Akawaambia, “Nawaachia mumshughulikie…..!”

Akawaambia, “Nawaachia mumshughulikie…..!”

Ebu hii tamthikia itengenezee picha au kitabu. Imetulia sana ukitulia na wewe ukai-expand believe it you will break through
 
Naamini wengi humu ndani ni watu wazima. Hivi mnataka mzee mzima hicho kipengele alichokiacha akiweke hadharani? Je huo ni utamaduni wetu kweli? Mwenye masikio na asikie. Minjemba miwili iliyokuja kikazi kuachia nafasi hadi jamaa aruke kichwa na kutoroka... hapo pana walakini.Anyway,pole lakini. Ulitakiwa machale yakucheze tangu Mwenye Nyumba alipokuita na kukutambulisha.
 
kweli ubinadamu kazi....we dada wa kipare mchonganishi khaa!

mimi sio mpareeee na sipendi kuitwa mpare ,baba na mama yangu sio sina damu ya kiparee period!!!!!!





 
Hahahaaa ila kuna watu wanasema inawezekana alipata vyote ila ili kulinda heshima kwa mama Ngina kaamua kupunguza makali lol
Copy kwa Mtambuzi

unafikiri ye mjinga aje hapa mbele ya kadamnasi aweke mambo hadharani afu kesho akose kuhudhuria party zenu coz mtakua mnamchora tu.
 
Hivi kweli wadau wa upande wa pili mtusaidie,

Hicho alichofanya mwenzenu cha kwenda kumsemelezea Mzee mwenzangu Mtambuzi kwa mume wake ni sawa??? Au kwa vile alikuwa bado under age kama yule mdau wetu aliyeingiza mjini at 17yrs??

Enzi zangu, mwanamke wa kuniletea mashtaka kama hayo wala sijui kama ningemtaka....!!

cc.. Madame B, Smile, @FP, snowhite....!!
 
Last edited by a moderator:
Ahahaahah..Hiko sio kichwa Tanga wanaita Ndonga.Babu ana busara sana uyo sipati picha angekuacha ugandane.
 
mimi sio mpareeee na sipendi kuitwa mpare ,baba na mama yangu sio sina damu ya kiparee period!!!!!!
Heeee mbona umekuwa mkali kuitwa mpare, kulikoni dada yangu....
Kwa taarifa yako mimi nakujua wewe ni mpare tena wa KIHURIO........LOL

Just Kidding......
 
Hivi kweli wadau wa upande wa pili mtusaidie,

Hicho alichofanya mwenzenu cha kwenda kumsemelezea Mzee mwenzangu Mtambuzi kwa mume wake ni sawa??? Au kwa vile alikuwa bado under age kama yule mdau wetu aliyeingiza mjini at 17yrs??

Enzi zangu, mwanamke wa kuniletea mashtaka kama hayo wala sijui kama ningemtaka....!!

cc.. Madame B, Smile, @FP, snowhite....!!

Heri yako wewe umeona na ndio maana siupendi huo mji wenu, visichana vya enzi zile vilikuwa vinoko sana...
Labda kama watabadilika lakini kama wana tabia za kizamani hawafai kabisa..
 
Hahahahahahahahahaha
Mtambuzi umeniacha hoi sana!
Mke wa mtu ni sumu!
 
Last edited by a moderator:
Ahahaahah..Hiko sio kichwa Tanga wanaita Ndonga.Babu ana busara sana uyo sipati picha angekuacha ugandane.
Yeah, umenikumbusha wanaita NDONGA, na kule Arusha tunaita KICHWA CHA MCHOMOKO, yaani mtu unafyatuka kama mtego, na ukimpata adui yako lazima atoe kamasi la kijani.....LOL

Nilimtandika nacho akaenda chini, nilipotoka hapo waliona kisogo tu....
 
Yeah, umenikumbusha wanaita NDONGA, na kule Arusha tunaita KICHWA CHA MCHOMOKO, yaani mtu unafyatuka kama mtego, na ukimpata adui yako lazima atoe kamasi la kijani.....LOL

Nilimtandika nacho akaenda chini, nilipotoka hapo waliona kisogo tu....
Ahahahah..mkuu umetisha.
 
Naamini wengi humu ndani ni watu wazima. Hivi mnataka mzee mzima hicho kipengele alichokiacha akiweke hadharani? Je huo ni utamaduni wetu kweli? Mwenye masikio na asikie. Minjemba miwili iliyokuja kikazi kuachia nafasi hadi jamaa aruke kichwa na kutoroka... hapo pana walakini.Anyway,pole lakini. Ulitakiwa machale yakucheze tangu Mwenye Nyumba alipokuita na kukutambulisha.
Mimi nawashangaa wanavyonizushia maana nilicoandika ni kingine lakini watu humu hawaishi kupindisha ili kujifurahisha.
Nisingeweza kukubali kirahisi ningepigana kufa na minjemba yenyewe ilikuwa misukuma mikokotena sokoni Ngamiani, unafikiri wangeniweza kijana niliyetoka R Chuga nimekua kwa kula Nyama choma na maziwa, Pangechimbika aisee...........!!!!!
 
Tanga siende tena kuna dogodogo nyingi, moyo wangu wanituma vyema kuwa mwanachama wa JF

bora alivyofanya angekushusha mshipa sasa hivi mama ngina shida tu putu ungekuwa unampa
 
Back
Top Bottom