Dr Matola PhD
JF-Expert Member
- Oct 18, 2010
- 56,530
- 93,104
Good boy, una akili sana, requirements za kuwa GS Yanga unazijuwa? Julio hana Cv kama ya Mkwasa kwenye Administration.Kwenda huko huna Akili kwani akiwa Mhamasishaji Mkuu wa Timu kuna tatizo gani? Mbona Charles Boniface Mkwasa ni Kocha Mkubwa tu Tanzania ila ameshawahi kuwa Katibu Mkuu wa Yanga SC na hakukuwa na tatizo lolote?