Nakuomba kuanzia Leo anza Kutonikubali sawa? Na Yeye aliyeanza Kunichokoza umemwambia na Kumshauri nini? Pumbavu na Mnafiki mkubwa Wewe.
Ukiona akina GENTAMYCINE wanamkataa Mtu jua ya kwamba huwa hatukosei kwani wengine tumeshabarikiwa Maono ya Kifalsafa na Mwenyezi Mungu.
Wakati nikimkataa mapema tu Mhamasishaji Mkuu mpya wa Simba SC 'Samjo Samjo' Mwinjaku muda si mrefu Mwenyekiti wa Simba SC Murtaza Mangungu amekasirishwa na Kauli yake aliyonukuliwa akisema kuwa Simba SC isiposhinda Jumapili atavua Nguo zake zote.
Salim Abdallah Mhene ( Mwenyekiti wa Bodi ya Simba SC ), Barbara Gonzalez ( CEO Simba SC ) na Poti wangu kabisa kutoka Mkoani Mara ( Musoma ) Kwetu Crecentius Magori ( Chief Advisor Simba SC ) kiukweli kwa Kumteua huyu 'Kirusi' Mwinjaku mmetukosea mno Wana Simba SC wote na tunawaomba Kwanza mtuombe Radhi na mumbadilishe upesi ndani ya Siku 3 hadi 7 zijazo kabla GENTAMYCINE 'Mizimu' yangu ya Kizanaki, Kimakuwa na Kitutsi haijanipanda na nikachafua Hali ya Hewa Klabuni na Mgogoro mkubwa kutokea na Simba SC yetu ifanye vibaya.
Kwangu Mimi wafuatao tena kwa Ushawishi wao mkubwa na Makubwa tena ya Kihistoria waliyoyafanya ndani ya Simba SC wangekuwa ndiyo Wahamasishaji wetu ningewapongeza na kuwaona mna Akili ambazo bahati mbaya kwa sasa hamna....
1. Dua Said
2. Boniface Pawassa
3. Ulimboka Mwakingwe
4. Jamhuri Kihwelo Julio
5. Mtangazaji Ibrahim Masoud Maestro
6. Mussa Hassan Mgosi
7. Mzee Mtemi Ramadhan
Upesi sana tuondoleeni mliyomteua jana vinginevyo tunaojua vyema Siri za ndani za Simba SC ( GENTAMYCINE ) nikijiamini kabisa nikiwa ni Mmoja wao nitawaanika na Kuwaacheni Uchi ( Watupu ) kabisa.
Acheni na Komeni kabisa 'Kutuhanithi' Wana Simba SC wote. Binafsi na hata Watu wa CMG mpaka Wasanii akina wa Maigizo akina Cheni, JB na Ray tunamjua tokea huko nyuma kuwa Mwinjaku ni Yanga SC lia lia halafu leo mnamkaribisha tena Sebuleni kabisa Klabuni Kwetu.
Nimeshawaonyeni mapema msilaumu.
Pumbavu....!!!Okay nisha jua we ni mtu wa aina gani.
Nishakudharau...kuanzia sasaaa.
Akina Herbert wengi 'naturally' huwa ni 'Morons' hivyo baada ya kuona Jina lako ( ID yako ) wala sijapata sana Shida nawe.Kwa hiyo Simba kuna madudu ya viongozi ila unakubali yaemdelee kudumu kisa tu huwataki K MZIWANDA na Mwijaku huu sasa ni ujinga brother na tena umeonesha ni kwa namna gani wewe si mzalendo ,mtu timamu atasema mabaya ili mageuzi yafanyike sio kuwaomba wale anaoona wanakosea wafanye jambo fulani kuuridhisha tu moyo wake ila uchafu uendelee ,
UNAJISHUSHA MNO
Mimi nimewakubali so nashangaa unaposema mashabiki wote wa Simba hawajafurahishwa K Mziwanda na Mwijaku kuwa wahamasishaji.
Upesi sana tuondoleeni mliyomteua jana vinginevyo tunaojua vyema Siri za ndani za Simba SC ( GENTAMYCINE ) nikijiamini kabisa nikiwa ni Mmoja wao nitawaanika na Kuwaacheni Uchi ( Watupu ) kabisa.
Hivi vyeo uchwara ndio vinafanya tuonekane hatuna akili. Brand inajengwa na matokeo ya uwanjani hizi blah blah za hawa wapuuzi hazitotufikisha popote.
Hivi uhamasishaji nao mnautolea macho kiasi hicho? Mbona mtu yeyote tu mwenye anaenjoy kuongea ongea mi naoana sawa tu? Si kuna afisa habari juu yake? Acheni kushikia bango vijimambo vidogo vidogo kama hivi vya mhamasishajiSijui wamewaza nini kumweka Mwijaku hapo,kweli Simba imekosa mtu makini kiasi hicho Tanzania yote watuletee Mwijaku?. Kwanza Mwijaku kaanza kuwa Simba wakati Manara kaondoka ,Mwijaku hafai na hafahamu lolote kuhusu Simba au mpira wa Tanzania zaidi ya uchawa
Cretin.Hivi uhamasishaji nao mnautolea macho kiasi hicho? Mbona mtu yeyote tu mwenye anaenjoy kuongea ongea mi naoana sawa tu? Si kuna afisa habari juu yake? Acheni kushikia bango vijimambo vidogo vidogo kama hivi vya mhamasishaji
Bangi unazo kula na Kvant utakuja unye😁Pumbavu....!!!
Tatizo la mwandishi tushalijua akifikiria video ya Mwijagu Akili zinamruka kama hivi! 😁😁Ukiona akina GENTAMYCINE wanamkataa Mtu jua ya kwamba huwa hatukosei kwani wengine tumeshabarikiwa Maono ya Kifalsafa na Mwenyezi Mungu.
Wakati nikimkataa mapema tu Mhamasishaji Mkuu mpya wa Simba SC 'Samjo Samjo' Mwinjaku muda si mrefu Mwenyekiti wa Simba SC Murtaza Mangungu amekasirishwa na Kauli yake aliyonukuliwa akisema kuwa Simba SC isiposhinda Jumapili atavua Nguo zake zote.
Salim Abdallah Mhene ( Mwenyekiti wa Bodi ya Simba SC ), Barbara Gonzalez ( CEO Simba SC ) na Poti wangu kabisa kutoka Mkoani Mara ( Musoma ) Kwetu Crecentius Magori ( Chief Advisor Simba SC ) kiukweli kwa Kumteua huyu 'Kirusi' Mwinjaku mmetukosea mno Wana Simba SC wote na tunawaomba Kwanza mtuombe Radhi na mumbadilishe upesi ndani ya Siku 3 hadi 7 zijazo kabla GENTAMYCINE 'Mizimu' yangu ya Kizanaki, Kimakuwa na Kitutsi haijanipanda na nikachafua Hali ya Hewa Klabuni na Mgogoro mkubwa kutokea na Simba SC yetu ifanye vibaya.
Kwangu Mimi wafuatao tena kwa Ushawishi wao mkubwa na Makubwa tena ya Kihistoria waliyoyafanya ndani ya Simba SC wangekuwa ndiyo Wahamasishaji wetu ningewapongeza na kuwaona mna Akili ambazo bahati mbaya kwa sasa hamna....
1. Dua Said
2. Boniface Pawassa
3. Ulimboka Mwakingwe
4. Jamhuri Kihwelo Julio
5. Mtangazaji Ibrahim Masoud Maestro
6. Mussa Hassan Mgosi
7. Mzee Mtemi Ramadhan
Upesi sana tuondoleeni mliyomteua jana vinginevyo tunaojua vyema Siri za ndani za Simba SC ( GENTAMYCINE ) nikijiamini kabisa nikiwa ni Mmoja wao nitawaanika na Kuwaacheni Uchi ( Watupu ) kabisa.
Acheni na Komeni kabisa 'Kutuhanithi' Wana Simba SC wote. Binafsi na hata Watu wa CMG mpaka Wasanii akina wa Maigizo akina Cheni, JB na Ray tunamjua tokea huko nyuma kuwa Mwinjaku ni Yanga SC lia lia halafu leo mnamkaribisha tena Sebuleni kabisa Klabuni Kwetu.
Nimeshawaonyeni mapema msilaumu.
Ukiwa na upeo mdogo wa kufikiri huwezi kuona madhara ya kuwa na watu type ya Mwijaku. Ila kuna siku tutarudi hapa kujadili hii mada upya.Hivi uhamasishaji nao mnautolea macho kiasi hicho? Mbona mtu yeyote tu mwenye anaenjoy kuongea ongea mi naoana sawa tu? Si kuna afisa habari juu yake? Acheni kushikia bango vijimambo vidogo vidogo kama hivi vya mhamasishaji
huyo akipewa nafasi hata ya upishi simba ataanza kuingilia majukumu ya makocha na majungu kwa wachezajiJamhuri Kileo ndo anafaa zaidi
Ni Jamhuri Kihwelo Mkuu 'edit' kidogo.Jamhuri Kileo ndo anafaa zaidi
Nakubaliana nawe tena 100% Mkuu na Heko pia hili ndilo limekuwa tatizo Kubwa la Kocha Jamhuri Kihwelo ndiyo maana hata kwa sasa Simba SC haaminiki katika kupewa Nafasi ya Kiufundi.huyo akipewa nafasi hata ya upishi simba ataanza kuingilia majukumu ya makocha na majungu kwa wachezaji
Mimi binafsi naamimini mwijaku kakaaa pale sababu ya konekesheni yake na vunja bei ila ushafikiria the other side of the coin?????kuna jitu lile sukule kwa sasa litakuwa linatukanana na mwijaku? yaani karudishwa kwenye level yake anayostahili siyo kama alivyokuwa anajikweza kwamba yeye ni wa kubishana na kina Barbra ndiyo mana juzi dongo la ndoa hajalijibu hadi leo ila ingekuwa imesemwa na kina Mangungu ungeona moto wakeNakubaliana nawe tena 100% Mkuu na Heko pia hili ndilo limekuwa tatizo Kubwa la Kocha Jamhuri Kihwelo ndiyo maana hata kwa sasa Simba SC haaminiki katika kupewa Nafasi ya Kiufundi.
Ila kama akipewa hiyo Nafasi na kuambiwa mipaka yake ya Kiutendaji kama 'Mhamasishaji' huku akiwa 'Monitored' na 'Well Managed' Kwangu Mimi bado naona Jamhuri Kihwelo ndiyo 'Competent Candidate' wa hiyo Nafasi.
hapohapo patamu tunasubiri afisa habari mwenye uweledi huyu acha abaki kutukanana na lopolopo 24/7 ilifika hatua lopolopo akadhani yeye level zake ni ni za Mo dewji, kumbuka yuko sub ataingia tu na upande wa pili nao waweke baba levo ziwe ligi za kusutana kabisa na lile kubwa lao sukuleBora nafasi ya uhamasishaji mngempa Dokta Kumbuka kuliko Mwijaku