ibrahim na Uyahudi kipi kilitangulia kingine? Mbona hata kwa historia tu Ibrahim ndio baba wa Wayahudi?qur'an inaeleza yakua nabii ibrahim hakua yahudi wala hakua mnaswara ma alikua ni hanifah muslimah na hakua miongoni mwa washirikina hao mayahudi na manaswarah.
Quran 9:29 Piganeni na wasio muamini Mwenyezi Mungu wala Siku ya Mwisho, wala hawaharimishi alivyo harimisha Mwenyezi Mungu na Mtume, wala hawashiki Dini ya Haki, miongoni mwa walio pewa Kitabu, mpaka watoe kodi kwa khiari yao, hali wamet'ii7
wapi kasema umtete
Mkuu mimi sijaumbwa na allah mimi nimeumbwa kwa udongo tena na MUNGU MWENYE UWEZO WOTE JEHOVAH sio allah ambaye yeye anadai anaumba watu kwa damu Quran 96:1-2 Soma kwa jina la Mola wako Mlezi aliye umba,nani kakuumba wewe na family yako au ukoo wako na nani anakuletea usiku na mchana ?
Allah ni mungu wa kipagani wa waarab kabla hata ya Mohamed. Utasemaje mungu wa kipagani kakuumba?Tafuta historia ujue Allah ni nani na hata kuzunguka kaaba ilikuwa ibada ya kipagani.wewe kakuumba nani paka usimjue ALLAH AU UMEZUKA TU?