Akawaambia, “Nawaachia mumshughulikie…..!”

Akawaambia, “Nawaachia mumshughulikie…..!”

akili yangu inanituma waklikushughulikia na walifaidi sna hahahahaahahahahahah aise shikamoo Mtambuzi ila hapa huwezi sema we bna viguvu vyako vya grants utoe wapi nguvu yakumrukia mtu nahisi walikurukia wakakudondosha chini pole sana mkuu wangu
Eti tena watu wenyewe mibaunsaaaaaa lol:glasses-nerdy:
 
Isitoshe walikua na yale mafuta ya kulainisha walikua washabeba aiseee...kaazi kweli kweli.....
Mtambuzi come here '''''heri mimi sikusema''' unakumbuka hiki kiadithi cha darasa la pili wale wajamaa waliojificha chini ya nyasi ?
 
Last edited by a moderator:
Eti tena watu wenyewe mibaunsaaaaaa lol:glasses-nerdy:
na akome huyu Mtambuzi na vi thread vyake vya utata watu weshaamini uliliwa hahahahahahhahahaahahahahahahahaha
wakati anapost hakujua msumeno unakata pande mbili akajua itakula kwa mtu kumbe ikala kwake hahahaahahah nimefurahi sana leo hahahahahaahahahhhhhhhhhhhhhhhhhhhhhhhhhhhhhhhh
 
Mkuu hujaruka kipengele chochote kwenye stori?
Mmh... hata mimi nina mashaka sana! ninavyokufahamu mtambuzi umbo lako ulivyo kimbaumbau, hayo mabavu ya kuwapiga vikumbo mabouncer uliyapata wapi??!! Hebu tusubiri, naamini utakuja na part 2 ya hii story,na uwezekano mkubwa utakuja na kufunguka na kutueleza what really happened on that day of the year 2007!!!!
 
na akome huyu Mtambuzi na vi thread vyake vya utata watu weshaamini uliliwa hahahahahahhahahaahahahahahahahaha
wakati anapost hakujua msumeno unakata pande mbili akajua itakula kwa mtu kumbe ikala kwake hahahaahahah nimefurahi sana leo hahahahahaahahahhhhhhhhhhhhhhhhhhhhhhhhhhhhhhhh
Hayo mengine hawezi sema lol
Ila usikute naye anarudisha hasira kwa raia wema ndio balaa linapoanzaga
 
Mkuu hujaruka kipengele chochote kwenye stori?

mkuu kipengele kimerukwa apo,fikiria alipo sema akamrukia kichwa wakaangukia mlango baati nzuri ulikuwa aujafungwa,je huo mlango unafungukia ndani au nje? kama unafungukia kwa nje sawa,kitu ambacho pia ni nadra sana,lakini kama unafunguka lwa ndani kama ilivyo kawaidda hakika kuna kipengele umekivuka(tigo) aikupona.
 
duuu napiga picha hicho kichwa ulichompa huyo njemba inaonekana kilikuwa cha ukweli maana hapo ungezubaa tuu ungefanywa vibaya
 
Back
Top Bottom