Akawaambia, “Nawaachia mumshughulikie…..!”

Akawaambia, “Nawaachia mumshughulikie…..!”

Kweli ubinadamu kazi....we dada wa KIPARE mchonganishi khaa!!



akili yangu inanituma waklikushughulikia na walifaidi sna hahahahaahahahahahah aise shikamoo Mtambuzi ila hapa huwezi sema we bna viguvu vyako vya grants utoe wapi nguvu yakumrukia mtu nahisi walikurukia wakakudondosha chini pole sana mkuu wangu

walikuwa wameshaivulia na mashati hahaahahahahahahahahahhaaaa


Mtambuzicome here '''''heri mimi sikusema''' unakumbuka hiki kiadithi cha darasa la pili wale wajamaa waliojificha chini ya nyasi ?


na akome huyu Mtambuzi na vi thread vyake vya utata watu weshaamini uliliwa hahahahahahhahahaahahahahahaha haha wakati anapost hakujua msumeno unakata pande mbili akajua itakula kwa mtu kumbe ikala kwake hahahaahahah nimefurahi sana leo hahahahahaahahahhhhhhhhhhhhhhh hhhhhhhhhhhhhhhhh


heri mimi sikusema Mtambuzi msumeno huoooooooooo
 
Naombeni mniombee kwa kweli. Nakosaga uhondo ivi hivi ili hali napenda sana kupata habri na kujifunza.
 
na akome huyu Mtambuzi na vi thread vyake vya utata watu weshaamini uliliwa hahahahahahhahahaahahahahahahahaha
wakati anapost hakujua msumeno unakata pande mbili akajua itakula kwa mtu kumbe ikala kwake hahahaahahah nimefurahi sana leo hahahahahaahahahhhhhhhhhhhhhhhhhhhhhhhhhhhhhhhh
We binti hebu nitake radhi, wewe ulidhani kushighulikia ni kwa namna gani...?
Yule mzee alikuwa na maana wanipige na ndio maana walianza kwa kuvua mashati sasa wewe kwa akili yako ya wanzuki unadhani walitaka kula naniliu...! LOL
 
IMG_3595.jpg
Yule msichana alinitizama juu hadi chini na kuniambia kwa kunong’ona, “nyama wee, miye siyo Malaya.”
ana hadhi si tu kuwa mke mkubwa,mke pekee
 
eeeish jamani umenikumbusha mbali na hiyo picha wee Mtambuziiiiiiiiii dah....umeitoa wapi hiiiiii
ntarudi..........
 
Last edited by a moderator:
Kuna nini leo?Mchina wangu hafungui thead zikamalizika au kuna mushkeli?
 
Mtambuzi huyo baba mwenye nyumba hayupo bana we nenda tuu ukamalizane na binti wa kitanga
Duh ila shukuru Mungu sana hata akili ulikuwa nayo la sivyo hapa tungemalizia hivi "Wale njemba wakavua sarawili zao na ..................... mwisho wa habari"
 
Last edited by a moderator:
eeeh nina swali jingine huyo penye avatar ni wewe original.
naomba nisiendelee kujibu maana litakuja swali jingine, lol!
tutachakachua uzi wa shem wangu Mtambuzi halafu nipate kesi.
ukitaka anzisha uzi wa utambulisho tujimwage huko.
shem Mtambuzi samahani kwa kuchakachua uzi wako, lol!
 
Last edited by a moderator:
naomba nisiendelee kujibu maana litakuja swali jingine, lol!
tutachakachua uzi wa shem wangu Mtambuzi halafu nipate kesi.
ukitaka anzisha uzi wa utambulisho tujimwage huko.
shem Mtambuzi samahani kwa kuchakachua uzi wako, lol!
basi nimekoma mama mtambuzi mbona unanitolea mijicho sasa?
 
Yule msichana alinitizama juu hadi chini na kuniambia kwa kunong’ona, “nyama wee, miye siyo Malaya.” Alitoka na mumewe akiniacha nikiwa nimeduwaa. Nilipowatizama wale manjemba wawili, niliwaona wakivua fulana zao, nikajua ngondo igwa…., ‘Hapa sitopona.’ Nilijisemea moyoni. Akili yangu ilifanya kazi haraka na kwa kasi ya umeme nilimrukia kichwa njema mmoja aliyesimama mlangoni tukaangukia nje, ni bahati mlango ulikuwa haujafungwa.

Niliponyanyuka sikusimama, break ya kwanza ilikuwa ni kituo cha mabasi yaendayo mikoani, nikapanda basi na kuja Dar. Kuanzia siku hiyo mtu akiniambia twende Tanga natamani nimdunde. Sijakanyaga mji ule hadi leo……………..

Salaam hizi zimfikie Babu DC Dark City, hii ndio sababu ya kukataa mwaliko wako wa kuja huko Tanga mwaka jana………….. LOL

Mtambuzi usisingizie ibilisi wakati tamaa ni yako.......pili ugomvi wa nini wakati shule sasa umehitimu?
 
ha haaaa....... maumivu ya moyo yameshapona?
au sababu hii ni 2013? lol!
missed you too rafiki
Maumivu juu yako hayaishi hadi kieleweke navuta kasi kumpiku TANMO ambaye haeleweki
 
Last edited by a moderator:
Back
Top Bottom