Akawaambia, “Nawaachia mumshughulikie…..!”

Akawaambia, “Nawaachia mumshughulikie…..!”

mmmh wangekufumua marinda live
Thubutuuu, wasingeweza nakwambia...
pangechimbika aisee, mimi sio wa kuchazea nakwambia Smile...........
 
Last edited by a moderator:
Dah Mtambuzi pole sana aisee una bahati sana mkuu!
Yan alimanusura ile kwako lol
Ila naamini hili lilikuwa fundisho kwako na kwa wote wanaopenda wake za watu!
Ujumbe mzuri sana.
Hebu fanya mpango twende tukamsalimie babu Dark City achana na mambo ya zamani ni historia tu!
 
Last edited by a moderator:
Dah Mtambuzi pole sana aisee una bahati sana mkuu!
Yan alimanusura ile kwako lol
Ila naamini hili lilikuwa fundisho kwako na kwa wote wanaopenda wake za watu!
Ujumbe mzuri sana.
Hebu fanya mpango twende tukamsalimie babu Dark City achana na mambo ya zamani ni historia tu!
Mkuu Erickb52, miaka hiyo ya 87, ndio nilikuwa nimebalehe na kama ujuavyo balehe huja na visa vyek, kwa kweli kama ningetumia akili ule utamblisho ulikuwa na ujumbe mahsusi kwmaba usimnyemelee mke wangu, lakini wapi, nilikuwa nawaza kwa kichwa cha chini..
Lakini nashukuru nilimudu kukimbia ile dhahama maana hata nisingeweza kusimulia hapa...
Kwa babu DC Dark City sitokanyaga kwani yule mzee bado yupo na nahisi anaweza kuniona akanikumbuka....
 
Last edited by a moderator:
Ulitaka niseme nilishughulikiwa..............?
Ushindwe kabisa mwana izaya.................LOL
anhaaaa kumbe ulitaka usiseme!bas bana shemeji sa si ungeniambia mapema nisiharibu hali ya hewa?na weee bana!
 
Dah kaazi kweli kweli...ana bahati mlango ulikua umefunguliwa...vinginevyo yangekua mengine aisee..
 
akili yangu inanituma waklikushughulikia na walifaidi sna hahahahaahahahahahah aise shikamoo Mtambuzi ila hapa huwezi sema we bna viguvu vyako vya grants utoe wapi nguvu yakumrukia mtu nahisi walikurukia wakakudondosha chini pole sana mkuu wangu
 
Last edited by a moderator:
Mkuu Erickb52, miaka hiyo ya 87, ndio nilikuwa nimebalehe na kama ujuavyo balehe huja na visa vyek, kwa kweli kama ningetumia akili ule utamblisho ulikuwa na ujumbe mahsusi kwmaba usimnyemelee mke wangu, lakini wapi, nilikuwa nawaza kwa kichwa cha chini..
Lakini nashukuru nilimudu kukimbia ile dhahama maana hata nisingeweza kusimulia hapa...
Kwa babu DC Dark City sitokanyaga kwani yule mzee bado yupo na nahisi anaweza kuniona akanikumbuka....
Hahahaaaa kweli uliwaza kwa kutumia kichwa cha chini lol
Halafu huyo mwanamke nae aliamua kukufanyia mbaya si angekutosa tu kwanini amwambie mumewe?
Dah hana busara hata kidogo au sijui ndio ndoa ilikuwa motomoto duh
 
Back
Top Bottom