Tumeshamaliza 'Kuwacheka' Yanga SC, sasa naomba Uongozi wa Simba SC ufuate haya Maelekezo yangu Muhimu kuelekea 23rd October Derby

GENTAMYCINE

JF-Expert Member
Jul 13, 2013
56,694
109,127
1. Kuanzia leo Jumanne Timu ikae Mafichoni hasa

2. Wachezaji wanyang'anywe Simu zao

3. Viongozi wapewe Kiapo na walishane Yamini

4. Wachezaji akina Manula, Boko, Tshabalala, Kapombe, Mkude, Chama, Nyoni na Inonga waangaliwe kwa Jicho Kali la Kiujasusi

5. Popote Timu itakapokuwepo Usiri mkubwa mno uwepo

6. Timu ( kwa nia Njema tu ) kwa Umuhimu wa hii Mechi itekwe ( iwe chini ) ya Wazee Wakiongozwa na Dalali na Kaduguda na baada ya 'Derby' itarudishwa kwa Uongozi kwa Mechi zingine za NBC Premier League

7. CEO Barbara Gonzalez, Mwenyekiti wa Wanachama Simba SC Murtaza Mangungu, Mratibu Abbas, Mkuu wa Itifaki Makoye, Kocha Msaidizi Matola na Meneja Rweymamu wawe makini katika Usaliti wao kwa Watu ( Matajiri ) wa GSM

8. Ikiwezekana Timu ipelekwe kwa Wazee wetu wa Mkwajuni ( Kikwajuni ) kwa Maandalizi yao ambayo hayajawahi Kufeli kila Timu ( Simba SC ) ikicheza na Yanga SC.

9. Ile Miiko yote ya Marehemu Mwenyekiti Amri Bamchawi na Katibu Mkuu Priva Mtema kila Simba SC ikikaribia Kucheza na Yanga SC ifuatwe

10. Viongozi wa Matawi wasihusishwe hadi katika hatua za mwisho za Maandalizi kwakuwa wengi wao Njaa huwasumbua na GSM hupita Kwao kujua Siri za mwisho za Maandalizi ya Simba SC

11. Kitengo cha Propaganda kije na Jambo la Kutengeneza 'Mind Game' kwa Wapinzani ( Yanga SC ) ambao Kisaikolojia kwa sasa hawako vyema baada ya Matokeo mabaya ya Al Hilal FC huko nchini Sudan

12. Watu wa Kitengo cha Unyangindo ( Uchawi ) na Umafia ( Fitna ) wawe ni wale tu wenye huo Uwezo, wana Simba SC kweli, siyo Waoga na hawabahatishi

13. Kiundwe Kikundi cha Watu cha kufanya Ujasusi wa nini kinaendelea nje na ndani ya Uwanja Saa 72 ( Siku Tatu ) kabla ya Mechi kwani mara nyingi Mwenyeji akiwa ni Yanga SC huwa kuna Mambo makubwa yanafanyika

14. Watu wa Kukaa Vyumbani Kulinda Vyumba vya Wachezaji Saa 48 ( Siku Mbili ) baada ya kupewa Funguo na Meneja wa Uwanja wawe Screened hasa, Wachunguzwe na wawe Loyal kweli kwa Simba SC kwani baadhi yao hutumika na upande wa Pili kwa Utajiri wa GSM na ghafla kupitisha Vitu Vyumbani na hata Kuuza Ramani ya Vita

15. Kocha Mgunda na Benchi lake la Ufundi wamuonye sana Beki Inonga kwa Mizaha yake, back passes zake na Kujiamini Kwake kulikopitiliza.

Pia Mchezaji Sakho asianze kabisa kwani hana Msaada, Mchoyo na Mpumbavu mno.

Na wahakikishe Mabeki wa Simba SC wanacheza sana Mipira ya Juu kwani nimeanza kuona tena hilo Tatizo lililotugharimu huko nyuma limerejea tena na kwa Uwezo wa Mshambuliaji Hatari Mayele na Wengineo wa Yanga SC tunaweza Kulia na Kuaibika tena kwa Mkapa na Kulaumiana pia.

GENTAMYCINE namalizia kwa Kuuomba Uongozi wa Simba SC kuwa uyafanyie Kazi yote haya kama kweli Jumapili ijayo ya tarehe 23 Oktoba, 2022 wanataka Kuwafunga Yanga SC.

Niwaombe pia wana Simba SC wote walioko hapa JamiiForums na ambao wana access na Viongozi wa Simba SC, Benchi la Ufundi na Wajumbe wa Bodi bila kumsahau Msemaji wa Simba SC tafadhali wafikishieni ( wafowadieni ) haraka huu Uzi wangu na haya niliyoyaeleza ili Wayatekeleze na Wawe Makini nao.

GENTAMYCINE namalizia kwa Kusema kuwa ni kweli wametolewa CAFCL na tumewacheka na kuwabeza sana ila Yanga SC wakijua wanakutana na Simba SC huwa hawana Jambo dogo, Wanajiandaa na Kuimarika mno hivyo kama tusipokuwa makini nisiwe Mnafiki na Muongo Simba SC tutakuja Kufungwa tena na Yanga SC na hata hii Furaha yetu ya Kufuzu ( Kutinga ) Makundi CAFCL haitokuwa na maana tena.

Uhakika wa Matokeo niliyonayo ni kuwa Safari hii ( katika Derby ) Simba SC inaenda Kushinda ( Kumfunga Yanga SC ) na Ushindi pekee kwa Yanga SC Siku hiyo ni Sare / Suluhu tu.

Nawatakia Simba SC maandalizi Mema, Kila la Kheri, Mashabiki mjitokeze kwa Wingi mkajae Uwanjani na Inshaallah Mimi GENTAMYCINE naamini na sina Mashaka kuwa Simba SC itashinda.

Tuko pamoja Simba SC Nguvu Moja.
 
Baada ya kuitoa Ihefu ya Angola, sasa mnajua kazi ndio inaanza.

Mmetumia muda mwingi kupiga domo kuhusu Yanga mnasahau kuwa mna timu mbovu.

Endeleeni na hasira zenu kwa Yanga maana ndio zitawafanya mshinde mechi zenu.

Huku ni kujihami mapema ili mkifungwa, useme ushauri wangu haukufanyiwa kazi.

Sisi hatuangaiki na wapiga domo.
 
1. Kuanzia leo Jumanne Timu ikae Mafichoni hasa

2. Wachezaji wanyang'anywe Simu zao

3. Viongozi wapewe Kiapo na walishane Yamini

4. Wachezaji akina Manula, Boko, Tshabalala, Kapombe, Mkude, Chama, Nyoni na Inonga waangaliwe kwa Jicho Kali la Kiujasusi

5. Popote Timu itakapokuwepo Usiri mkubwa mno uwepo

6. Timu ( kwa nia Njema tu ) kwa Umuhimu wa hii Mechi itekwe ( iwe chini ) ya Wazee Wakiongozwa na Dalali na Kaduguda na baada ya 'Derby' itarudishwa kwa Uongozi kwa Mechi zingine za NBC Premier League

7. CEO Barbara Gonzalez, Mwenyekiti wa Wanachama Simba SC Murtaza Mangungu, Mratibu Abbas, Mkuu wa Itifaki Makoye, Kocha Msaidizi Matola na Meneja Rweymamu wawe makini katika Usaliti wao kwa Watu ( Matajiri ) wa GSM

8. Ikiwezekana Timu ipelekwe kwa Wazee wetu wa Mkwajuni ( Kikwajuni ) kwa Maandalizi yao ambayo hayajawahi Kufeli kila Timu ( Simba SC ) ikicheza na Yanga SC.

9. Ile Miiko yote ya Marehemu Mwenyekiti Amri Bamchawi na Katibu Mkuu Priva Mtema kila Simba SC ikikaribia Kucheza na Yanga SC ifuatwe

10. Viongozi wa Matawi wasihusishwe hadi katika hatua za mwisho za Maandalizi kwakuwa wengi wao Njaa huwasumbua na GSM hupita Kwao kujua Siri za mwisho za Maandalizi ya Simba SC

11. Kitengo cha Propaganda kije na Jambo la Kutengeneza 'Mind Game' kwa Wapinzani ( Yanga SC ) ambao Kisaikolojia kwa sasa hawako vyema baada ya Matokeo mabaya ya Al Hilal FC huko nchini Sudan

12. Watu wa Kitengo cha Unyangindo ( Uchawi ) na Umafia ( Fitna ) wawe ni wale tu wenye huo Uwezo, wana Simba SC kweli, siyo Waoga na hawabahatishi

13. Kiundwe Kikundi cha Watu cha kufanya Ujasusi wa nini kinaendelea nje na ndani ya Uwanja Saa 72 ( Siku Tatu ) kabla ya Mechi kwani mara nyingi Mwenyeji akiwa ni Yanga SC huwa kuna Mambo makubwa yanafanyika

14. Watu wa Kukaa Vyumbani Kulinda Vyumba vya Wachezaji Saa 48 ( Siku Mbili ) baada ya kupewa Funguo na Meneja wa Uwanja wawe Screened hasa, Wachunguzwe na wawe Loyal kweli kwa Simba SC kwani baadhi yao hutumika na upande wa Pili kwa Utajiri wa GSM na ghafla kupitisha Vitu Vyumbani na hata Kuuza Ramani ya Vita

15. Kocha Mgunda na Benchi lake la Ufundi wamuonye sana Beki Inonga kwa Mizaha yake, back passes zake na Kujiamini Kwake kulikopitiliza.

Pia Mchezaji Sakho asianze kabisa kwani hana Msaada, Mchoyo na Mpumbavu mno.

Na wahakikishe Mabeki wa Simba SC wanacheza sana Mipira ya Juu kwani nimeanza kuona tena hilo Tatizo lililotugharimu huko nyuma limerejea tena na kwa Uwezo wa Mshambuliaji Hatari Mayele na Wengineo wa Yanga SC tunaweza Kulia na Kuaibika tena kwa Mkapa na Kulaumiana pia.

GENTAMYCINE namalizia kwa Kuuomba Uongozi wa Simba SC kuwa uyafanyie Kazi yote haya kama kweli Jumapili ijayo ya tarehe 23 Oktoba, 2022 wanataka Kuwafunga Yanga SC.

Niwaombe pia wana Simba SC wote walioko hapa JamiiForums na ambao wana access na Viongozi wa Simba SC, Benchi la Ufundi na Wajumbe wa Bodi bila kumsahau Msemaji wa Simba SC tafadhali wafikishieni ( wafowadieni ) haraka huu Uzi wangu na haya niliyoyaeleza ili Wayatekeleze na Wawe Makini nao.

GENTAMYCINE namalizia kwa Kusema kuwa ni kweli wametolewa CAFCL na tumewacheka na kuwabeza sana ila Yanga SC wakijua wanakutana na Simba SC huwa hawana Jambo dogo, Wanajiandaa na Kuimarika mno hivyo kama tusipokuwa makini nisiwe Mnafiki na Muongo Simba SC tutakuja Kufungwa tena na Yanga SC na hata hii Furaha yetu ya Kufuzu ( Kutinga ) Makundi CAFCL haitokuwa na maana tena.

Uhakika wa Matokeo niliyonayo ni kuwa Safari hii ( katika Derby ) Simba SC inaenda Kushinda ( Kumfunga Yanga SC ) na Ushindi pekee kwa Yanga SC Siku hiyo ni Sare / Suluhu tu.

Nawatakia Simba SC maandalizi Mema, Kila la Kheri, Mashabiki mjitokeze kwa Wingi mkajae Uwanjani na Inshaallah Mimi GENTAMYCINE naamini na sina Mashaka kuwa Simba SC itashinda.

Tuko pamoja Simba SC Nguvu Moja.
Wachawi FC mpo kwenye maandalizi... Hata mje na uchawi wa Dunia... Kipigo tarehe 23 kipo palepale
 
Baada ya kuitoa Ihefu ya Angola, sasa mnajua kazi ndio inaanza.

Mmetumia muda mwingi kupiga domo kuhusu Yanga mnasahau kuwa mna timu mbovu.

Endeleeni na hasira zenu kwa Yanga maana ndio zitawafanya mshinde mechi zenu.

Sisi hatuangaiki na wapiga domo.
Halafu sisi hatutaki ushauri wa kiumbeya wala kishirikina. Simba kwa sasa inawekeza katika professionalism. Tulishatoka huko unakotaka kuturudisha.
 
1. Kuanzia leo Jumanne Timu ikae Mafichoni hasa

2. Wachezaji wanyang'anywe Simu zao

3. Viongozi wapewe Kiapo na walishane Yamini

4. Wachezaji akina Manula, Boko, Tshabalala, Kapombe, Mkude, Chama, Nyoni na Inonga waangaliwe kwa Jicho Kali la Kiujasusi

5. Popote Timu itakapokuwepo Usiri mkubwa mno uwepo

6. Timu ( kwa nia Njema tu ) kwa Umuhimu wa hii Mechi itekwe ( iwe chini ) ya Wazee Wakiongozwa na Dalali na Kaduguda na baada ya 'Derby' itarudishwa kwa Uongozi kwa Mechi zingine za NBC Premier League

7. CEO Barbara Gonzalez, Mwenyekiti wa Wanachama Simba SC Murtaza Mangungu, Mratibu Abbas, Mkuu wa Itifaki Makoye, Kocha Msaidizi Matola na Meneja Rweymamu wawe makini katika Usaliti wao kwa Watu ( Matajiri ) wa GSM

8. Ikiwezekana Timu ipelekwe kwa Wazee wetu wa Mkwajuni ( Kikwajuni ) kwa Maandalizi yao ambayo hayajawahi Kufeli kila Timu ( Simba SC ) ikicheza na Yanga SC.

9. Ile Miiko yote ya Marehemu Mwenyekiti Amri Bamchawi na Katibu Mkuu Priva Mtema kila Simba SC ikikaribia Kucheza na Yanga SC ifuatwe

10. Viongozi wa Matawi wasihusishwe hadi katika hatua za mwisho za Maandalizi kwakuwa wengi wao Njaa huwasumbua na GSM hupita Kwao kujua Siri za mwisho za Maandalizi ya Simba SC

11. Kitengo cha Propaganda kije na Jambo la Kutengeneza 'Mind Game' kwa Wapinzani ( Yanga SC ) ambao Kisaikolojia kwa sasa hawako vyema baada ya Matokeo mabaya ya Al Hilal FC huko nchini Sudan

12. Watu wa Kitengo cha Unyangindo ( Uchawi ) na Umafia ( Fitna ) wawe ni wale tu wenye huo Uwezo, wana Simba SC kweli, siyo Waoga na hawabahatishi

13. Kiundwe Kikundi cha Watu cha kufanya Ujasusi wa nini kinaendelea nje na ndani ya Uwanja Saa 72 ( Siku Tatu ) kabla ya Mechi kwani mara nyingi Mwenyeji akiwa ni Yanga SC huwa kuna Mambo makubwa yanafanyika

14. Watu wa Kukaa Vyumbani Kulinda Vyumba vya Wachezaji Saa 48 ( Siku Mbili ) baada ya kupewa Funguo na Meneja wa Uwanja wawe Screened hasa, Wachunguzwe na wawe Loyal kweli kwa Simba SC kwani baadhi yao hutumika na upande wa Pili kwa Utajiri wa GSM na ghafla kupitisha Vitu Vyumbani na hata Kuuza Ramani ya Vita

15. Kocha Mgunda na Benchi lake la Ufundi wamuonye sana Beki Inonga kwa Mizaha yake, back passes zake na Kujiamini Kwake kulikopitiliza.

Pia Mchezaji Sakho asianze kabisa kwani hana Msaada, Mchoyo na Mpumbavu mno.

Na wahakikishe Mabeki wa Simba SC wanacheza sana Mipira ya Juu kwani nimeanza kuona tena hilo Tatizo lililotugharimu huko nyuma limerejea tena na kwa Uwezo wa Mshambuliaji Hatari Mayele na Wengineo wa Yanga SC tunaweza Kulia na Kuaibika tena kwa Mkapa na Kulaumiana pia.

GENTAMYCINE namalizia kwa Kuuomba Uongozi wa Simba SC kuwa uyafanyie Kazi yote haya kama kweli Jumapili ijayo ya tarehe 23 Oktoba, 2022 wanataka Kuwafunga Yanga SC.

Niwaombe pia wana Simba SC wote walioko hapa JamiiForums na ambao wana access na Viongozi wa Simba SC, Benchi la Ufundi na Wajumbe wa Bodi bila kumsahau Msemaji wa Simba SC tafadhali wafikishieni ( wafowadieni ) haraka huu Uzi wangu na haya niliyoyaeleza ili Wayatekeleze na Wawe Makini nao.

GENTAMYCINE namalizia kwa Kusema kuwa ni kweli wametolewa CAFCL na tumewacheka na kuwabeza sana ila Yanga SC wakijua wanakutana na Simba SC huwa hawana Jambo dogo, Wanajiandaa na Kuimarika mno hivyo kama tusipokuwa makini nisiwe Mnafiki na Muongo Simba SC tutakuja Kufungwa tena na Yanga SC na hata hii Furaha yetu ya Kufuzu ( Kutinga ) Makundi CAFCL haitokuwa na maana tena.

Uhakika wa Matokeo niliyonayo ni kuwa Safari hii ( katika Derby ) Simba SC inaenda Kushinda ( Kumfunga Yanga SC ) na Ushindi pekee kwa Yanga SC Siku hiyo ni Sare / Suluhu tu.

Nawatakia Simba SC maandalizi Mema, Kila la Kheri, Mashabiki mjitokeze kwa Wingi mkajae Uwanjani na Inshaallah Mimi GENTAMYCINE naamini na sina Mashaka kuwa Simba SC itashinda.

Tuko pamoja Simba SC Nguvu Moja.
hapo kwny barbra ss 🤔🤔🤔🤔 ww huyo
 
Baada ya kuitoa Ihefu ya Angola, sasa mnajua kazi ndio inaanza.

Mmetumia muda mwingi kupiga domo kuhusu Yanga mnasahau kuwa mna timu mbovu.

Endeleeni na hasira zenu kwa Yanga maana ndio zitawafanya mshinde mechi zenu.

Sisi hatuangaiki na wapiga domo.
1. Kuanzia leo Jumanne Timu ikae Mafichoni hasa

2. Wachezaji wanyang'anywe Simu zao

3. Viongozi wapewe Kiapo na walishane Yamini

4. Wachezaji akina Manula, Boko, Tshabalala, Kapombe, Mkude, Chama, Nyoni na Inonga waangaliwe kwa Jicho Kali la Kiujasusi

5. Popote Timu itakapokuwepo Usiri mkubwa mno uwepo

6. Timu ( kwa nia Njema tu ) kwa Umuhimu wa hii Mechi itekwe ( iwe chini ) ya Wazee Wakiongozwa na Dalali na Kaduguda na baada ya 'Derby' itarudishwa kwa Uongozi kwa Mechi zingine za NBC Premier League

7. CEO Barbara Gonzalez, Mwenyekiti wa Wanachama Simba SC Murtaza Mangungu, Mratibu Abbas, Mkuu wa Itifaki Makoye, Kocha Msaidizi Matola na Meneja Rweymamu wawe makini katika Usaliti wao kwa Watu ( Matajiri ) wa GSM

8. Ikiwezekana Timu ipelekwe kwa Wazee wetu wa Mkwajuni ( Kikwajuni ) kwa Maandalizi yao ambayo hayajawahi Kufeli kila Timu ( Simba SC ) ikicheza na Yanga SC.

9. Ile Miiko yote ya Marehemu Mwenyekiti Amri Bamchawi na Katibu Mkuu Priva Mtema kila Simba SC ikikaribia Kucheza na Yanga SC ifuatwe

10. Viongozi wa Matawi wasihusishwe hadi katika hatua za mwisho za Maandalizi kwakuwa wengi wao Njaa huwasumbua na GSM hupita Kwao kujua Siri za mwisho za Maandalizi ya Simba SC

11. Kitengo cha Propaganda kije na Jambo la Kutengeneza 'Mind Game' kwa Wapinzani ( Yanga SC ) ambao Kisaikolojia kwa sasa hawako vyema baada ya Matokeo mabaya ya Al Hilal FC huko nchini Sudan

12. Watu wa Kitengo cha Unyangindo ( Uchawi ) na Umafia ( Fitna ) wawe ni wale tu wenye huo Uwezo, wana Simba SC kweli, siyo Waoga na hawabahatishi

13. Kiundwe Kikundi cha Watu cha kufanya Ujasusi wa nini kinaendelea nje na ndani ya Uwanja Saa 72 ( Siku Tatu ) kabla ya Mechi kwani mara nyingi Mwenyeji akiwa ni Yanga SC huwa kuna Mambo makubwa yanafanyika

14. Watu wa Kukaa Vyumbani Kulinda Vyumba vya Wachezaji Saa 48 ( Siku Mbili ) baada ya kupewa Funguo na Meneja wa Uwanja wawe Screened hasa, Wachunguzwe na wawe Loyal kweli kwa Simba SC kwani baadhi yao hutumika na upande wa Pili kwa Utajiri wa GSM na ghafla kupitisha Vitu Vyumbani na hata Kuuza Ramani ya Vita

15. Kocha Mgunda na Benchi lake la Ufundi wamuonye sana Beki Inonga kwa Mizaha yake, back passes zake na Kujiamini Kwake kulikopitiliza.

Pia Mchezaji Sakho asianze kabisa kwani hana Msaada, Mchoyo na Mpumbavu mno.

Na wahakikishe Mabeki wa Simba SC wanacheza sana Mipira ya Juu kwani nimeanza kuona tena hilo Tatizo lililotugharimu huko nyuma limerejea tena na kwa Uwezo wa Mshambuliaji Hatari Mayele na Wengineo wa Yanga SC tunaweza Kulia na Kuaibika tena kwa Mkapa na Kulaumiana pia.

GENTAMYCINE namalizia kwa Kuuomba Uongozi wa Simba SC kuwa uyafanyie Kazi yote haya kama kweli Jumapili ijayo ya tarehe 23 Oktoba, 2022 wanataka Kuwafunga Yanga SC.

Niwaombe pia wana Simba SC wote walioko hapa JamiiForums na ambao wana access na Viongozi wa Simba SC, Benchi la Ufundi na Wajumbe wa Bodi bila kumsahau Msemaji wa Simba SC tafadhali wafikishieni ( wafowadieni ) haraka huu Uzi wangu na haya niliyoyaeleza ili Wayatekeleze na Wawe Makini nao.

GENTAMYCINE namalizia kwa Kusema kuwa ni kweli wametolewa CAFCL na tumewacheka na kuwabeza sana ila Yanga SC wakijua wanakutana na Simba SC huwa hawana Jambo dogo, Wanajiandaa na Kuimarika mno hivyo kama tusipokuwa makini nisiwe Mnafiki na Muongo Simba SC tutakuja Kufungwa tena na Yanga SC na hata hii Furaha yetu ya Kufuzu ( Kutinga ) Makundi CAFCL haitokuwa na maana tena.

Uhakika wa Matokeo niliyonayo ni kuwa Safari hii ( katika Derby ) Simba SC inaenda Kushinda ( Kumfunga Yanga SC ) na Ushindi pekee kwa Yanga SC Siku hiyo ni Sare / Suluhu tu.

Nawatakia Simba SC maandalizi Mema, Kila la Kheri, Mashabiki mjitokeze kwa Wingi mkajae Uwanjani na Inshaallah Mimi GENTAMYCINE naamini na sina Mashaka kuwa Simba SC itashinda.

Tuko pamoja Simba SC Nguvu Moja.
Hatutaki ushauri wa kiumbeya wala kishirikina. Simba tuna invest ktk professionalism. Usiturudishe enzi za giza.
 
1. Kuanzia leo Jumanne Timu ikae Mafichoni hasa

2. Wachezaji wanyang'anywe Simu zao

3. Viongozi wapewe Kiapo na walishane Yamini

4. Wachezaji akina Manula, Boko, Tshabalala, Kapombe, Mkude, Chama, Nyoni na Inonga waangaliwe kwa Jicho Kali la Kiujasusi

5. Popote Timu itakapokuwepo Usiri mkubwa mno uwepo

6. Timu ( kwa nia Njema tu ) kwa Umuhimu wa hii Mechi itekwe ( iwe chini ) ya Wazee Wakiongozwa na Dalali na Kaduguda na baada ya 'Derby' itarudishwa kwa Uongozi kwa Mechi zingine za NBC Premier League

7. CEO Barbara Gonzalez, Mwenyekiti wa Wanachama Simba SC Murtaza Mangungu, Mratibu Abbas, Mkuu wa Itifaki Makoye, Kocha Msaidizi Matola na Meneja Rweymamu wawe makini katika Usaliti wao kwa Watu ( Matajiri ) wa GSM

8. Ikiwezekana Timu ipelekwe kwa Wazee wetu wa Mkwajuni ( Kikwajuni ) kwa Maandalizi yao ambayo hayajawahi Kufeli kila Timu ( Simba SC ) ikicheza na Yanga SC.

9. Ile Miiko yote ya Marehemu Mwenyekiti Amri Bamchawi na Katibu Mkuu Priva Mtema kila Simba SC ikikaribia Kucheza na Yanga SC ifuatwe

10. Viongozi wa Matawi wasihusishwe hadi katika hatua za mwisho za Maandalizi kwakuwa wengi wao Njaa huwasumbua na GSM hupita Kwao kujua Siri za mwisho za Maandalizi ya Simba SC

11. Kitengo cha Propaganda kije na Jambo la Kutengeneza 'Mind Game' kwa Wapinzani ( Yanga SC ) ambao Kisaikolojia kwa sasa hawako vyema baada ya Matokeo mabaya ya Al Hilal FC huko nchini Sudan

12. Watu wa Kitengo cha Unyangindo ( Uchawi ) na Umafia ( Fitna ) wawe ni wale tu wenye huo Uwezo, wana Simba SC kweli, siyo Waoga na hawabahatishi

13. Kiundwe Kikundi cha Watu cha kufanya Ujasusi wa nini kinaendelea nje na ndani ya Uwanja Saa 72 ( Siku Tatu ) kabla ya Mechi kwani mara nyingi Mwenyeji akiwa ni Yanga SC huwa kuna Mambo makubwa yanafanyika

14. Watu wa Kukaa Vyumbani Kulinda Vyumba vya Wachezaji Saa 48 ( Siku Mbili ) baada ya kupewa Funguo na Meneja wa Uwanja wawe Screened hasa, Wachunguzwe na wawe Loyal kweli kwa Simba SC kwani baadhi yao hutumika na upande wa Pili kwa Utajiri wa GSM na ghafla kupitisha Vitu Vyumbani na hata Kuuza Ramani ya Vita

15. Kocha Mgunda na Benchi lake la Ufundi wamuonye sana Beki Inonga kwa Mizaha yake, back passes zake na Kujiamini Kwake kulikopitiliza.

Pia Mchezaji Sakho asianze kabisa kwani hana Msaada, Mchoyo na Mpumbavu mno.

Na wahakikishe Mabeki wa Simba SC wanacheza sana Mipira ya Juu kwani nimeanza kuona tena hilo Tatizo lililotugharimu huko nyuma limerejea tena na kwa Uwezo wa Mshambuliaji Hatari Mayele na Wengineo wa Yanga SC tunaweza Kulia na Kuaibika tena kwa Mkapa na Kulaumiana pia.

GENTAMYCINE namalizia kwa Kuuomba Uongozi wa Simba SC kuwa uyafanyie Kazi yote haya kama kweli Jumapili ijayo ya tarehe 23 Oktoba, 2022 wanataka Kuwafunga Yanga SC.

Niwaombe pia wana Simba SC wote walioko hapa JamiiForums na ambao wana access na Viongozi wa Simba SC, Benchi la Ufundi na Wajumbe wa Bodi bila kumsahau Msemaji wa Simba SC tafadhali wafikishieni ( wafowadieni ) haraka huu Uzi wangu na haya niliyoyaeleza ili Wayatekeleze na Wawe Makini nao.

GENTAMYCINE namalizia kwa Kusema kuwa ni kweli wametolewa CAFCL na tumewacheka na kuwabeza sana ila Yanga SC wakijua wanakutana na Simba SC huwa hawana Jambo dogo, Wanajiandaa na Kuimarika mno hivyo kama tusipokuwa makini nisiwe Mnafiki na Muongo Simba SC tutakuja Kufungwa tena na Yanga SC na hata hii Furaha yetu ya Kufuzu ( Kutinga ) Makundi CAFCL haitokuwa na maana tena.

Uhakika wa Matokeo niliyonayo ni kuwa Safari hii ( katika Derby ) Simba SC inaenda Kushinda ( Kumfunga Yanga SC ) na Ushindi pekee kwa Yanga SC Siku hiyo ni Sare / Suluhu tu.

Nawatakia Simba SC maandalizi Mema, Kila la Kheri, Mashabiki mjitokeze kwa Wingi mkajae Uwanjani na Inshaallah Mimi GENTAMYCINE naamini na sina Mashaka kuwa Simba SC itashinda.

Tuko pamoja Simba SC Nguvu Moja.
Mkuu mimi bado naendelea kucheka😂😂😂
Nikimaliza nitapitia 😃
 
1. Kuanzia leo Jumanne Timu ikae Mafichoni hasa

2. Wachezaji wanyang'anywe Simu zao

3. Viongozi wapewe Kiapo na walishane Yamini

4. Wachezaji akina Manula, Boko, Tshabalala, Kapombe, Mkude, Chama, Nyoni na Inonga waangaliwe kwa Jicho Kali la Kiujasusi

5. Popote Timu itakapokuwepo Usiri mkubwa mno uwepo

6. Timu ( kwa nia Njema tu ) kwa Umuhimu wa hii Mechi itekwe ( iwe chini ) ya Wazee Wakiongozwa na Dalali na Kaduguda na baada ya 'Derby' itarudishwa kwa Uongozi kwa Mechi zingine za NBC Premier League

7. CEO Barbara Gonzalez, Mwenyekiti wa Wanachama Simba SC Murtaza Mangungu, Mratibu Abbas, Mkuu wa Itifaki Makoye, Kocha Msaidizi Matola na Meneja Rweymamu wawe makini katika Usaliti wao kwa Watu ( Matajiri ) wa GSM

8. Ikiwezekana Timu ipelekwe kwa Wazee wetu wa Mkwajuni ( Kikwajuni ) kwa Maandalizi yao ambayo hayajawahi Kufeli kila Timu ( Simba SC ) ikicheza na Yanga SC.

9. Ile Miiko yote ya Marehemu Mwenyekiti Amri Bamchawi na Katibu Mkuu Priva Mtema kila Simba SC ikikaribia Kucheza na Yanga SC ifuatwe

10. Viongozi wa Matawi wasihusishwe hadi katika hatua za mwisho za Maandalizi kwakuwa wengi wao Njaa huwasumbua na GSM hupita Kwao kujua Siri za mwisho za Maandalizi ya Simba SC

11. Kitengo cha Propaganda kije na Jambo la Kutengeneza 'Mind Game' kwa Wapinzani ( Yanga SC ) ambao Kisaikolojia kwa sasa hawako vyema baada ya Matokeo mabaya ya Al Hilal FC huko nchini Sudan

12. Watu wa Kitengo cha Unyangindo ( Uchawi ) na Umafia ( Fitna ) wawe ni wale tu wenye huo Uwezo, wana Simba SC kweli, siyo Waoga na hawabahatishi

13. Kiundwe Kikundi cha Watu cha kufanya Ujasusi wa nini kinaendelea nje na ndani ya Uwanja Saa 72 ( Siku Tatu ) kabla ya Mechi kwani mara nyingi Mwenyeji akiwa ni Yanga SC huwa kuna Mambo makubwa yanafanyika

14. Watu wa Kukaa Vyumbani Kulinda Vyumba vya Wachezaji Saa 48 ( Siku Mbili ) baada ya kupewa Funguo na Meneja wa Uwanja wawe Screened hasa, Wachunguzwe na wawe Loyal kweli kwa Simba SC kwani baadhi yao hutumika na upande wa Pili kwa Utajiri wa GSM na ghafla kupitisha Vitu Vyumbani na hata Kuuza Ramani ya Vita

15. Kocha Mgunda na Benchi lake la Ufundi wamuonye sana Beki Inonga kwa Mizaha yake, back passes zake na Kujiamini Kwake kulikopitiliza.

Pia Mchezaji Sakho asianze kabisa kwani hana Msaada, Mchoyo na Mpumbavu mno.

Na wahakikishe Mabeki wa Simba SC wanacheza sana Mipira ya Juu kwani nimeanza kuona tena hilo Tatizo lililotugharimu huko nyuma limerejea tena na kwa Uwezo wa Mshambuliaji Hatari Mayele na Wengineo wa Yanga SC tunaweza Kulia na Kuaibika tena kwa Mkapa na Kulaumiana pia.

GENTAMYCINE namalizia kwa Kuuomba Uongozi wa Simba SC kuwa uyafanyie Kazi yote haya kama kweli Jumapili ijayo ya tarehe 23 Oktoba, 2022 wanataka Kuwafunga Yanga SC.

Niwaombe pia wana Simba SC wote walioko hapa JamiiForums na ambao wana access na Viongozi wa Simba SC, Benchi la Ufundi na Wajumbe wa Bodi bila kumsahau Msemaji wa Simba SC tafadhali wafikishieni ( wafowadieni ) haraka huu Uzi wangu na haya niliyoyaeleza ili Wayatekeleze na Wawe Makini nao.

GENTAMYCINE namalizia kwa Kusema kuwa ni kweli wametolewa CAFCL na tumewacheka na kuwabeza sana ila Yanga SC wakijua wanakutana na Simba SC huwa hawana Jambo dogo, Wanajiandaa na Kuimarika mno hivyo kama tusipokuwa makini nisiwe Mnafiki na Muongo Simba SC tutakuja Kufungwa tena na Yanga SC na hata hii Furaha yetu ya Kufuzu ( Kutinga ) Makundi CAFCL haitokuwa na maana tena.

Uhakika wa Matokeo niliyonayo ni kuwa Safari hii ( katika Derby ) Simba SC inaenda Kushinda ( Kumfunga Yanga SC ) na Ushindi pekee kwa Yanga SC Siku hiyo ni Sare / Suluhu tu.

Nawatakia Simba SC maandalizi Mema, Kila la Kheri, Mashabiki mjitokeze kwa Wingi mkajae Uwanjani na Inshaallah Mimi GENTAMYCINE naamini na sina Mashaka kuwa Simba SC itashinda.

Tuko pamoja Simba SC Nguvu Moja.
umeeleweka mkuu maoni ya kibabe sana haya Jenerali la JF
 
Baada ya kuitoa Ihefu ya Angola, sasa mnajua kazi ndio inaanza.

Mmetumia muda mwingi kupiga domo kuhusu Yanga mnasahau kuwa mna timu mbovu.

Endeleeni na hasira zenu kwa Yanga maana ndio zitawafanya mshinde mechi zenu.

Huku ni kujihami mapema ili mkifungwa, useme ushauri wangu haukufanyiwa kazi.

Sisi hatuangaiki na wapiga domo.
.
 
1. Kuanzia leo Jumanne Timu ikae Mafichoni hasa

2. Wachezaji wanyang'anywe Simu zao

3. Viongozi wapewe Kiapo na walishane Yamini

4. Wachezaji akina Manula, Boko, Tshabalala, Kapombe, Mkude, Chama, Nyoni na Inonga waangaliwe kwa Jicho Kali la Kiujasusi

5. Popote Timu itakapokuwepo Usiri mkubwa mno uwepo

6. Timu ( kwa nia Njema tu ) kwa Umuhimu wa hii Mechi itekwe ( iwe chini ) ya Wazee Wakiongozwa na Dalali na Kaduguda na baada ya 'Derby' itarudishwa kwa Uongozi kwa Mechi zingine za NBC Premier League

7. CEO Barbara Gonzalez, Mwenyekiti wa Wanachama Simba SC Murtaza Mangungu, Mratibu Abbas, Mkuu wa Itifaki Makoye, Kocha Msaidizi Matola na Meneja Rweymamu wawe makini katika Usaliti wao kwa Watu ( Matajiri ) wa GSM

8. Ikiwezekana Timu ipelekwe kwa Wazee wetu wa Mkwajuni ( Kikwajuni ) kwa Maandalizi yao ambayo hayajawahi Kufeli kila Timu ( Simba SC ) ikicheza na Yanga SC.

9. Ile Miiko yote ya Marehemu Mwenyekiti Amri Bamchawi na Katibu Mkuu Priva Mtema kila Simba SC ikikaribia Kucheza na Yanga SC ifuatwe

10. Viongozi wa Matawi wasihusishwe hadi katika hatua za mwisho za Maandalizi kwakuwa wengi wao Njaa huwasumbua na GSM hupita Kwao kujua Siri za mwisho za Maandalizi ya Simba SC

11. Kitengo cha Propaganda kije na Jambo la Kutengeneza 'Mind Game' kwa Wapinzani ( Yanga SC ) ambao Kisaikolojia kwa sasa hawako vyema baada ya Matokeo mabaya ya Al Hilal FC huko nchini Sudan

12. Watu wa Kitengo cha Unyangindo ( Uchawi ) na Umafia ( Fitna ) wawe ni wale tu wenye huo Uwezo, wana Simba SC kweli, siyo Waoga na hawabahatishi

13. Kiundwe Kikundi cha Watu cha kufanya Ujasusi wa nini kinaendelea nje na ndani ya Uwanja Saa 72 ( Siku Tatu ) kabla ya Mechi kwani mara nyingi Mwenyeji akiwa ni Yanga SC huwa kuna Mambo makubwa yanafanyika

14. Watu wa Kukaa Vyumbani Kulinda Vyumba vya Wachezaji Saa 48 ( Siku Mbili ) baada ya kupewa Funguo na Meneja wa Uwanja wawe Screened hasa, Wachunguzwe na wawe Loyal kweli kwa Simba SC kwani baadhi yao hutumika na upande wa Pili kwa Utajiri wa GSM na ghafla kupitisha Vitu Vyumbani na hata Kuuza Ramani ya Vita

15. Kocha Mgunda na Benchi lake la Ufundi wamuonye sana Beki Inonga kwa Mizaha yake, back passes zake na Kujiamini Kwake kulikopitiliza.

Pia Mchezaji Sakho asianze kabisa kwani hana Msaada, Mchoyo na Mpumbavu mno.

Na wahakikishe Mabeki wa Simba SC wanacheza sana Mipira ya Juu kwani nimeanza kuona tena hilo Tatizo lililotugharimu huko nyuma limerejea tena na kwa Uwezo wa Mshambuliaji Hatari Mayele na Wengineo wa Yanga SC tunaweza Kulia na Kuaibika tena kwa Mkapa na Kulaumiana pia.

GENTAMYCINE namalizia kwa Kuuomba Uongozi wa Simba SC kuwa uyafanyie Kazi yote haya kama kweli Jumapili ijayo ya tarehe 23 Oktoba, 2022 wanataka Kuwafunga Yanga SC.

Niwaombe pia wana Simba SC wote walioko hapa JamiiForums na ambao wana access na Viongozi wa Simba SC, Benchi la Ufundi na Wajumbe wa Bodi bila kumsahau Msemaji wa Simba SC tafadhali wafikishieni ( wafowadieni ) haraka huu Uzi wangu na haya niliyoyaeleza ili Wayatekeleze na Wawe Makini nao.

GENTAMYCINE namalizia kwa Kusema kuwa ni kweli wametolewa CAFCL na tumewacheka na kuwabeza sana ila Yanga SC wakijua wanakutana na Simba SC huwa hawana Jambo dogo, Wanajiandaa na Kuimarika mno hivyo kama tusipokuwa makini nisiwe Mnafiki na Muongo Simba SC tutakuja Kufungwa tena na Yanga SC na hata hii Furaha yetu ya Kufuzu ( Kutinga ) Makundi CAFCL haitokuwa na maana tena.

Uhakika wa Matokeo niliyonayo ni kuwa Safari hii ( katika Derby ) Simba SC inaenda Kushinda ( Kumfunga Yanga SC ) na Ushindi pekee kwa Yanga SC Siku hiyo ni Sare / Suluhu tu.

Nawatakia Simba SC maandalizi Mema, Kila la Kheri, Mashabiki mjitokeze kwa Wingi mkajae Uwanjani na Inshaallah Mimi GENTAMYCINE naamini na sina Mashaka kuwa Simba SC itashinda.

Tuko pamoja Simba SC Nguvu Moja.
Kuna haja gani ya kufanya yote ayo na mnajinasibu mnayo timu bora baada ya kuwatoa Ihefu ya angola? Timu bora aihangaiki namna hii kwani si mnaenda kukutana na timu dhaifu iliyotolewa klabu bingwa?
 
1. Kuanzia leo Jumanne Timu ikae Mafichoni hasa

2. Wachezaji wanyang'anywe Simu zao

3. Viongozi wapewe Kiapo na walishane Yamini

4. Wachezaji akina Manula, Boko, Tshabalala, Kapombe, Mkude, Chama, Nyoni na Inonga waangaliwe kwa Jicho Kali la Kiujasusi

5. Popote Timu itakapokuwepo Usiri mkubwa mno uwepo

6. Timu ( kwa nia Njema tu ) kwa Umuhimu wa hii Mechi itekwe ( iwe chini ) ya Wazee Wakiongozwa na Dalali na Kaduguda na baada ya 'Derby' itarudishwa kwa Uongozi kwa Mechi zingine za NBC Premier League

7. CEO Barbara Gonzalez, Mwenyekiti wa Wanachama Simba SC Murtaza Mangungu, Mratibu Abbas, Mkuu wa Itifaki Makoye, Kocha Msaidizi Matola na Meneja Rweymamu wawe makini katika Usaliti wao kwa Watu ( Matajiri ) wa GSM

8. Ikiwezekana Timu ipelekwe kwa Wazee wetu wa Mkwajuni ( Kikwajuni ) kwa Maandalizi yao ambayo hayajawahi Kufeli kila Timu ( Simba SC ) ikicheza na Yanga SC.

9. Ile Miiko yote ya Marehemu Mwenyekiti Amri Bamchawi na Katibu Mkuu Priva Mtema kila Simba SC ikikaribia Kucheza na Yanga SC ifuatwe

10. Viongozi wa Matawi wasihusishwe hadi katika hatua za mwisho za Maandalizi kwakuwa wengi wao Njaa huwasumbua na GSM hupita Kwao kujua Siri za mwisho za Maandalizi ya Simba SC

11. Kitengo cha Propaganda kije na Jambo la Kutengeneza 'Mind Game' kwa Wapinzani ( Yanga SC ) ambao Kisaikolojia kwa sasa hawako vyema baada ya Matokeo mabaya ya Al Hilal FC huko nchini Sudan

12. Watu wa Kitengo cha Unyangindo ( Uchawi ) na Umafia ( Fitna ) wawe ni wale tu wenye huo Uwezo, wana Simba SC kweli, siyo Waoga na hawabahatishi

13. Kiundwe Kikundi cha Watu cha kufanya Ujasusi wa nini kinaendelea nje na ndani ya Uwanja Saa 72 ( Siku Tatu ) kabla ya Mechi kwani mara nyingi Mwenyeji akiwa ni Yanga SC huwa kuna Mambo makubwa yanafanyika

14. Watu wa Kukaa Vyumbani Kulinda Vyumba vya Wachezaji Saa 48 ( Siku Mbili ) baada ya kupewa Funguo na Meneja wa Uwanja wawe Screened hasa, Wachunguzwe na wawe Loyal kweli kwa Simba SC kwani baadhi yao hutumika na upande wa Pili kwa Utajiri wa GSM na ghafla kupitisha Vitu Vyumbani na hata Kuuza Ramani ya Vita

15. Kocha Mgunda na Benchi lake la Ufundi wamuonye sana Beki Inonga kwa Mizaha yake, back passes zake na Kujiamini Kwake kulikopitiliza.

Pia Mchezaji Sakho asianze kabisa kwani hana Msaada, Mchoyo na Mpumbavu mno.

Na wahakikishe Mabeki wa Simba SC wanacheza sana Mipira ya Juu kwani nimeanza kuona tena hilo Tatizo lililotugharimu huko nyuma limerejea tena na kwa Uwezo wa Mshambuliaji Hatari Mayele na Wengineo wa Yanga SC tunaweza Kulia na Kuaibika tena kwa Mkapa na Kulaumiana pia.

GENTAMYCINE namalizia kwa Kuuomba Uongozi wa Simba SC kuwa uyafanyie Kazi yote haya kama kweli Jumapili ijayo ya tarehe 23 Oktoba, 2022 wanataka Kuwafunga Yanga SC.

Niwaombe pia wana Simba SC wote walioko hapa JamiiForums na ambao wana access na Viongozi wa Simba SC, Benchi la Ufundi na Wajumbe wa Bodi bila kumsahau Msemaji wa Simba SC tafadhali wafikishieni ( wafowadieni ) haraka huu Uzi wangu na haya niliyoyaeleza ili Wayatekeleze na Wawe Makini nao.

GENTAMYCINE namalizia kwa Kusema kuwa ni kweli wametolewa CAFCL na tumewacheka na kuwabeza sana ila Yanga SC wakijua wanakutana na Simba SC huwa hawana Jambo dogo, Wanajiandaa na Kuimarika mno hivyo kama tusipokuwa makini nisiwe Mnafiki na Muongo Simba SC tutakuja Kufungwa tena na Yanga SC na hata hii Furaha yetu ya Kufuzu ( Kutinga ) Makundi CAFCL haitokuwa na maana tena.

Uhakika wa Matokeo niliyonayo ni kuwa Safari hii ( katika Derby ) Simba SC inaenda Kushinda ( Kumfunga Yanga SC ) na Ushindi pekee kwa Yanga SC Siku hiyo ni Sare / Suluhu tu.

Nawatakia Simba SC maandalizi Mema, Kila la Kheri, Mashabiki mjitokeze kwa Wingi mkajae Uwanjani na Inshaallah Mimi GENTAMYCINE naamini na sina Mashaka kuwa Simba SC itashinda.

Tuko pamoja Simba SC Nguvu Moja.
Hakuna namna mtakufa tu,tuna hasira mbaya

Sent from my SM-A205F using JamiiForums mobile app
 
Back
Top Bottom