Akawaambia, “Nawaachia mumshughulikie…..!”

Akawaambia, “Nawaachia mumshughulikie…..!”

Hahahaha kaka mkubwa nilikua nataka nimtibue kama alivyokutibua kwenye posts zake...at last I got her heheheheh
Yaani Bi. Mkubwa kafura hadi kashindwa kuficha kwenye maandishi lol... nivea chukulia poa tu, mie ni mtani wako jamani....hahahha
Heeee mbona umekuwa mkali kuitwa mpare, kulikoni dada yangu....Kwa taarifa yako mimi nakujua wewe ni mpare tena wa KIHURIO........LOLJust Kidding......
 
Last edited by a moderator:
Duuuuuuuuhhhh,

Umepotea sana mdogo wangu @FP,

Kulikoni??

Kama ningekuwa wa digitali, lazima ningesema kuwa, I missed u so much....ila sasa mwenzio mie ni analalogia na sijui haya maneno nayasemaje...

Karibu tena...

Babu DC!!
ha ha haaaaaaaaaaaa, umepatia mtu mzima mwenzangu...... hata sisi wa analogia tunasema I missed you too.....lol!
babu nilikamatwa kidogo, lakini sasa nimerudi angalau sitapotea saaaana.......
yaani hata sijui pa kuanzia huku ndani maana naona mambo mchanganyiko tuuuuuuu, kweli kupotea kubaya
 
IMG_3595.jpg

Nilishangazwa na kushtushwa na wito ule nikajua labda bomu limelipuka. Nilipoenda alinitambulisha kwa yule binti kuwa ni mkewe mdogo. “Siku mlipohamia hapa wewe na kaka yako hakuwepo kwa hiyo nimependa tu umfahamu, msije mkapigana vikumbo huko mitaani.” Alisema.



Kwa tamaa yangu nilikwenda moja kwa moja nikitaka kumvamia na kumbusu, lakini alinikwepa, mara ghafla mlango wa chumba ulifunguliwa. mbele yangu alikuwa yule mhudumu aliyenielekeza kilipo kile chumba, mzee mwenye nyumba yetu na minjemba miwili iliyoshiba. Yule mzee mwenye nyumba alimshika mkewe na kusema, “Nawaachia huyu kijana mumshughulikie, hebu twen zetu mke wangu.”

Yule msichana alinitizama juu hadi chini na kuniambia kwa kunong’ona, “nyama wee, miye siyo Malaya.” Alitoka na mumewe akiniacha nikiwa nimeduwaa. Nilipowatizama wale manjemba wawili, niliwaona wakivua fulana zao, nikajua ngondo igwa…., ‘Hapa sitopona.’

Mke wa mtu sumu
 
Unawasi wasi na mimi "mkubwa mwenzetu"??


Babu DC!!
NI MSISITIZO TU!we unajua kisa cha hii story kuletwa jumatatu badala ya ijumaa?
sasando ujue mwenzio limemkaba siku nyingi ndo kaona leo alitoe!sasa cha kumsaidida ni kukaa nae chemba ili alitoe lote !ili wajukuu tuwe na amani vinginevyo...........................................oh!
 
Wake wa watu hawana maana kabisa, hasa wakiwa ni wake wadogo wanajua sana kujishengendua na kujionyesha kuwa wao ni waaminifu sana kwa mume ili waendelee kula zabibu hata zile ambazo zilitakiwa zipelekwe kwa bi mkubwa. Mtambuzi, naomba usinisadikishe kuwa huyu kaka mtoka mbio hakuwa ni KakaKiiza
 
Last edited by a moderator:
ha ha haaaaaaaaaaaa, umepatia mtu mzima mwenzangu...... hata sisi wa analogia tunasema I missed you too.....lol!
babu nilikamatwa kidogo, lakini sasa nimerudi angalau sitapotea saaaana.......
yaani hata sijui pa kuanzia huku ndani maana naona mambo mchanganyiko tuuuuuuu, kweli kupotea kubaya

Pole na karibu sana...

Hapo blue....umenikumbusha mbali haki ya nani....???

This life used to be so sweet.....!!

Babu DC!!
 
Heri yako wewe umeona na ndio maana siupendi huo mji wenu, visichana vya enzi zile vilikuwa vinoko sana...
Labda kama watabadilika lakini kama wana tabia za kizamani hawafai kabisa..


Tanga siyo pabaya ki hivyo bwana.....

Sie twaendelea kufaidi kila kitu wanachojisevia wastaafu....

Karibu sana ukachungulie tena...

Babu DC!!
 
NI MSISITIZO TU!we unajua kisa cha hii story kuletwa jumatatu badala ya ijumaa?
sasando ujue mwenzio limemkaba siku nyingi ndo kaona leo alitoe!sasa cha kumsaidida ni kukaa nae chemba ili alitoe lote !ili wajukuu tuwe na amani vinginevyo...........................................oh!


Hapana mdogo wangu....hilo naomba nisifanye,

Huyu mzee mwenzangu tumetoka mbali aisee....

Tena muache kabisa kumvunjia heshima....

Babu DC!!
 
Maumivu juu yako hayaishi hadi kieleweke navuta kasi kumpiku TANMO ambaye haeleweki
we dawa yako ni kuvuliwa mashati tu kama Mtambuzi ukimbie mji hii stori inamaa haijakufundisha chochote na huko ndani unaringia ujana wako? tehetehete
 
Last edited by a moderator:
Yeah, umenikumbusha wanaita NDONGA, na kule Arusha tunaita KICHWA CHA MCHOMOKO, yaani mtu unafyatuka kama mtego, na ukimpata adui yako lazima atoe kamasi la kijani.....LOL

Nilimtandika nacho akaenda chini, nilipotoka hapo waliona kisogo tu....


yeh hiyo ukipigwa ukija kuulizwa baadaye lazima useme jamaa kanipiga jiwe.

Kwahiyo walipoona kisogo hawakukipumulia kweli?
 
Dah Mtambuzi pole sana aisee una bahati sana mkuu!
Yan alimanusura ile kwako lol
Ila naamini hili lilikuwa fundisho kwako na kwa wote wanaopenda wake za watu!
Ujumbe mzuri sana.
Hebu fanya mpango twende tukamsalimie babu Dark City achana na mambo ya zamani ni historia tu!

Ni hapo atakapokuta babu Dark City ndo aliyekuwa baba mwenye nyumba!:glasses-nerdy:
 
Last edited by a moderator:
Teh teh, hapo mkuu hata kama umepoza kidogo kwamba uliokolewa na kichwa ulichomrukia wa mlangoni lakini pia ni nadra sana ku escape mitego hii!
Wakati mwingine ni kweli kwamba tamaa ikichukua mimba uzaa dhambi ambayo ikikomaa uzaa mauti.
 
Back
Top Bottom