Alama ya nyota na mwezi misikitini humaanisha nini?

Alama ya nyota na mwezi misikitini humaanisha nini?

Ulitakiwa uthibitishe kipi hakimaanishi uislam katika clip. Au lugha huelewi?

Allah huyo ambaye uislam unamtukuza ndiye shetani kama navoandikwa katika Biblia. Sasa wewe ulipashwa kuzunguzmia hizo aya za uislam ambazo zinathibitisha ushetani wa allah.

Au uislam hausiki na allah ambaye ni lucifer?
kaa na itikadi yako hiyo kisha utakutana na ALLAH kisha useme hayo maneno yako ya kipuuzi na kama utapata nguuvu ya kuyasema mimi nitakufa hapo hapo
 
Wewe ulishakufa tayari. Au hujui kwamba wewe ni mfu? Unahitaji Yesu kukupa uzima vinginevyo wewe ni mfu tu!. BTW, wapi allah amesema yeye ni Mungu? Imani siyo itikadi labda kwa wafuasi wa allah aka lucifer.

Eti nikikutana na allah niseme haya maneno.....!. Huyo allah kumbe hasikii watu wakisema hadi wamkute? Anapatikana mlima gani?

Mimi namwamini Mungu Muumba wa Mbingu na nchi na vyote vinavyoonekana na visivyoonekana kwa macho. ELOHIM! Ambaye anasikia na kujua si lile watu wanasema tu bali hata mawazo yao na hata kabla hawajakuwepo aliwafahamu.

Sasa unazidi kuthibitisha kwamba allah ni shetani kwa kuwa shetani hana uwezo wa kujua watu wanawaza na siyo OMNIPRESENT kama Mungu. Sijui unachokitetea ni huyo shetani unayemwabudu bila kujua kwamba aliasi kwa Mungu na akatupwa, AU unatetea fahari na kiburi chako? Au ni ujinga tu?

BADO NEEMA YA MUNGU IOKOAYO IPO. UKIAMINI KATIKA YESU UTAMPATA MUNGU WA KWELI. ACHANA NA HUYO shetani.

kaa na itikadi yako hiyo kisha utakutana na ALLAH kisha useme hayo maneno yako ya kipuuzi na kama utapata nguuvu ya kuyasema mimi nitakufa hapo hapo
 
yesu
Wewe ulishakufa tayari. Au hujui kwamba wewe ni mfu? Unahitaji Yesu kukupa uzima vinginevyo wewe ni mfu tu!. BTW, wapi allah amesema yeye ni Mungu? Imani siyo itikadi labda kwa wafuasi wa allah aka lucifer.
mwenyewe hawezi kujipa uzima . he's nothing without almightest ALLAH , JEUSU HE'S MEANLESS WITHOUT ALLAH
 
Sifa zote njema Anastahiki Allaah Aliyetukuka Mola wa walimwengu wote, Swalah na salamu zimshukie kipenzi chetu Mtume Muhammad (Swalla Allaahu ‘alayhi wa aalihi wa sallam) na Swahaba zake (Radhiya Allaahu ‘anhum) na watangu wema mpaka Siku ya Mwisho.
Kwa hakika alama na ishara hizo hazina umuhimu wala maana yoyote katika kuwekwa katika Misikiti au sehemu nyingine zozote. Kwani wakati wa Mtume (Swalla-Allaahu 'alayhi wa aalihi wa sallam) na Maswahaba zake (Radhiya-Allaahu 'anhum) alama
kama hizo zilikuwa hazipo.
Baada ya hapo huenda Waislamu wakaamua kuwa wawe na ishara kama vile Mayahudi
na Manaswara, kwani Mayahudi wana ile ishara ya nyota ya Daudi ambayo ina pembe sita na Manaswara wana ishara ya kuwa na msalaba. Kwa kuwa sisi huwa tarehe zetu za siku na miezi yetu hufuata mwezi, basi baadhi ya Waislam wakaona kuwa waweke hiyo alama ya mwezi kama nembo, lakini kiuhakika haina maana yoyote ya kisheria.
Na Allah Anajua zaidi.
Manaswara ndio nn?
 
Jibu swali langu. Wapi allah alisema yeye ni Mungu?
fungua qur'an surat al-faatiha aya ya mwanzo utakuta ametakasika mwenyezi mungu mola wa viumbe wote , mfalme wa siku ya malipo , yeye ndie tunamuabudu na yeye ndie tunamuomba msaada , tuongoze katika njia iliyo nyooka aiokua njia ambae umeghadhibikia na wakapotea
 
fungua qur'an surat al-faatiha aya ya mwanzo utakuta ametakasika mwenyezi mungu mola wa viumbe wote , mfalme wa siku ya malipo , yeye ndie tunamuabudu na yeye ndie tunamuomba msaada , tuongoze katika njia iliyo nyooka aiokua njia ambae umeghadhibikia na wakapotea
 
U neeD to understanD there is Islam anD MUSLIMS, christianity anD CHRISTIANS, Judaism anD Jews n etc...
So from that utaona kwamba mwanaDamu anabaki ktk Nafasi yke na Dini inasimama ktk Mhimili wake inDepenDently, Nyota na mwezi, Msalaba n sanamu zitumikazo ktk ibada hvi vitu vyote mwanaDamu kajiwekea mwenyewe kwa uthubutu wke Binafsi na si kwamba kapewa Muongozo wa MAANDIKO matakatifu ili avienDEE
Mashahidi wa yehova ni Dhehebu ktk ukristo ambalo halikubaliani na utumizi wa Msalaba ktk IBADA, na wana sets of facts that relates with what they Believe!.
Moreover Uislamu una Miongozo mikuu 2 in case of anything
1.The holy Quraan
2.The sunnah(traditions) n stories(hadith) of prophet muhammad(s.a.w)
Ila ktk vyote viwili hamna anDiko ktk quraan/Hadith linalothibitisha kuwepo kwa nyota n mwezi ktk Misikiti ya Zama hzo
So briefly ni Mambo ambayo mwanaDamu alifikiri na Akayaweka ktk matumizi kwa mtizamo na Imani yke mwenyewe
 
U neeD to understanD there is Islam anD MUSLIMS, christianity anD CHRISTIANS, Judaism anD Jews n etc..
Uislamu hautarajii maoni ya Mtu ktk yale yaliyokwisha anDikwa,ila UYAFUATE TU, n hamna anDiko ktk Quraan linalozungumzia juu ya suala la alama Ulizotaja,Uislamu Ulikuja mpya na utaruDi mpya, Masuala km haya ni Uzushi tu maana hata Issue ya msalaba ni fikra za MwanaDamu tu..
Thus Mashahidi wa yehova unakuta wao WANAIPINGA na wana s' bu zao za msingi,Thus uzushi/Dhana unakatazwa ktk Uislamu
mtume s.w.a alisema uislam utarudi mpya sababu watu hawajaijuan uislam na hawataujua kwa kua wamekua ni wingi wa kumkosea ALLAH na hawataki kufata maamrisho yake ALLAH
 
Hizo alama hazina maana yoyote katika uislamu msilazimishe kuleta tafsiri na hao walooweka katika misikiti wamekosea
 
  • Thanks
Reactions: m83
Aliyesema hayo maneno ni allh, mohamed au yule mwandishi wake kwa kuwa mohamed pamoja na kuwa mjanja lakini alikuwa hana elimu ya kuandika? Ninahitaji andiko ambalo allah amejiita yeye ni Mungu, siyo maneno ya wapambe wake.

Unajua wapambe wa allah ni wapambe tu kama wa kwenye arusi, wanaoimba "Anameremeta" kila mwenye arusi hata kama anasura kama usiku!?
fungua qur'an surat al-faatiha aya ya mwanzo utakuta ametakasika mwenyezi mungu mola wa viumbe wote , mfalme wa siku ya malipo , yeye ndie tunamuabudu na yeye ndie tunamuomba msaada , tuongoze katika njia iliyo nyooka aiokua njia ambae umeghadhibikia na wakapotea
 
Back
Top Bottom